Nimeamini wanawake wengi ni malaya

Nimeamini wanawake wengi ni malaya

Bahatika kuzishika karatas, Aafu na Akili iwe na chaji.

Utawalaa sana... Bure... Kwa malipo... Kwa kinywaji... Kwa msosi... Kwa muonekano yaani kwa kila style ni wewe tu.

You just need to be around them even if you don't talk much or at all they'll figure out themselves. Kamba hukatika pembamba.

Talking from experience. [emoji146]
 
Bahatika kuzishika karatas, Aafu na Akili iwe na chaji.

Utawalaa sana... Bure... Kwa malipo... Kwa kinywaji... Kwa msosi... Kwa muonekano yaani kwa kila style ni wewe tu.

You just need to be around them even if you don't talk much or at all they'll figure out themselves. Kamba hukatika pembamba.

Talking from experience. [emoji146]
Nguvu ya karatasi
 
Nguvu ya karatasi
Ogopa sana Nguvu ya Karatasi sio Mchezo.

One day Sunday hivi baada ya church nikaenda mahali kupiga soup. Nlivyopaki tu nikaenda moja kwa moja jikoni nika order nikaenda kutulia.

Akaja Muhudumu kunisiliza nikamwambia elete Kilimanjaro Water BabaLao 1.5 baridi sana. Akaondoka alivyorudi akanihudumia ile ya kufutafuta nini mixer kanimimia huku ananitizama... Mimi niko bize na Tambo. Huku namuona kwa kijicho Pembe.

Alivyomaliza tu akaniambia... Karibu na kuja ujumbe wako hapa umetoka meza ile pale... Kucheki hivi. Nakuta Tissue ina namba ya simu alafu chini kidogo imeandikwa ”WhatsApp Me!” nikamuuliza tena Meza gani? Akaniambia huku anaondoka ile pale yenye Mwavuli wa Serengeti Lite... Daah!! Kucheki vizuri namuona Mrembo mmoja nafkiri nlimuona Church sema sikumzingatia akanipungia na mimi nikapunga.[emoji1423]

Soup ikaja... Wakati yuleyule Mhudumu ananinawisha huku nawaza. Akili ikaniambia utatekwa Acha Use.. Jazz Band. Nikachukua ile Tissue nikajifuta mikono nikaitupia kwenye Kabeseni kale huyoo nikaendelea zangu. Kumbe nimeonekana bhana!
 
Ogopa sana Nguvu ya Karatasi sio Mchezo.

One day Sunday hivi baada ya church nikaenda mahali kupiga soup. Nlivyopaki tu nikaenda moja kwa moja jikoni nika order nikaenda kutulia.

Akaja Muhudumu kunisiliza nikamwambia elete Kilimanjaro Water BabaLao 1.5 baridi sana. Akaondoka alivyorudi akanihudumia ile ya kufutafuta nini mixer kanimimia huku ananitizama... Mimi niko bize na Tambo. Huku namuona kwa kijicho Pembe.

Alivyomaliza tu akaniambia... Karibu na kuja ujumbe wako hapa umetoka meza ile pale... Kucheki hivi. Nakuta Tissue ina namba ya simu alafu chini kidogo imeandikwa ”WhatsApp Me!” nikamuuliza tena Meza gani? Akaniambia huku anaondoka ile pale yenye Mwavuli wa Serengeti Lite... Daah!! Kucheki vizuri namuona Mrembo mmoja nafkiri nlimuona Church sema sikumzingatia akanipungia na mimi nikapunga.[emoji1423]

Soup ikaja... Wakati yuleyule Mhudumu ananinawisha huku nawaza. Akili ikaniambia utatekwa Acha Use.. Jazz Band. Nikachukua ile Tissue nikajifuta mikono nikaitupia kwenye Kabeseni kale huyoo nikaendelea zangu. Kumbe nimeonekana bhana!
Haaaa
 
Ndo maana nimeamua kuwa singo tu.mapenzi bila pesa utateseka tu.
Ndo rafiki yangu mmoja kaomba namba tarehe 15.tarehe 16 kapigwa kizinga Cha 5,000.
Ananipigia simu analia Lia[emoji16][emoji16][emoji16].oh demu mwenyewe anataka hela.nikamwambia mapenzi pesa hakuna demu wa bure.
Leo kanitumia meseji nimefuta namba zake
Yaah bila hela achana na mademu utalia sana na hutokuwa na amani kila saa utawaza wanakugongea...
Maana utashindwa kutoa vi efu kumi kumi kila mchumba akitaka
 
Yaah bila hela achana na mademu utalia sana na hutokuwa na amani kila saa utawaza wanakugongea...
Maana utashindwa kutoa vi efu kumi kumi kila mchumba akitaka
Nimeanza tangu mwezi wa 3 mwaka huu.nipo huru.kuna wakati natamani niombe namba kila nikiwaza vibomu nachoka
 
Mabinti wa kibongo wengi hawajui mapenzi, wanafanya tu kwa vile mwanaume anataka au kalazimisha.

