Nimeamua kuacha kutafuta dada poa

Mungu akurehemu kwa rehema zake nyingi.
 
Kwa wale ambao hawajawah fika hapo,ila walishatazama series ya prison break,basi pale napafananisha na SONA PRISON.
 
Pale Lubumbashi ni hatari sana,ukifika tu maeneo yale unahisi kabisa hauko salama..unaona kabisa kama upo peponi hivi🤣
Mkuu,
Hiyo Lubumbashi iko maeneo gani? Huwa naisikia tu ...
 
Ukiwa Tabata kuna mademu smart sana hasa wenye vyumba vyao binafsi, na hata wengine huwa wanalalamika kuwa kuna wadau sio smart wakija kupata huduma.
 
We ulijichanganya kiboya sana... Mbezi mwisho kuna sehem gani ya maana? Ulitakiwa uje hii njia ya Goba ndo utakuta sehemu za maana na watu wa maana... Ila nadhani ilikua njia yako ya kuacha hizo tabia ndo maana ukaelekezwa huko
 
Jana si niliwachana kwamba nilikuwa na dada poa,? Kwa jina lingine ni Malaya si mnakumbuka? Sasa yule demu ni mnene ila si sana ila shida ni mvivu kweli aisee kwahiyo nimejuta sana kwanza pesa nimepoteza nimejuta sana kwasababu nilimcash 50000 kwa usiku mmoja aisee

Kwahivyo pesa imeenda bure na mimi huuu ujinga wa utelezi naomba napoteza nguvu na pesa ni ujinga tu bora nioe tu sitaki Malaya tena.
 
Mkuu afican sana unasema kuna malaya smart na wasafi ?

Are you serious??
 
Unaenda vichochoroni huko kwa wahuni

Na ukipigwa bisu sisi tukikupeleka kijijini kwenu tunamwambia mama yako ukweli hatusemi uongo

Hatujali cha kusitiri maiti wala nini ..
 
Ni muda mrefu umepita tangia kuachana na yule aliyeniambia anataka nimtumikie kama malkia Kisha nikachukua uamuzi wa kuondoka kwake Kwa speed ya 5G.

Japo tulipishana nilimkumbuka Kwa mambo aliyokuwa ananipa kwenye SITA Kwa SITA.Kila nikimuwaza mashine hiyo imesimama DEDE.Nikajitafakari na kuona kuliko kujichukulia Sheria mkononi ngoja nizame mtaani.

Yaliyonikuta sasa baada ya kuingia chemba ya Wauza raha.Nikabonga na mmoja wao akawa anasema ;"Kaka kama unataka show time basi chumba unalipia 5000 show 10000.

Nikabaki nimeshangaa maana Kwa Wauza raha wa Dar sio expensive hivyo.Katika kujitafakari nikaona huu ni uharibifu wa rasilimali fedha nikajiambia ; "Kweli ndani ya sekunde chache za kimoko afu 15000 initokee ngoja nitulie.................

KAMA NI HIVI BORA NIKUBALI NDOA SASA MAANA UNAJISEVIA .
 
Kila nikumuaga malaya huwa natoka na majuto kwanini nomenunu malaya? Mara ya mwisho mimi ilokua tar 7.1.2023. Tangu hapo kila nikifkiria kununua hiwa nagaili siku inaita. Nadhani naelekea kuacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…