Nimeamua kuachana na masuala ya dini, sihitaji kero za ajabu

Nimeamua kuachana na masuala ya dini, sihitaji kero za ajabu

Na kuna wale wanaosigina paji zao za uso kwenye sakafu na kubinua makalio daily ×5
Naam Hiyo inaitwa sijida heshima mbele ya Mungu muumba mbingu na Ardhi, siyo kama hili sanamu ulilotengeneza kwa mikono yako alafu unaliomba baraka na msamaha
downloadfile.png
 
Halafu sisi ni chama Cha ma jobless pro max, tuna uhuru wa kujibiana😆

Kwa hiyo hauna utaratibu wa maisha ? Hata panya ana utaratibu wake katika maisha yake ya kila siku.

Unaambia duniani kuna dini mamilion .
Dini tunayozungumzia hapa ni mfumo wa imani desturi unaelezea uhusiano wa mwanadamu na nguvu zisizoonekana kama inavyodaiwa.
 
Dini za Uislamu , ukristo na uyahudi wanaishi kwa utaratibu wa Mungu ...Zipo dini za watu ; mfumo wa rasta kama jamaica ile ni dini maana kuna taratibu zao.

Ndio maana nchi kama china walikuwa na dini nyingi sana ...Dini ni utaratibu uliokuwa kamili hata ayeabudu mizimu ana dini.
Hizo dini ali leta nani?, Kama dini ni muhimu mbona hao walio tuletea Wana uana kila kukicha?
 
Bila ya dini binadamu hawezi kuishi ,never kabisa ...Kwa sababu dini ni utaratibu ,hakuna jamii isiyokuwa na utaratibu ,never existed!
Wabantu wengi tu kabla ya ujio wa wakoloni hawakuwa na dini hizi za nje ya Afrika.
Hawakuabudu chochote na wengine waliheshimu mizimu(mababu waliokufa) waliishi vizuri tu.
Jamii inaweza kujenga taboos, ethics, e.t.c na zikawasaidia kuishi vizuri in harmony.
 
Issue ni kua na religion tolerance Mbona sisi tunaisha na tuna jamiiana vizuri na waislamu.

Ukimkuta MLOKOLE RADICAL au MUSLIM RADICAL nitatizo Ila ukimkuta mtu msomi ni mwelewa Sanaa.

So hata Rastafarian nao Wana piga Bangi...Mfano WA BUDDHA nao Wana Imani yao NOT KILLING ANYTHING OR LET IT SUFFER.

Swali wewe unaamini Nini? Mpaka USEME hautaki dini.


Mfano hauamini Katika ufufuo na kuzaliwa Mara ya pili.

Kasome yohana 3:16
Yohana 5:18
Mkuu kwanini hiyo dini isi simamishe mauaji kwa hao walio tuletea hizo dini?.

Wali ua mababu zetu, tuka achwa na sera uki pigwa kulia geuka kushoto.
 
Dini za Uislamu , ukristo na uyahudi wanaishi kwa utaratibu wa Mungu ...Zipo dini za watu ; mfumo wa rasta kama jamaica ile ni dini maana kuna taratibu zao.

Ndio maana nchi kama china walikuwa na dini nyingi sana ...Dini ni utaratibu uliokuwa kamili hata ayeabudu mizimu ana dini.
Dini hizi hizi ambazo viongozi wake ni wezi, wauaji na hata wanao support mambo ya ajabu ajabu?

Papa kabariki mambo ya upinde, wale wazee wa imani wame support ndoa za miaka 9 ?
 
Nime piga hesabu nika ona dini ni urithi mmoja wa ajabu sana, nina amini Mungu yupo ila nita mwabudu nje ya hilo box.

yaani una zaliwa na kukabidhiwa kitu usicho kielewa au kupewa nafasi ya kuchagua.

na hizi dini ndio zime tengeneza viumbe wenye hulka ya mazombie au vampire, ambao wao kazi yao ni kufata wasemayo viongozi au maandishi wasiyo elewa asili yake.

Mara mtu ampige au amtukane mwenzie kisa dini, yaani una jiona bora kisa dini tena uta sikia wewe huendi mbinguni!.

Kuanzia Leo nina Imani na sio dini nisizo zielewa.
Mambo ya ajabu sana
 
Mimi pia naamini uwepo wa Mungu na so muumini wa dini yeyote kwa Sasa.
Siibi, situkani, siuwi, sidhulumu, sisemi uongo, muaminifu Sana Sana.
Nimeacha kwenda kanisani toka 2016 au 2017 hivi.
tuko pamoja mkuu, kanisa au msikitini sikumbuki ni lini
 
Mimi pia naamini uwepo wa Mungu na siyo muumini wa dini yeyote kwa Sasa.
Siibi, situkani, siuwi, sidhulumu, sisemi uongo, muaminifu Sana Sana.
Nimeacha kwenda kanisani toka 2016 au 2017 hivi.
Wewe una dini ila mahudhurio yako ya kukutana na Wenzako kila jumapili ni hafifu au duni kabisa mkuu.
 
Back
Top Bottom