Nimeamini wanaume hawaaminiki

🤣🤣Eeeh Sasa mume mwenye mahaba hivyo utambamba saa ngapi,?Ila Kaswende ndio itazua tafrani
1. Ogopa sana mwanaume akiwa romantiki kupitiliza, unaibiwa😂😂

2. Wanaume wakali wakali kwa wapenzi wao huwa waaminifu kiasi hilo weka akilini
 
Kuna msemo flani kwenye biblia wengi hawauelewi.

Unasema hivi...

(Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo.

Yohana 8:44)

Robert Heriel Mtibeli
Afafanue
 

Naturally Mwanaume ni polygamist.
Hiyo kuoa mke mmoja ni artificial tuu.
Hakuna mwanaume ambaye moyo wake upo kwaajili ya Mwanamke mmoja.

Ukiona wanaume wanaoa na wapo na mke mmoja ujue wanajitesa na kujizuia Sana. Tuseme wana-fake kwaajili yenu tuu.

Ila kama wakiambiwa na kupewa Uhuru WA kuwa na wake wengi basi wote wangefanya hivyo. Na hapo automatically neno cheating linakosa maana.

Anaye-cheat ni Mwanamke.

Kiasili Mwanamke hasa mtu mwenye jinsia yake kike hupenda na hujivunia kuwa na mwanaume mmoja.
 
Kama una taka kumpa mzee ale, We mpe ajilie sawa ?
Acha maneno mengi, mkamilifu malaika tuu huko mbinguni.

KULA NYAMA NYAMAZAAAAAAAA.
 

Kuoa wake wengi sio tamaa.
Na haijawahi kukatazwa popote kwenye kitabu chochote cha kidini.

Wanaokataza Watu kuwa na wake wengi ndio wamebuni njia zao wenyewe kupambana na nature na bahati mbaya nature haijawahi kushindwa na ndio maana siku hizi neno MICHEPUKO imechukua haramu ya neno ndoa za Mitala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…