Nimeamua kuachana na masuala ya dini, sihitaji kero za ajabu

Nimeamua kuachana na masuala ya dini, sihitaji kero za ajabu

Actually waliojishikamaniza na dini kwa kuhudhuria yale yahusianayo na dini husika eg kwenda Kanisani kwenda Msikitini etc hawana tofauti na wale wanaotoka Bunju mpaka Taifa kushangilia Simba na Yanga.

Au kuingia bar kunywa pombe au gest kufanya yale yawafurahishayo so ni uamuzi wa mtu na mimi huwa namshangaa mtu anapojifanya anapenyeza itikadi zake kwa wengine tena kwa nguvu asijue kila mmoja kwa nafsi yake kwa wakati wake atakutana na destiny yake huku yeye akiwa hayupo,tunaishi dunia huru mtu akitaka kufanya hiki afanye akitaka kufanya kile afanye even akifikia kusema hakuna Mungu aachwe aseme kwa sababu sisi sote hakuna anayeweza kusema ni bora kuliko wengine na majibu yote tutayapata siku tukifunga macho.
 
Angalia theory za kufikirika eti kuta kuwa na mabikra 72, kisa tu kasikia au kuambiwa.

vipi na hawa wanawake na dada zetu nao wata pewa vijeba 72 viwa shughulikie?
Swali mujarabu ambalo hata imam wa Makkah hana jibu solid unless kama wanadai huko peponi wanawake hakuwahusu lakini vinginevyo kama nao kunawahusu bali kila mwanamke apewe vingwangwa vyake konki kabisa 72 awe anazagamuana kinomanoma kama midume nayo inapatiwa kila mmoja mademu 72 ambao wote wanakuwa na bikra zao mwanana kabisa.
Wagalatia nao eti ukimwani Yesu tu na kutubu regardless ujahili wote ulioufanya duniani mbingu ni ya kugusa tu unatia timu, na mbinguni inasemekana ni juu, sijui juu wapi wakati dunia inazinguka(though I know haya maandiko yaliandikwa enzi watu wakiamini dunia iko kama meza, they thought it was flat back in those days)
Dini zimejaa madudu ya kufikirika mengi ambayo hayana solid proofs.
 
Swali mujarabu ambalo hata imam wa Makkah hana jibu solid unless kama wanadai huko peponi wanawake hakuwahusu lakini vinginevyo kama nao kunawahusu bali kila mwanamke apewe vingwangwa vyake konki kabisa 72 awe anazagamuana kinomanoma kama midume nayo inapatiwa kila mmoja mademu 72 ambao wote wanakuwa na bikra zao mwanana kabisa.
Wagalatia nao eti ukimwani Yesu tu na kutubu regardless ujahili wote ulioufanya duniani mbingu ni ya kugusa tu unatia timu, na mbinguni inasemekana ni juu, sijui juu wapi wakati dunia inazinguka(though I know haya maandiko yaliandikwa enzi watu wakiamini dunia iko kama meza, they thought it was flat back in those days)
Dini zimejaa madudu ya kufikirika mengi ambayo hayana solid proofs.
yaani ni story ambazo ziko hovyo kudadadeki.
 
Actually waliojishikamaniza na dini kwa kuhudhuria yale yahusianayo na dini husika eg kwenda Kanisani kwenda Msikitini etc hawana tofauti na wale wanaotoka Bunju mpaka Taifa kushangilia Simba na Yanga.

Au kuingia bar kunywa pombe au gest kufanya yale yawafurahishayo so ni uamuzi wa mtu na mimi huwa namshangaa mtu anapojifanya anapenyeza itikadi zake kwa wengine tena kwa nguvu asijue kila mmoja kwa nafsi yake kwa wakati wake atakutana na destiny yake huku yeye akiwa hayupo,tunaishi dunia huru mtu akitaka kufanya hiki afanye akitaka kufanya kile afanye even akifikia kusema hakuna Mungu aachwe aseme kwa sababu sisi sote hakuna anayeweza kusema ni bora kuliko wengine na majibu yote tutayapata siku tukifunga macho.
Sahihi sana mkuu, hoja safi kabisa.
 
Actually waliojishikamaniza na dini kwa kuhudhuria yale yahusianayo na dini husika eg kwenda Kanisani kwenda Msikitini etc hawana tofauti na wale wanaotoka Bunju mpaka Taifa kushangilia Simba na Yanga.

Au kuingia bar kunywa pombe au gest kufanya yale yawafurahishayo so ni uamuzi wa mtu na mimi huwa namshangaa mtu anapojifanya anapenyeza itikadi zake kwa wengine tena kwa nguvu asijue kila mmoja kwa nafsi yake kwa wakati wake atakutana na destiny yake huku yeye akiwa hayupo,tunaishi dunia huru mtu akitaka kufanya hiki afanye akitaka kufanya kile afanye even akifikia kusema hakuna Mungu aachwe aseme kwa sababu sisi sote hakuna anayeweza kusema ni bora kuliko wengine na majibu yote tutayapata siku tukifunga machotosha.
Wengi wenye hoja Kama hii yako ya mlengo huu.

Huwa ni hohehahe/ wachovu/ walio vurugwa/ kata tamaa/ changanyikiwa/ wenye tatizo la afya ya akili/ wenye frustrations/ walio na pesa nyingi mpaka kukufuru/watu walio achieve utajiri mwingi na ukawapotosha.

Moja ya above ndio Jambo mtakua nalo kwa Nia njema TU nimeyaeleza hayo & vice versa is True 😊.
 
Wengi wenye hoja Kama hii yako ya mlengo huu.

Huwa ni hohehahe/ wachovu/ walio vurugwa/ kata tamaa/ changanyikiwa/ wenye tatizo la afya ya akili/ wenye frustrations/ walio na pesa nyingi mpaka kukufuru/watu walio achieve utajiri mwingi na ukawapotosha.

Moja ya above ndio Jambo mtakua nalo kwa Nia njema TU nimeyaeleza hayo & vice versa is True 😊.
min -me mwingine huyu 😂 😂
 
Back
Top Bottom