Nimeamua kuachana na masuala ya dini, sihitaji kero za ajabu

Nimeamua kuachana na masuala ya dini, sihitaji kero za ajabu

Wahadzabe, kina dudukwee wana dini gani ? Mbona wanaishi ?
Wana dini yao ,wana mfumo kamili wa maisha ; jinsi ya kutambua vitu ,kuoana na kufanya sherehe zao ,aina ya vyakula ,mgawanyo wa majukumu ,mipaka katika jamii yao.

Hiyo ni dini tosha.!
 
Mkuu kwanini unaniona mjinga ? Duniani kuna dini ngapi ? Kwanini yakwako uione ya maana kuliko zote ?
Nakuona mjinga kwa kile ulichokiandika. Sababu kinyume Cha kutokuwa na elimu juu ya jambo fulani, ndio ujinga wenyewe huo. Wewe huna elimu juu ya hiki unachokijadili.

Ziko dini nyingi sana, sababu dini yangu inaendana na hali halisia na ndio dini ya mitume wote na manabii wote.

Akili iliyo salama inakataa ya kuwa, iweje Mungu awe mmoja halafu dini ziwe nyingi, lazima tu itakuwepo dini Moja ya kweli. Hii ndio akili salama inavyoelekeza.
Wakati wewe utakuwa Muislam sababu tu umezaliwa na wazazi waislam, leo na wap waliipokea hivyo hivyo kabla ya christianity na uislam kuja Africa watu hawakuwepo ? Walikuwa wanaabudu dini gani ?

Kila mwanadamu anazaliwa akiwa katika umbile la UISLAMU, isispkuwa wazazi wake ndio humfanya akawa muabudu moto, au jus au dini nyingine.

Mimi sikuishia tu kuwa Muislamu wa kuzaliwa, bali naendelea kuusoma UISLAMU wangu. Sababu kwetu sisi Waislamu kujifunza dini yetu ni jambo la lazima.

Watu walikuwepo, soma historia hao mababu zenu mnaowasema wameabudu mizimu au miti, baada ya kukengeuka na kuacha dini ya Mola. Hivi Kuna watu wa mwanzo zaidi ya Adamu ? Suala la kuabudi mizimu ni jambo jipya limekuja baadae.

Unaweza kututhibitishia dini za mababu zako zilianza lini na ilikuwaje wakaabudu hayo waliyo yaabudu ? Najua hapa huwezi sababu huna historia hata ya vizazi vyenu kumi nyuma.
Yan hizi dini za mapokeo zimefanya umeniona mjinga , dini za mapokeo zimekufanya utengeneze matabaka, kama unaweza kuionyesha chuki wazi wazi kwenye mwezi wenu mtukufu wa ramadhani hapa nani ni stupid mimi au wewe ?..

Wewe una akili gani kijana ? Mbona unazidi kuonyesha ujinga wako ? Shida ni mapokeo au shida ni kuujua ukweli na kuufata ? Lazima nikuonejinga sababu hujishughulishi na elimu na hutaki kuujua ukweli.

Matabaka unayaleta wewe kwa kuleta uafrika na uzu gu, kama hili nalo huliono kwako, hunajafikia kiwango cha kujadili hii mada.

Kingine, hapa hujaonyeshwa chuki, bali sisi hatupendi ujinga na hatuwapendi watu WAJINGA. Nimekupa stahiki yako.
 
kwanini hamtaki watu wahoji uhalali wa hizi dini ? Dunia ina dini zaidi ya 10 na man uhakika ungezaliwa shiraz huko labda ungekuwa mbahai, leo ungekuja kusema vibaya christianity na uislam, umesahau kufikiria geographia ya eneo ulilozaliwa ndio linaamua uwe dini gani?

Hakuna sehemu ambayo tumekataa msihoji mambo ya dini, bali ni jambo ambalo limehimizwa sana, sababu tumepewa uhuru tangu pale tulipoumbwa na tukapewa na akili na miongozo.

Shida yenu hamuhojo bali mnahitimisha juu ya mambo msiyo yajua, na kuleta ujuaji. Hakikisheni mnayo ya kanusha muwe mnayajua vizuri, na mkihoji muhoji mambo ya maana sio mnaleta ujuaji. Hili ndio hatulitaki.

Uzuri elimu inasafiri na kuthirishwa, kama Leo hii UISLAMU umefika kwetu huna sababu ya kuandika hiki unachokiandika.
 
Dunia ina dini zaidi ya 10 na man uhakika ungezaliwa shiraz huko labda ungekuwa mbahai, leo ungekuja kusema vibaya christianity na uislam, umesahau kufikiria geographia ya eneo ulilozaliwa ndio linaamua uwe dini gani? Ndio mana wazaramo wengi ni Muslim ila wachaga wengi wakristo tena RC, Sababu tu sehemu wanazotokea dini fulani ikiwa kusambazia hawa wote hawakuchagua dini wameipokea kutoka kizazi hadi kizazi, kabla ya hizi dini kuja Africa MUNGU hakuwepo? Umesahau kujiuliza kwanini hakuna Mtume hata mmoja rangi nyeusi, au kwanini hakuna hata mtume hata mmoja alotokea Africa ?