Unakuta mwanamke yupo hadi kwenye ndoa, na bado mmewe akiomba unyumba usiku, mwanamke anaona kama ni kelo, adhabu na kazi ngumu.
Mkuu umeongea kiutu uzima sana, tunakoma sie tusiotaka kuchepuka!
 
Ogopa sana Nguvu ya Karatasi sio Mchezo.

One day Sunday hivi baada ya church nikaenda mahali kupiga soup. Nlivyopaki tu nikaenda moja kwa moja jikoni nika order nikaenda kutulia.

Akaja Muhudumu kunisiliza nikamwambia elete Kilimanjaro Water BabaLao 1.5 baridi sana. Akaondoka alivyorudi akanihudumia ile ya kufutafuta nini mixer kanimimia huku ananitizama... Mimi niko bize na Tambo. Huku namuona kwa kijicho Pembe.

Alivyomaliza tu akaniambia... Karibu na kuja ujumbe wako hapa umetoka meza ile pale... Kucheki hivi. Nakuta Tissue ina namba ya simu alafu chini kidogo imeandikwa ”WhatsApp Me!” nikamuuliza tena Meza gani? Akaniambia huku anaondoka ile pale yenye Mwavuli wa Serengeti Lite... Daah!! Kucheki vizuri namuona Mrembo mmoja nafkiri nlimuona Church sema sikumzingatia akanipungia na mimi nikapunga.[emoji1423]

Soup ikaja... Wakati yuleyule Mhudumu ananinawisha huku nawaza. Akili ikaniambia utatekwa Acha Use.. Jazz Band. Nikachukua ile Tissue nikajifuta mikono nikaitupia kwenye Kabeseni kale huyoo nikaendelea zangu. Kumbe nimeonekana bhana!
Man you're from the hood kabisa yanii [emoji23][emoji3577]

Mixer ulikua unavimba na tambo nini [emoji23]
 
Hata huyo usumbufu aliokuwa analeta ni sababu hajaambiwa atapewa hela!

Af usiseme hata asipopewa mzigo kawaida hao mazombi mnaokula nauli zao usifananishe na mashababi😅 hao ni mabwege tu! Unaliwaje nauli na mwanamke kizembe. Kama mzigo kutoa hataki aseme ni msimamo tu! Haina shanapa yani.
Kwamba we hujawahi kuliwa nauli?? Usikute we ndio wale mnaotoa ruhusa msachiwe mtu achukue hela zote akuachie walau hela kidogo tu ya kulinda mfuko
 
Habari za muda huu

Kuna demu moja hivi nilikutana nae tukafahamiana akawa mteja wangu,nikamtongoza akakubali .Ila kutoa mzigo akawa anaringa na kuzungusha nikamuuliza au unataka uniuzie??
Akasema yeye hafanyi biashara

Kwakuwa nilishajua vingi toka kwakee nikampandia Fb kwa account ambayo jina lake sio halisi.Nikamchombeza chombeza akaitika
Nikamwambia tukutane Lodge akakubali kwa makubaliano ya kumlipa 30K
Ikafika siku ya kuja Lodge nikampigia simu akapokea,nikaongea nae akaniwmbia anaenda mjini kununua mafuta ya kupikia nikamwambia apitie twende wote akakataa.( Nilipiga ili kuona if yuko na Safari kweli)

Mimi nikatangulia mjini nikachukua lodge
Alivyofika akaniwmbia nitoke nikampokee , nikamwambia naoga aje tuu ndani akabisha bisha mwisho akakubali
Alivyofika hakuamini macho yake kunikuta ndio Mimi
Akauliza kwanini umenifanyia hivi??
Nikampanga panga
Akagoma.Nikamwambia Basi Mimi nakuacha hapa

Badae akaniomba nisimwambie yeyote kuhusu lile na hatorudia tena akanipa mzigo na hela hakudai
Yaani kwa study case yako moja tayari inatosha kutoa majumuisho???
Utafiti sio rahisi hivyo....
 
Kwamba we hujawahi kuliwa nauli?? Usikute we ndio wale mnaotoa ruhusa msachiwe mtu achukue hela zote akuachie walau hela kidogo tu ya kulinda mfuko
Ukila hata 500 yangu ,lazima utoe mzigo kwanjia yeyote ile
 
Back
Top Bottom