Nimeamua kuachana na masuala ya dini, sihitaji kero za ajabu

Yaani unaongelea kukataa kushikwa akili na dini yet huwezi kutengeneza maana zako mwenyewe ku-support misimamo yako? Bado umelala wewe.
Tatizo la Waafrika na hasa WaTz ni kutokuyaamini mawazo au fikira za wenzao Waafrika,hivi kweli kabisa mtu unaamini dini ya kizungu au kiarabu itakupeleka mbinguni ambako ni angani hakuna ukomo wa anga na haohao wazungu ndiyo walikufundisha kuwa dunia ni duara na imezungukwa na maji na hewa huku ikielea hewani,je unaakili wewe unayeamini ktk uislam na ukristo??

Mu-Islam ni wa uko wa islam na lazima awe mwarabu.

M-kristo ni wa ukoo wa kristo na ni lazima awe mzungu
 
Muulize yeye mungu wake anaitwa nani?

Waafrika ni takataka kabisa yaani unakuta mtu kasoma seminari ,kabatizwa na kupewa jina jipya kisha kuwa profesa lakini bado hajitamvui kwa kuona kuwa dini ni uongo uliopitiliza.

Yaani mtu ukaombe kwa Mungu kupitia yesu wa kizungu na muhamad wa waarabu na siyo WAZAZI wako au ukahiji makha au jerusalem na siyo kwenu kwenye asili yako.

Machelea kusema wasomi wote hasa maprofesa wanaoabidu katika uislam na ukristo ni vibudu tusitarajie wataleta mabadiliko ktk Afrika labda wazungu na warabu warudi tena na kiwaamisha kwa kuwaambia kuwa yooooye waliyolishwa waafrika ni mambo ya kisadikika na hayahusiani na uhalisia wa kumuabudu MUNGU hivyo warejee kwenye IBADA ZAO ZA ASILI za KIAFRIKA,ingawa kuna watao kataa na kudai ni habari za uongo kwa kuwa ni mwisho wa dunia manabii wa uongo wametumwa na shetani.
 
Muulize yeye mungu wake anaitwa nani?

Waafrika ni takataka kabisa yaani unakuta mtu kasoma seminari ,kabatizwa na kupewa jina jipya kisha kuwa profesa lakini bado hajitamvui kwa kuona kuwa dini ni uongo uliopitiliza.

Yaani mtu ukaombe kwa Mungu kupitia yesu wa kizungu na muhamad wa waarabu na kuwaacha WAASISI WAKO kweli huyo MUNGU wa kweli akusikie,Afrika SHTHOLES ON THIS!!
 
Maafrika-Islam ni majinga hivi unatambua asili ya Wa-Islam ni ukoo wa Islam na ni waarabu?

Wewe mwafrika unaingiaje kwenye ukoo ambao hauna nasaba nao hata ukipima DNA haupo karibu nao kabisaa,jitambue!!
 
Unatambua maama na asili ya U-Islam au umekaririshwa tu?
U-Islam asili yake ni mila na tamaduni za ukoo wa Islam na lazima Mu-Islam awe mwarabu kulingana na asili ya ukoo wa islam kuwa ni Iatabini.

Haya wewe Mwafrika-Islam na elimu yako uliyolishwa unavonadaba na ukoo wa Islam?

Tatizo mnarithi tu vitu pasipo kudadisi ukweli wake hivi,hakuna mwafrika muislam wote ni waongo na wafuata mkumbo,siyo kila elimu unayoletewa au uliyoletewa ni ya kweli mnapaswa kudadisi na kupata ukweli.

Kwanini uislam uwe na madhehebu kibao wakati mtume wao ni mmoja wote???
 
Bila dini kuna nini?
Bila dini Kuna uhalisia ulio halisi wa asili. Jiulize nyuki anatengeneza asali ana dini au amefundishwa? Je, mchwa amefundishwa kujenga nyumba yake? Buibui amefundishwa kutengeneza utando wake? Ndege kama shorwe amefundishwa kujenga kiota chake?

Kwanini wewe na mimi tufundishwe kuhusu dini tunapozaliwa?

Dini imewekwa kwa ajili ya kunufaisha watawala/Elites.

Ukijiuliza maswali utapata majibu
 
Utamaduni upi huo ? Wakati tamaduni zimepotea kitambo tu ,leo hii hata elimu ya kabila lako unaijua ?

Unasoma tamaduni za wazungu mpaka wale Hadazabe unawaona wachafu ...Hakuna mila ya mwafrika imebaki unless kwa jamii kama wamasai na Hadzabe .
 
Utamaduni upi huo ? Wakati tamaduni zimepotea kitambo tu ,leo hii hata elimu ya kabila lako unaijua ?

Unasoma tamaduni za wazungu mpaka wale Hadazabe unawaona wachafu ...Hakuna mila ya mwafrika imebaki unless kwa jamii kama wamasai na Hadzabe .
Anayesema tamaduni zimepotea basi hajui nini maana ya utamaduni.
 
Mbaya zaidi wanachukua na kuharibu bongo za watoto wadogo,kuwa tia hofu na kuwaaminisha ujinga..nashauri dini zigundishwe mtu akishakua mtu mzima awe na uwezo wa kuhoji na kuelewa dhana halisi.


Uisharamu ndio tatzo kubwa.
 
Soma jina langu linajieleza.
Basi utamaduni unao.
Lugha ni sehemu ya utamaduni bado wazigua, wabondei, Wasambaa, wadigo na Wagunya wa kule Mkinga na Horohoro.

Hivyo ni ngumu kufuta utamaduni wa watu kwenye kila kitu ila kwenye maswala ya Imani kwa watu wa pwani.

Yaani kuanzia Tanga hadi Mtwara bado mnachanganya dini za jadi na hizi za jahazi.

Hivyo hujakana ila umeonyesha athari ya Imani na elimu ya kigeni
 
Mbaya zaidi wanachukua na kuharibu bongo za watoto wadogo,kuwa tia hofu na kuwaaminisha ujinga..nashauri dini zigundishwe mtu akishakua mtu mzima awe na uwezo wa kuhoji na kuelewa dhana halisi.


Uisharamu ndio tatzo kubwa.
Sahihi kabisa, yaani mtoto haelewi ila ana kazaniwa nenda kanisani au msikitini aisee.
 
sahihi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…