Nimeamini wanaume hawaaminiki

Yaani Baba cathe aharibu huko ujumuishe wanasema wote mpaka Baba yako?

Jitathimini, mpe Tu huyo Mzee afurahie papuchi kijana
 
Unataka haribu Eid ya mzee wa Watu.
 
Hakuna wanaume wanaonyesha mahaba kama wanaume wanaocheat Kuna ule msemo"wanaume malaya wanawapenda Sana wake zao "
 
Yaani unajisifu kabisa kutembelea ndoa za watu.
We hujaolewa unaenda kufanya Nini kwenye familia za watu tena sio ndugu zako?

Ukiwa kapera tembelea makapera wenzio huo ndio utaratibu na wenye ndoa wanatembeleana wao kwa wao

Nimekuona wa ajabu sana yaani unajisifu kabisa kwenda kutembelea ndoa za watu huko mtaani kwenu hakuna makapera au?
 
Uko sahihi kuwa Rafiki Na mke wa MTU haijakaa POA.....nlikuaga Na Rafiki yangu tumeshibana Sana Yan tulipendana Sana and I loved her and and I was a true friend to her....tulipomaliza chuo akaolewa here baadae mumewe shemej yake akaaanza kunitongoza wakat huohuo akawa anamwambia Uyo Rafiki yangu sitaki Uwe Na urafiki Na flani ambaye Ni Mimi kumbe ananitongoza.......Rafiki yangu akawa ananialika niende kumtembelea kwake nkawa namzungusha namwambia am busy nilikua sitaki kukanyaga kwake nlianza kukeep distance Na yeye nikamblock Shem namba zake zote mpaka Facebook nikamblock maana alikua ananitext mpaka Facebook.....navokwambia mpaka Sasa urafiki ulishakufa Zamani Sana Na namba zake nlifutq
 
Wanaume kwanini mnapenda kutembea Na MTU Wa Karibu wa mke wako unakuta dada,mdogo,best friend, cousin wengine mpaka mama mzazi wa mkewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…