Nimeamini wanaume hawaaminiki

Unavamia lipi sasa?? Au nikutafutie? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Angalia lenye maokoto bff hawa wazee wa kupiga domo achana nao 🀣🀣🀣
Nitafutie bff angu
Unipachike kwenye maokoto mie
Hawa wa gombania goli siwatakiii
 
Ulinipa kimeo bff kweli hunipendi
Angalia yeye na mtoa post hii wanaitanaje halafu urudi hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lomomy ni Kuwadi Kungwi kabisa, mbona hatustuani tuchangamkie fursa jamani [emoji848][emoji2960]
 
Kwanini unamtuhumu anachiti je kama anania njema kwako?
Nakushauri msikilize baba cath labda anataka kukutolea baruau akuoe uwe mke wake.
 
Kwanini unamtuhumu anachiti je kama anania njema kwako?
Nakushauri msikilize baba cath labda anataka kukutolea barau akuoe uwe mke wake.
Mimi ni mkristo, ndoa ni ya wawili
Mwanamke mmoja na mwanaume mmoja
 
Baba Cathe yupo vizuri, anajaribubkuwa strategic shida ni kuwa watoto wa siku hizi wanakuwa ahead of time. Away matches za muhimu sana!!
 
Wee acha uongo usitake kutuangushia jumba bovu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ww sema una tamaa shemeji, yani ww wa kumgeuka bff wangu?!!
Ww mdanganye mtoa mada ila tunajua moyo wako ulipo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ohooo...[emoji3578][emoji4]
 
Mimi ni mkristo, ndoa ni ya wawili
Mwanamke mmoja na mwanaume mmoja
Mbn unaangalia upande mmoja wa shilingi tu je kama baba cath si muumini wa mke mmoja?
Msikilize kwanza dhamira yake kama ni ndoa anataka then si utamueleza kama ww si muumini wa uke wenza.

Acha kujaji wanaume tunachiti wengine sisi tunaruhusiwa kuowa wanawake wengi
 
Hapna we umekutana na anaecheat sasa kutuunganisha ma sisi imahusiana na nini tupumzishe kwanza bhn ephen
 
Mdogo wangu mzuri,

Kamwe usiweke Imani kwa kiumbe hai aitwaye mwanadamu, iwe wa kike ama kiume, kuwa 'dissapointed' ni suala la kugusa tu..!!
Nakaziaaaaaaaaaa..

Ukisikia utuokoe katika vishawishi, ephen_ ni moja ya kishawishi, tumeumbiwa tamaa hata nyie wanawake kuna mda mnawatamani mashemeji zenu.
 
Ukilewa usichat

Yaani mmetofautiana na mwanaume mmoja unaingizia wanaume wote kuwa na stara..Hujafa hujaumbika umeteleza hapo...

Naamini vishawishi ni vingi tu duniani ila ukiamua kusimamia standard zako na kumshirikiaha Mungu unavuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…