Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana una toka nje ya mifumo ya ajabu🤣😂Ukiachana na dini itabidi uanze kuishi kwa akili sana, calculate every move
NaamHongera sana! Umekuwa binadamu kamili.
Binadamu lazima uwe rational. Moja ya kitu watu wengi wenye imani wanapishana nacho ni Logic.
Unaandika kama vile una kigugumiziNime piga hesabu nika ona dini ni urithi mmoja wa ajabu sana, nina amini Mungu yupo ila nita mwabudu nje ya hilo box.
yaani una zaliwa na kukabidhiwa kitu usicho kielewa au kupewa nafasi ya kuchagua.
na hizi dini ndio zime tengeneza viumbe wenye hulka ya mazombie au vampire, ambao wao kazi yao ni kufata wasemayo viongozi au maandishi wasiyo elewa asili yake.
Mara mtu ampige au amtukane mwenzie kisa dini, yaani una jiona bora kisa dini tena uta sikia wewe huendi mbinguni!.
Kuanzia Leo nina Imani na sio dini nisizo zielewa.
Pole kwa kuchelewa mwaisa, Dini ni usnitchNime piga hesabu nika ona dini ni urithi mmoja wa ajabu sana, nina amini Mungu yupo ila nita mwabudu nje ya hilo box.
yaani una zaliwa na kukabidhiwa kitu usicho kielewa au kupewa nafasi ya kuchagua.
na hizi dini ndio zime tengeneza viumbe wenye hulka ya mazombie au vampire, ambao wao kazi yao ni kufata wasemayo viongozi au maandishi wasiyo elewa asili yake.
Mara mtu ampige au amtukane mwenzie kisa dini, yaani una jiona bora kisa dini tena uta sikia wewe huendi mbinguni!.
Kuanzia Leo nina Imani na sio dini nisizo zielewa.
Aisee ni kweli kabisa, I'm free.Mi naona kama ulichelewa sana kuamka ilitakiwa nikuchape fimbo walau tatu zakuchelewa!..
sasahivi mimi sihitaji kuongea sana ni vipigo tu wasitusumbue tumeshaongea sana lkn hayaelewi...🤣
Tena usnitch wa kuletewa.Pole kwa kuchelewa mwaisa, Dini ni usnitch
Mkuu pole Sana Kama una ugonjwa huo, maana Ina pelekea kuona kila mtu ni victim Kama wewe.Unaandika kama vile una kigugumizi
Basi kama hauna ni heri. Sasa kwa ushauri rudi shule kidogo kujifunza imla ndio uje kuchambua masuala ya imaniMkuu pole Sana Kama una ugonjwa huo, maana Ina pelekea kuona kila mtu ni victim Kama wewe.
Yaani unaongelea kukataa kushikwa akili na dini yet huwezi kutengeneza maana zako mwenyewe ku-support misimamo yako? Bado umelala wewe.Hiyo siyo definition ya urithi, kasome tena kijana.
Kama ni hivyo basi ; elimu ni utapeli , pesa , vyama vya siasa , mfumo wa kuzaana maana unaweza kuzaliwa ukajikuta kweny familia ya kimaskini automatically mpaka ukakua ukawa hivyo na bado unalazimishwa kupambana . Unapambana nn?
Biashara unazofundisha hazina uhalisia hata wewe hauna mafanikio ,kiufupi kila mtu anavutia kwake ..Short and clear dunia haina maana kama hamna uwepo wa dini.
Wanaconvert sikuhizi mkuuNdio mana me Jews nawaelewa wanasema huwez kuwa dini yako kama hukuzaliwa myahudi, Yan huwez kuzaliwa mkristo au Muislam alafu ukifika miaka 30 ukawa myahudi hiyo ni never.....dini zinazingua sana
OhooooLakini hauwazi kuwa kila jumapili unaenda kuomba toba mbele ya mifuko miwili ya cement iliyochanganywa na kokoto
View attachment 3258492
Hivi Asia wanaabudu imani gani. Wahindi, Korea humo mpaka JapanWaafrika tukiendelea kuamka kama hivi basi tutegemee makubwa soon. Kwani huu ndio mwanzo wa kujithamini na kuacha kuona walioleta hizi dini ni bora kuliko sisi. Asians wengi hawaamini wala hawawaoni wazungu na waarabu kuwa ni bora zaidi yao, bali ni binadamu tu wanaovuja damu vilevile. Wanajua alichofanya mzungu na wao wanaweza wakiamua.
Dini ni kifungo cha akili ili wapate kutawala bila kipingamizi.
Imla inasaidia nini, mbona ume launch personal attack, kwanini usije na hoja za msingi za kupinga alichokisema, jamaa ana logic, unazaliwa na watu wakristo why does that makes you a Christian automatically vip kama ukristo haufai na Islam ndio din ya ukweli au unazaliwa na na Islam unakuwa Muislam automatic vipi kama Islam haufai din ya ukweli ukristo ? Kwanini anaekuzaa wewe akuingize kwenye din ya uwongo kama kweli hizi dini moja wapo ya uwongo? Kwanini dini tu iwe daraja la kumfikia MUNGU, ? Usilete reference ya kwenye Bible wala Qur'an hivi vitabu wazungu wakikaa wakavisuka vizuri tu ili kumanipulate watu weusi.Basi kama hauna ni heri. Sasa kwa ushauri rudi shule kidogo kujifunza imla ndio uje kuchambua masuala ya imani
Hatari sana masta, hata mtu mweusi anaweza kuwa yahudi ? Basi nimechelewa kujua.... Enlighten me..Wanaconvert sikuhizi mkuu