HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 1,108
- 1,132
KajitambuaMkuu,
Nini kimekukuta? Nini kime ishake Imani YAKO.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KajitambuaMkuu,
Nini kimekukuta? Nini kime ishake Imani YAKO.
MunguMungu wako anaitwa nani?
Mungu wako anaitwa nani?
Watu walikuwepo kabla ya dini.Kama ni hivyo basi ; elimu ni utapeli , pesa , vyama vya siasa , mfumo wa kuzaana maana unaweza kuzaliwa ukajikuta kweny familia ya kimaskini automatically mpaka ukakua ukawa hivyo na bado unalazimishwa kupambana . Unapambana nn?
Biashara unazofundisha hazina uhalisia hata wewe hauna mafanikio ,kiufupi kila mtu anavutia kwake ..Short and clear dunia haina maana kama hamna uwepo wa dini.
mungu ni cheo,Mungu
😅Kama inakuja ila ukweli ni kwamba hata kupeleka mtoto shule ni utapeli..Umeleta ujanja ujanja wa ki mantiki - logical fallacy
NIliona youtube mkuu, some jews agree with that others dontHatari sana masta, hata mtu mweusi anaweza kuwa yahudi ? Basi nimechelewa kujua.... Enlighten me..
Dini ni maisha ya binadamu ,dini ni mila na utaratibu ,bila ya dini hakuna binadamu ..Unataka kusema nn?Watu walikuwepo kabla ya dini.
Dini ni tokeo la watu waliokuwa wanafikiria.
Ndio maana wakakuelezea jinsi motoni na peponi kutaksvyo kuwa.
Tatizo watu wameacha kufikiri na kutumia maandiko ya waliofikiri kuwa ukweli Mtakatifu
Jiite Mungu sasamungu ni cheo,
wapo wengi wana majina yao(Yahweh, Allah, Zues, Osiris nk.)
hata wewe unaweza kuwa mungu
Hii hoja ya kufungulia uziImla inasaidia nini, mbona ume launch personal attack, kwanini usije na hoja za msingi za kupinga alichokisema, jamaa ana logic, unazaliwa na watu wakristo why does that makes you a Christian automatically vip kama ukristo haufai na Islam ndio din ya ukweli au unazaliwa na na Islam unakuwa Muislam automatic vipi kama Islam haufai din ya ukweli ukristo ? Kwanini anaekuzaa wewe akuingize kwenye din ya uwongo kama kweli hizi dini moja wapo ya uwongo? Kwanini dini tu iwe daraja la kumfikia MUNGU, ? Usilete reference ya kwenye Bible wala Qur'an hivi vitabu wazungu wakikaa wakavisuka vizuri tu ili kumanipulate watu weusi.
inabidi uwe na watu wanakuabudu, na unawapa faida fulaniJiite Mungu sasa
Bila dini kuna nini?Dini ni maisha ya binadamu ,dini ni mila na utaratibu ,bila ya dini hakuna binadamu ..Unataka kusema nn?
Utaratibu wa binadamu umekuwa ukibadilika ,kwanza zamani hapakuwa na umaskini ila gap la umaskini lilianza kujitokeza baada ya Maendeleo
Bila ya dini binadamu hawezi kuishi ,never kabisa ...Kwa sababu dini ni utaratibu ,hakuna jamii isiyokuwa na utaratibu ,never existed!Bila dini kuna nini?
Hii youtube short niliiona asubuhi, haya mambo yapo complicated sanamapema tu, maana watu wana baguana kisa dini zilizo kuja kwa mtumbwi.
Huu ni mtazamo wako na tafsiri yako , ila bila hata imani ya Mungu watu wana ishi .Bila ya dini binadamu hawezi kuishi ,never kabisa ...Kwa sababu dini ni utaratibu ,hakuna jamii isiyokuwa na utaratibu ,never existed!
Dini za Uislamu , ukristo na uyahudi wanaishi kwa utaratibu wa Mungu ...Zipo dini za watu ; mfumo wa rasta kama jamaica ile ni dini maana kuna taratibu zao.Huu ni mtazamo wako na tafsiri yako , ila bila hata imani ya Mungu watu wana ishi .
Issue ni kua na religion tolerance Mbona sisi tunaisha na tuna jamiiana vizuri na waislamu.Mkuu imani na dini ni vitu viwili tofauti, imani ni ya ndani, hizo dini ni jau jau.
Yaani tuna laani ubaguzi wa mzungu, halafu sisi tuna chukiana kwa vitabu vilivyo kuja kwa mtumbwi?
Na kuna wale wanaosigina paji zao za uso kwenye sakafu na kubinua makalio daily ×5Lakini hauwazi kuwa kila jumapili unaenda kuomba toba mbele ya mifuko miwili ya cement iliyochanganywa na kokoto
View attachment 3258492
Sina dini yoyote wala sisali popote na nina ishi vizuri tu.Dini za Uislamu , ukristo na uyahudi wanaishi kwa utaratibu wa Mungu ...Zipo dini za watu ; mfumo wa rasta kama jamaica ile ni dini maana kuna taratibu zao.
Ndio maana nchi kama china walikuwa na dini nyingi sana ...Dini ni utaratibu uliokuwa kamili hata ayeabudu mizimu ana dini.