Nimeamua kuachana na masuala ya dini, sihitaji kero za ajabu

Nimeamua kuachana na masuala ya dini, sihitaji kero za ajabu

Baada ya kuanza kutumia kichwa vzr kufikiri.
 
Bible na Quran tunaziita ni coded books za kufungua mlango wa sita wa fahamu na kufungua siri zilizojifichwa duniani.
Ukivisoma kama gazzet utaishia level ya kufukuza mapepo tu usijue kuitumia hazina iliyomo ndani ya vitabu hivyo matatizo yakukimbie ule kuku kwa mrija.
Hebu nipe hizo contents kwanza kidogo nione
 
Bible na Quran tunaziita ni coded books za kufungua mlango wa sita wa fahamu na kufungua siri zilizojifichwa duniani.
Ukivisoma kama gazzet utaishia level ya kufukuza mapepo tu usijue kuitumia hazina iliyomo ndani ya vitabu hivyo matatizo yakukimbie ule kuku kwa mrija.
Big chai
 
Dini imekuwa mfumo kama ilivyo mifumo
Mingine ya kijamii ,chama nk,kabla ya dini hapo nyuma kulikuwa na namna ya wazee wetu kuabudu na kushughulika na mambo yao ya kijamiii kama namna ya kusaidia watu na kujumuika katika nyanja mbalimbali kama misiba ,harusi na magonjwq na mifumo yote hiyo ya kale imekufa dini imechukua nafasi
Ndio inahusika na matatizo ya watu shughuri zote za kijamiii kama harusi ,misiba nk
Unapoachana na dini sio kosa ila unajiweka nje ya mfumo ambao tayari ile ya asili ilishakufa
Ndio shida inaanzia hapo sikuizi hata kupata sehemu ya mtu kuzikq nje ya mfumo wa dini ni kazi sana wanmiliki viwanja vya kusikia pamoja na waombolezaji ,wanamiliki mifumo yote ya kuoa na kuolewa nk iyo jipange vizuri ikiwa unajiweka nje ya mfumo huu
 
Dini imekuwa mfumo kama ilivyo mifumo
Mingine ya kijamii ,chama nk,kabla ya dini hapo nyuma kulikuwa na namna ya wazee wetu kuabudu na kushughulika na mambo yao ya kijamiii kama namna ya kusaidia watu na kujumuika katika nyanja mbalimbali kama misiba ,harusi na magonjwq na mifumo yote hiyo ya kale imekufa dini imechukua nafasi
Ndio inahusika na matatizo ya watu shughuri zote za kijamiii kama harusi ,misiba nk
Unapoachana na dini sio kosa ila unajiweka nje ya mfumo ambao tayari ile ya asili ilishakufa
Ndio shida inaanzia hapo sikuizi hata kupata sehemu ya mtu kuzikq nje ya mfumo wa dini ni kazi sana wanmiliki viwanja vya kusikia pamoja na waombolezaji ,wanamiliki mifumo yote ya kuoa na kuolewa nk iyo jipange vizuri ikiwa unajiweka nje ya mfumo huu
Hayo yote naya jua, na yata fanyika nje ya dini hizo.
 
Dini ni mpango wa dunia kuitawala kiurahisi kupitia mafundisho na hisia, uislamu umeshika sana waislam huku ukristo ukizidi mara dufu....leo ni vita sana kuelewana..

Dini kwangu si kitu basi tu
 
Namshukuru Allah kwa Neema ya Uislam.


رَبَّنَا لاَ تُزِغْ قُلُوبَنَا بَعْدَ إِذْ هَدَيْتَنَا وَهَبْ لَنَا مِن لَّدُنكَ رَحْمَةً إِنَّكَ أَنتَ الْوَهَّابُ

(They say): “Our Lord! Let not our hearts deviate (from the truth) after You have guided us, and grant us mercy from You. Truly, You are the Bestower.”

(Qur-an 3:8)

Namuomba Allah anifishe katika Uislam, Aamiin.
 
Hivyo ndivyo ndivyo inavyotakiwa! Uko sahihi Kabisa! Unachotakiwa ni, 1.Mwamini BWANA Yesu,
2.Tubu dhambi zako kwa Mungu kwa Jina la Yesu
3.Ishi maisha ya Maombi ili Mungu akuwezeshe kuishi maisha ya Ushindi kwa kila eneo
4.FANYA KAZI KWA BIDII KWA AJILI YA MAHITAJI YAKO.

Usidanganywe na MAOMBEZI! Mungu humjibu maombi kila AMWOMBAYE bila kujali ni Mchungaji au Kiongozi wa Dini au Muumini wa kawaida.

Usisikilize Vitisho vya Wahubiri kwamba usipotoa hiki,mara utakwenda motoni ,mara utalaaniwa harafu unatoa kwa hofu! Hapana! KUTOA NI HIARI.
MWISHO: Hukumu ipo kwa kila Mwenye dhambi,Dhambi zilileta Kifo.

Hatutaishi Duniani Milele.
 
Back
Top Bottom