Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Hivi kumbeNgoja leo niseme kitu maana mimi huwa ninafanya tafiti kimya kimya.
Kuna mdada anaitwa Leejay huyu akianzisha nyuzi yake itatembea balaa nahisi ni sababu ni mtu ambaye yupo social sana na anaandika uhalisia sana wa maisha.
Wa pili. Ni Ephen uzi wake wa jeshini umempa umaarufu sana nikashangaa mpaka kaka yangu Lucas Mwashambwa akatia komenti yake na wamekuwa na chemistry nzuri sana.
ila kuna watu wale wanaopost saa24 wengi huwa ni waongo waongo na hawana kazi.
Pole dada ephen mtoto wa ukonga(jokes)
π€£π€£π€£ kweli jirani?? Sasa tusiseme ukweli km team mbovu!! Cocacola leo haonekani kabisaaa!!Jirani kuwa makini sana leo maana kuna modi ni kolo
Kirikou utapigwa π€£π€£π€£π€£Tabuleleeee hiiii
Bora nimwite Lucas Mwashambwa yeye atakua upande wanguπNgoja leo niseme kitu maana mimi huwa ninafanya tafiti kimya kimya.
Kuna mdada anaitwa Leejay huyu akianzisha nyuzi yake itatembea balaa nahisi ni sababu ni mtu ambaye yupo social sana na anaandika uhalisia sana wa maisha.
Wa pili. Ni Ephen uzi wake wa jeshini umempa umaarufu sana nikashangaa mpaka kaka yangu Lucas Mwashambwa akatia komenti yake na wamekuwa na chemistry nzuri sana.
ila kuna watu wale wanaopost saa24 wengi huwa ni waongo waongo na hawana kazi.
Pole dada ephen mtoto wa ukonga(jokes)
Cocacola ndio cocastic ? ππππ€£π€£π€£ kweli jirani?? Sasa tusiseme ukweli km team mbovu!! Cocacola leo haonekani kabisaaa!!
Mimi mbona wako pekee yakoPole kwa kuchelewa kujua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wako akiwa kwako akitoka nje si wako..
Wanaume jamani tuoneeni huruma.
Kwani uyo kijana aliemkamata anauhalika gani kama hamcheatPole kwa kuchelewa kujua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wako akiwa kwako akitoka nje si wako..
Wanaume jamani tuoneeni huruma.
ππππ€£π€£π€£π€£ team bovu had vitimu vibovu wanajipigia mnyama..!! Sema makolo wana stress wanaweza kukungβata ukikaa karibu nao
Mchape kama Tereza mashujaaaaa asante kwa kuwakilisha kijeshiKirikou utapigwa π€£π€£π€£π€£
situmii hayo madude mzee, nimeshapendwa sana vile namna niko..!!Vaa yale ma-skin tight yenye masponchi ya hipsi na makalio, ukiwa nami lodge zingatia kauli ya "zima taa kwanza nivue nguo naona aibu" [emoji2960]
Niitieni Leejay kwanza πππHivi kumbe
Mimi hua naona ni heri mtu uujue uhalisia ili hata likitokea la kutokea usishangae saana, kuliko kudhani kwamba mtu ni malaika kumbe ni binadamu na ana mapungufu yake.Wanaume wote mnamtetea Baba Cathe...!
Hatua za ukuaji wazazi wali tubania malezi πππsitumii hayo madude mzee, nimeshapendwa sana vile namna niko..!!
Chochea kuni moto uwake vizuri mwanaChelsea[emoji23][emoji23][emoji23]
Mjoooombaaa, kimekukuta nini tena mjukuu wa Mtume..??
Kaonyesha haiapoteza chochote anatest mitambo kama kishasahauMimi hua naona ni heri mtu uujue uhalisia ili hata likitokea la kutokea usishangae saana, kuliko kudhani kwamba mtu ni malaika kumbe ni binadamu na ana mapungufu yake.
Hilo ni kweli mkuu! Ndio maana kuanzia sasa nimepata conclusion "Wanaume wote wanacheat"Mimi hua naona ni heri mtu uujue uhalisia ili hata likitokea la kutokea usishangae saana, kuliko kudhani kwamba mtu ni malaika kumbe ni binadamu na ana mapungufu yake.
tuzitoe wapi mzee mwenzangu..?? Majukumu yote haya ya kulea watoto wetu, wa ndugu, watoto wa mume wa nje ya ndoa, tchaaah'..!ππNdugu equation???
Simama lakini ndio uhalisia, kwamba hamna tamaa?
πππ Simba kokote lazima ijadiliwe sababu team mbovu ile, ss hivi wana hasira na viongozi waoπππ
kabla tubadili mada ya watu, naomba niage kwa kusema 'mnyama sikuhizi kawa kibogoyo, hang'ati..!'