Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #181
Kufunga milango au kabati mkuu?Unakimbia kufunga bro!!!!!!
We funga TU mkuu jitahidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufunga milango au kabati mkuu?Unakimbia kufunga bro!!!!!!
We funga TU mkuu jitahidi
Mkuu wewe si muislamu safi?, hebu toa maana ya kafiri?.Kafir wewe usipokuwa muisilamu ni kafir
Pamoja Sana mkuuSafi.
Watu mnaamka sasa.
A lie must surely perish.
On the throne of time religion must perish.
Religion must go!
Once you are born you are given a name, a nationality and a religion, You spend the rest of your life defining and defending fictional identities.
Religion is a fictional identity.
Congratulations for emancipating yourself from mental slavery.
Yaani dini Ina waita watu makafiri🤣😂Ukafiri tu
Hapo itakuwa umepunguza kiwango cha upumbavu kwa asilimia kubwa sanaNimepiga hesabu nikaona dini ni urithi mmoja wa ajabu sana, ninaamini Mungu yupo ila nita mwabudu nje ya hilo box.
Yaani unazaliwa na kukabidhiwa kitu usichokielewa au kupewa nafasi ya kuchagua.
Na hizi dini ndio zimetengeneza viumbe wenye hulka ya mazombie au vampire, ambao wao kazi yao ni kufata wasemayo viongozi au maandishi wasiyoelewa asili yake.
Mara mtu ampige au amtukane mwenzie kisa dini, yaani unajiona bora kisa dini tena utasikia wewe huendi mbinguni!.
Kuanzia Leo nina Imani na sio dini nisizozielewa.
Kwani mchawi anapoondoka kwenda kuwanga anaondoka na mwili wake si anauacha kitandani umelala ukipumua na kukoroma huku yeye kitambo yupo USA anashiriki vikaoKuna wanao sema yesu ni Mungu, vipi alipo kufa msalabani dunia ili baki na nani?.
kwanini aseme baba iki kupendeza niokoe na kikombe hiki?, ko ali kuwa ana jikejeli?
Kutakuwa na mito ya pombe! Ha ha ha ha ha! Sasa kwa nini tusinywee huku huku?Angalia theory za kufikirika eti kuta kuwa na mabikra 72, kisa tu kasikia au kuambiwa.
vipi na hawa wanawake na dada zetu nao wata pewa vijeba 72 viwa shughulikie?
asiye muisilamu ni kafir tuMkuu wewe si muislamu safi?, hebu toa maana ya kafiri?.
Kazi Kweli kweliKutakuwa na mito ya pombe! Ha ha ha ha ha! Sasa kwa nini tusinywee huku huku?
na mzinifu nae kafirika au sio?asiye muisilamu ni kafir tu
Na anayechinja watu msumbiji kwa jina la Allah ni kafir piaasiye muisilamu ni kafir tu
Ugaidi sio dini ni itikadi, ugaidi sio uislam Wala UkristoNa anayechinja watu msumbiji kwa jina la Allah ni kafir pia
asiye muisilamuna mzinifu nae kafirika au sio?
Kwani anaiomba mifukoLakini hauwazi kuwa kila jumapili unaenda kuomba toba mbele ya mifuko miwili ya cement iliyochanganywa na kokoto
View attachment 3258492
We huoni bendera zao? Au unjitia wazimu!Ugaidi sio dini ni itikadi, ugaidi sio uislam Wala Ukristo
Nisingekuona hapa ningeshangaaMungu wako anaitwa nani?