Nimeamua kuacha kutafuta dada poa

Unaenda vichochoroni huko kwa wahuni

Na ukipigwa bisu sisi tukikupeleka kijijini kwenu tunamwambia mama yako ukweli hatusemi uongo

Hatujali cha kusitiri maiti wala nini ..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kakudanganya nani kwenye ndoa unajisevia tu?
 
Dah Kweri hapa naisi ni DRC maana zaga za kila namna zipo
 
Ukitoka round about panda kidogo kama unaenda goba,Kisha Kunja kushoto.mkono wa Julia utaona shule ya msingi Ina madarasa ya ghorofa.
 
Umebadilisha tu aina ya madada poa , karibu kwenye ulimwengu wa tuma na yakutolea.
 
Ukiwa hapo mbezi stand ya daladala, upande wa pili kule chini kwenye frem kuna bar moja na gest moja ipo ndani ndani hapo malaya wa pale ni wachafu sana ukijumlisha na gest yao chafu mno alafu wameweka taa hafifu zinawaka kama mshumaa.

Sipakumbuki vizuri pana itwaje cz nilipita nikiwa nimelewa. Ninachokumbuka tuu nilitoroka kama mjusi mpaka barabarani nikapanda gari lolote lililo mbele yangu kukwepa ile kadhia nikajikuta nipo segerea konda anasema hapa ndo mwisho wa gari
 
Noma sana Mzee... Zote ni harakati tuu
 
Vipi mkuu ulifanikiwa kweli kuacha ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…