Nimeamua kuachana na masuala ya dini, sihitaji kero za ajabu

Nimeamua kuachana na masuala ya dini, sihitaji kero za ajabu

Kama ni hivyo basi ; elimu ni utapeli , pesa , vyama vya siasa , mfumo wa kuzaana maana unaweza kuzaliwa ukajikuta kweny familia ya kimaskini automatically mpaka ukakua ukawa hivyo na bado unalazimishwa kupambana . Unapambana nn?

Biashara unazofundisha hazina uhalisia hata wewe hauna mafanikio ,kiufupi kila mtu anavutia kwake ..Short and clear dunia haina maana kama hamna uwepo wa dini.​
Watu walikuwepo kabla ya dini.
Dini ni tokeo la watu waliokuwa wanafikiria.
Ndio maana wakakuelezea jinsi motoni na peponi kutaksvyo kuwa.

Tatizo watu wameacha kufikiri na kutumia maandiko ya waliofikiri kuwa ukweli Mtakatifu
 
Watu walikuwepo kabla ya dini.
Dini ni tokeo la watu waliokuwa wanafikiria.
Ndio maana wakakuelezea jinsi motoni na peponi kutaksvyo kuwa.

Tatizo watu wameacha kufikiri na kutumia maandiko ya waliofikiri kuwa ukweli Mtakatifu
Dini ni maisha ya binadamu ,dini ni mila na utaratibu ,bila ya dini hakuna binadamu ..Unataka kusema nn?

Utaratibu wa binadamu umekuwa ukibadilika ,kwanza zamani hapakuwa na umaskini ila gap la umaskini lilianza kujitokeza baada ya Maendeleo
 
Imla inasaidia nini, mbona ume launch personal attack, kwanini usije na hoja za msingi za kupinga alichokisema, jamaa ana logic, unazaliwa na watu wakristo why does that makes you a Christian automatically vip kama ukristo haufai na Islam ndio din ya ukweli au unazaliwa na na Islam unakuwa Muislam automatic vipi kama Islam haufai din ya ukweli ukristo ? Kwanini anaekuzaa wewe akuingize kwenye din ya uwongo kama kweli hizi dini moja wapo ya uwongo? Kwanini dini tu iwe daraja la kumfikia MUNGU, ? Usilete reference ya kwenye Bible wala Qur'an hivi vitabu wazungu wakikaa wakavisuka vizuri tu ili kumanipulate watu weusi.
Hii hoja ya kufungulia uzi
 
Dini ni maisha ya binadamu ,dini ni mila na utaratibu ,bila ya dini hakuna binadamu ..Unataka kusema nn?

Utaratibu wa binadamu umekuwa ukibadilika ,kwanza zamani hapakuwa na umaskini ila gap la umaskini lilianza kujitokeza baada ya Maendeleo
Bila dini kuna nini?
 
Huu ni mtazamo wako na tafsiri yako , ila bila hata imani ya Mungu watu wana ishi .
Dini za Uislamu , ukristo na uyahudi wanaishi kwa utaratibu wa Mungu ...Zipo dini za watu ; mfumo wa rasta kama jamaica ile ni dini maana kuna taratibu zao.

Ndio maana nchi kama china walikuwa na dini nyingi sana ...Dini ni utaratibu uliokuwa kamili hata ayeabudu mizimu ana dini.
 
Mkuu imani na dini ni vitu viwili tofauti, imani ni ya ndani, hizo dini ni jau jau.

Yaani tuna laani ubaguzi wa mzungu, halafu sisi tuna chukiana kwa vitabu vilivyo kuja kwa mtumbwi?
Issue ni kua na religion tolerance Mbona sisi tunaisha na tuna jamiiana vizuri na waislamu.

Ukimkuta MLOKOLE RADICAL au MUSLIM RADICAL nitatizo Ila ukimkuta mtu msomi ni mwelewa Sanaa.

So hata Rastafarian nao Wana piga Bangi...Mfano WA BUDDHA nao Wana Imani yao NOT KILLING ANYTHING OR LET IT SUFFER.

Swali wewe unaamini Nini? Mpaka USEME hautaki dini.


Mfano hauamini Katika ufufuo na kuzaliwa Mara ya pili.

Kasome yohana 3:16
Yohana 5:18
 
Dini za Uislamu , ukristo na uyahudi wanaishi kwa utaratibu wa Mungu ...Zipo dini za watu ; mfumo wa rasta kama jamaica ile ni dini maana kuna taratibu zao.

Ndio maana nchi kama china walikuwa na dini nyingi sana ...Dini ni utaratibu uliokuwa kamili hata ayeabudu mizimu ana dini.
Sina dini yoyote wala sisali popote na nina ishi vizuri tu.
 
Back
Top Bottom