Nimeamini wanawake wengi ni malaya

Nimeamini wanawake wengi ni malaya

Habari za muda huu

Kuna demu moja hivi nilikutana nae tukafahamiana akawa mteja wangu,nikamtongoza akakubali .Ila kutoa mzigo akawa anaringa na kuzungusha nikamuuliza au unataka uniuzie??
Akasema yeye hafanyi biashara

Kwakuwa nilishajua vingi toka kwakee nikampandia Fb kwa account ambayo jina lake sio halisi.Nikamchombeza chombeza akaitika
Nikamwambia tukutane Lodge akakubali kwa makubaliano ya kumlipa 30K
Ikafika siku ya kuja Lodge nikampigia simu akapokea,nikaongea nae akaniwmbia anaenda mjini kununua mafuta ya kupikia nikamwambia apitie twende wote akakataa.( Nilipiga ili kuona if yuko na Safari kweli)

Mimi nikatangulia mjini nikachukua lodge
Alivyofika akaniwmbia nitoke nikampokee , nikamwambia naoga aje tuu ndani akabisha bisha mwisho akakubali
Alivyofika hakuamini macho yake kunikuta ndio Mimi
Akauliza kwanini umenifanyia hivi??
Nikampanga panga
Akagoma.Nikamwambia Basi Mimi nakuacha hapa

Badae akaniomba nisimwambie yeyote kuhusu lile na hatorudia tena akanipa mzigo na hela hakudai
Aisee...
 
Sasa hapa si unakuwa unaongea na watu ambao ni wafanya biashara, unategemea atakataa vipi wakati mzigo uko sokoni??
Unataka kuniambia mwanaume ambaye unamvulia chupi weekends yeye hakupi hio elfu 30 badala ya kukukaza? Huna trend ya wanaume wa hivyo katika historia ya usichana wako?
 
Unataka kuniambia mwanaume ambaye unamvulia chupi weekends yeye hakupi hio elfu 30 badala ya kukukaza? Huna trend ya wanaume wa hivyo katika historia ya usichana wako?
Mwanaume kutoa hela ni kawaida tu hata asipopewa mzigo, shida ni hii ya mtu kuamua kujiweka sokoni kabisa
 
Ndo maana nimeamua kuwa singo tu.mapenzi bila pesa utateseka tu.
Ndo rafiki yangu mmoja kaomba namba tarehe 15.tarehe 16 kapigwa kizinga Cha 5,000.
Ananipigia simu analia Lia[emoji16][emoji16][emoji16].oh demu mwenyewe anataka hela.nikamwambia mapenzi pesa hakuna demu wa bure.
Leo kanitumia meseji nimefuta namba zake
 
Njoo weekend hii tuspend plus kuna laki 1 kwa ajili yako ukinipa mbususu. Hii sentensi inaweza kuvua chupi 90% ya wanawake wa kileo ambao wamezagaa humu humu mitandaoni!
Laki ndefu mzee
Kwasaivi 70 (msimu wa sikukuu) uhakika
Hapo 25 kusuka ,50 chumba
 
Ndo maana nimeamua kuwa singo tu.mapenzi bila pesa utateseka tu.
Ndo rafiki yangu mmoja kaomba namba tarehe 15.tarehe 16 kapigwa kizinga Cha 5,000.
Ananipigia simu analia Lia[emoji16][emoji16][emoji16].oh demu mwenyewe anataka hela.nikamwambia mapenzi pesa hakuna demu wa bure.
Leo kanitumia meseji nimefuta namba zake
Akila hata mia yangu simwachi ,nipo tayari kutumia laki3 ili nifike lengo
 
Mwanaume kutoa hela ni kawaida tu hata asipopewa mzigo, shida ni hii ya mtu kuamua kujiweka sokoni kabisa
Hata huyo usumbufu aliokuwa analeta ni sababu hajaambiwa atapewa hela!

Af usiseme hata asipopewa mzigo kawaida hao mazombi mnaokula nauli zao usifananishe na mashababi😅 hao ni mabwege tu! Unaliwaje nauli na mwanamke kizembe. Kama mzigo kutoa hataki aseme ni msimamo tu! Haina shanapa yani.
 
Back
Top Bottom