Maana yake wapo Wachaga Waislamu, Sasa jiulize hao Waislamu ilikuwaje wakawa Waislamu ?

Hoja ni kuwa hutakiwi ubweteke katika kuutafuta ukweli. Mfano Leo hii wewe huwezi kuwa na udhuru sababu umeshafikishiwa habari juu ya dini ya dini ya kweli. Ukizembea lazima utawajibishwa tu kwa uzembe wako.

Upuuzi mwingine mlio nao ni pale ambapo kwenye mambo mengine mnaweka juhudi kubwa sana, lakini katika muongozo na dini ya kweli mnaleta ujuaji, uvivu na uzembe. Aisee kaeni mkijua ya kuwa Mola wetu hapendi watu wazembe na WAJINGA.
 
Mkuu, hata elimu ni urithi tuliokabidhiwa, na kama elimu umeipenda, lazima uielewe.

Kwa mkutadha huo, hata dini ni urithi ila hujaielewa kwa kuwa hujaipenda.

Maisha mema huko uendako.
Wew utakuwa na undugu n lucaas mwashambwa
 
Kwa akili yako unafikiri dini kwa ajili ya watu tu peke yao ? Huu ujinga mnautoa wapi ?

Binadamu ndio kiumbe cha mwisho cha kuumbwa.

Weka ushahidi ya kuwa watu walianza kisha ikafata dini.
Hakuna uthibitisho kuwa binadamu aliumbwa.

Dini zimeanzishwa na watu, hili ni swala la kufuata mantiki tu.

Uislamu umeanzishwa na Mohammed, kabla ya Mudi hakukuwa na Mohammed Wala Mungu aliyeitwa Allah ila kulikuwa na Al Allat, Al Huzza na Al Manat ambao ni Miungu ya kale iliyoabudiwa na Waarabu na ilianzishwa na watu kabla ya Mudi.

Ukristo ulianzishwa na wafuasi wa mtu aliyeitwa Yesu na ndio kutamalaki kulianzia hapa ila kabla yake hakukuwa na hicho kitu.

Mfano huo uuendeleze kwa Mussa ya Wayahudi, Sidhaarta budha na Ubudha, Krishna na Wahindu.

Ahmad na Ahmadiya kutokea Lahore Pakistan.

Nje ya watu, hizo dini zilikuwa zinaabudiwa na miamba au miti 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wana dini yao ,wana mfumo kamili wa maisha ; jinsi ya kutambua vitu ,kuoana na kufanya sherehe zao ,aina ya vyakula ,mgawanyo wa majukumu ,mipaka katika jamii yao.

Hiyo ni dini tosha.!
Huo ni utamaduni na sio dini
Dini inahusisha kusujudu au kuabudu kwa supreme being.
Msilazimishe utamaduni=dini
 
Huo ni utamaduni na sio dini
Dini inahusisha kusujudu au kuabudu kwa supreme being.
Msilazimishe utamaduni=dini
Hapo kuna tatizo ,dini ni mfumo wote unaona wa kila siku ,ukijumuisha tamaduni zote na taratibu.

Kama unasema inahusu kusujudu basi umepotea ,dini zipo mamilion ila mpaka sasa zitambulika 4,000 ...Ndio maana ukiwa muislamu au mkristo hauwezi kufuata mizimu kwa sababu ni utaratibu tofauti , ukiwa na muislamu au mkristo hauwezi kufauta mila kwa sababu dini mbili haziingiliani.

Dini zinazosujudu ni kama waislamu na Wengine.

Leo nahisi unajua waislamu wanavaaje ,ndoa zao zinakuwaje na wakristo hivyo hivyo ...Basi dini inajumuisha maisha yote ya mwanadamu ikiwa ni pamoja na mila na tamaduni.
 
Nimepiga hesabu nikaona dini ni urithi mmoja wa ajabu sana, ninaamini Mungu yupo ila nita mwabudu nje ya hilo box.

Yaani unazaliwa na kukabidhiwa kitu usichokielewa au kupewa nafasi ya kuchagua.

Na hizi dini ndio zimetengeneza viumbe wenye hulka ya mazombie au vampire, ambao wao kazi yao ni kufata wasemayo viongozi au maandishi wasiyoelewa asili yake.

Mara mtu ampige au amtukane mwenzie kisa dini, yaani unajiona bora kisa dini tena utasikia wewe huendi mbinguni!.

Kuanzia Leo nina Imani na sio dini nisizozielewa.
Karibu kwenye ibada ya mizimu, madhabahu yangu iko kwenye milima ya Uluguru
 
Back
Top Bottom