Tanganian
JF-Expert Member
- Jan 27, 2025
- 999
- 1,898
Elimu haina facts labda kama huelewi , dini ina facts ndio maana maandishi ya muda yanatumika mpaka sasa ...Elimu yote ni manipulation yaani inapitwa na wakati ...Elimu haina majibu ni vile haina uelekeo mmoja .Tofauti ya elimu na dini, elimu ina facts and some evidence supports. Dini one the otherside doesnt, ina require pure imani
Siasa nayo imefanana na dini kwa mbalii ila tofauti facts zake zinafichwa, ili wanasiasa wafaidi
Utaamua utafuata kipi, vyote havipo sawa
Mpaka sasa elimu sio mfunguo wa maisha tena , elimu ni dini maana ni utaratibu : Mfano elimu ya sheria leo haina maana kwa vile ni utaratibu wa wazungu wala hukumu zake hazina uhusiano , ile hukumu ya kunyongwa inaweza kufutwa hata kesho ila hauwezi kubadili elimu ya dini.
Elimu na dini ni ishu pana sana , nikikuambia Hadzabe wana elimu na dini zao utakataa?
Elimu unayozungumzi wewe ni kuongea kingereza 😀 😀 😀 ukienda nchi nyingine ukakuta wanasoma mambo tofauti utashangaa.