Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #121
Naona zina nirushia stimuWamekufanyaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona zina nirushia stimuWamekufanyaje
Kwakua TU hutumii kilevi chochote. Hapa ningejua labda umekunywa😅🤣 Ila najua wewe haunywi vilevi Wala kuvuta vilevi.Mkuu kwanini hiyo dini isi simamishe mauaji kwa hao walio tuletea hizo dini?.
Wali ua mababu zetu, tuka achwa na sera uki pigwa kulia geuka kushoto.
mkuu imani pasipo kuhoji ni ushirikinaKwakua TU hutumii kilevi chochote. Hapa ningejua labda umekunywa😅🤣 Ila najua wewe haunywi vilevi Wala kuvuta vilevi.
Hela zina anzia kiasi gani?Eti huna haja 😂😂, acha kujitetea mkuu tafuta tu hela upate peace of mind
Nani kakufungua macho, na aliyekuwa amekufunga ni nani?Siendi kokote, nime funguka macho tu.
Sahihi kabisaWabantu wengi tu kabla ya ujio wa wakoloni hawakuwa na dini hizi za nje ya Afrika.
Hawakuabudu chochote na wengine waliheshimu mizimu(mababu waliokufa) waliishi vizuri tu.
Jamii inaweza kujenga taboos, ethics, e.t.c na zikawasaidia kuishi vizuri in harmony.
Mkuu huyo Eva ana asili ya wapi?, mbona sisi ngozi nyeusi tusiwe na kashinje wetu?Nani kakufungua macho, na aliyekuwa amekufunga ni nani?
Angalia kufunguka kwako macho kusikuletee balaa.
Kwenye dini unazozikimbia, kuna stori ya Hawa/Eva aliyedhani anafunguliwa macho na nyoka, nini kilitokea kwa wanafamu wa kwanza?
Nilikuwa naamini dini ya ukristo wa katoliki toka utotoni.Wewe una dini ila mahudhurio yako ya kukutana na Wenzako kila jumapili ni hafifu au duni kabisa mkuu.
Umasikini na masikini walikuwepo toka kale.Dini ni maisha ya binadamu ,dini ni mila na utaratibu ,bila ya dini hakuna binadamu ..Unataka kusema nn?
Utaratibu wa binadamu umekuwa ukibadilika ,kwanza zamani hapakuwa na umaskini ila gap la umaskini lilianza kujitokeza baada ya Maendeleo
Kila mtu ana dini unless uhuni anafanya mtu binafsi kwa kuhukumu hivyo utachelewa sana.Dini hizi hizi ambazo viongozi wake ni wezi, wauaji na hata wanao support mambo ya ajabu ajabu?
Papa kabariki mambo ya upinde, wale wazee wa imani wame support ndoa za miaka 9 ?
sio kwamba mfungo umekushinda shekheNimepiga hesabu nikaona dini ni urithi mmoja wa ajabu sana, ninaamini Mungu yupo ila nita mwabudu nje ya hilo box.
Yaani unazaliwa na kukabidhiwa kitu usichokielewa au kupewa nafasi ya kuchagua.
Na hizi dini ndio zimetengeneza viumbe wenye hulka ya mazombie au vampire, ambao wao kazi yao ni kufata wasemayo viongozi au maandishi wasiyoelewa asili yake.
Mara mtu ampige au amtukane mwenzie kisa dini, yaani unajiona bora kisa dini tena utasikia wewe huendi mbinguni!.
Kuanzia Leo nina Imani na sio dini nisizozielewa.
Mkuu, upo kwenye point ya kufunguka macho, ni hatua nzuri, endelea shika hapo hapo. Mimi acha niendelee na stori za kufunga macho za dini.Mkuu huyo Eva ana asili ya wapi?, mbona sisi ngozi nyeusi tusiwe na kashinje wetu?
Kwa nyongeza ya jibu lililo tangulia.Wewe una dini ila mahudhurio yako ya kukutana na Wenzako kila jumapili ni hafifu au duni kabisa mkuu.
Kwahy sakafu mnayosiginia nyuso zenu ilishushwa from heaven ?!Naam Hiyo inaitwa sijida heshima mbele ya Mungu muumba mbingu na Ardhi, siyo kama hili sanamu ulilotengeneza kwa mikono yako alafu unaliomba baraka na msamahaView attachment 3258557
Sawa mkuuMkuu, upo kwenye point ya kufunguka macho, ni hatua nzuri, endelea shika hapo hapo. Mimi acha niendelee na stori za kufunga macho za dini.
Ubatili na wizi mtupuKwenye dini hapo kinachonikera nikuacha kumsaidia jiraniyangu mwenye shida let say anaumwa anaitaj 10,000 akatibiwe alafu nikaenda kuwapa hiyo ten kama sadaka miamba wenye afya zao na magar ya kifahar wakat jiran yangu anateseka. Alaf wananipiga sound et nimemtolea bwana.
Hilo nalo neno🤣😂sio kwamba mfungo umekushinda shekhe
Ubatili mtupu 🤣😂Kila mtu ana dini unless uhuni anafanya mtu binafsi kwa kuhukumu hivyo utachelewa sana.
Hata korea kaskazini ukifanya basi wewe na familia yako mtapata adhabu ,tena kizazi chako😅😅ila sio fair kuhukumu namna hiyo.
Kiongozi wa dini ni mtu ,yeye ni kufikisha neno tu basi ila ana dhambi kama wengine.
Hahahahaa naishia hapa brazaHuo u daktari wa keyboard Ume anza lini?