Nimeamua kuachana na masuala ya dini, sihitaji kero za ajabu

Nimeamua kuachana na masuala ya dini, sihitaji kero za ajabu

Nime piga hesabu nika ona dini ni urithi mmoja wa ajabu sana, nina amini Mungu yupo ila nita mwabudu nje ya hilo box.

yaani una zaliwa na kukabidhiwa kitu usicho kielewa au kupewa nafasi ya kuchagua.

na hizi dini ndio zime tengeneza viumbe wenye hulka ya mazombie au vampire, ambao wao kazi yao ni kufata wasemayo viongozi au maandishi wasiyo elewa asili yake.

Mara mtu ampige au amtukane mwenzie kisa dini, yaani una jiona bora kisa dini tena uta sikia wewe huendi mbinguni!.

Kuanzia Leo nina Imani na sio dini nisizo zielewa.
Unaandika kama vile una kigugumizi
 
Nime piga hesabu nika ona dini ni urithi mmoja wa ajabu sana, nina amini Mungu yupo ila nita mwabudu nje ya hilo box.

yaani una zaliwa na kukabidhiwa kitu usicho kielewa au kupewa nafasi ya kuchagua.

na hizi dini ndio zime tengeneza viumbe wenye hulka ya mazombie au vampire, ambao wao kazi yao ni kufata wasemayo viongozi au maandishi wasiyo elewa asili yake.

Mara mtu ampige au amtukane mwenzie kisa dini, yaani una jiona bora kisa dini tena uta sikia wewe huendi mbinguni!.

Kuanzia Leo nina Imani na sio dini nisizo zielewa.
Pole kwa kuchelewa mwaisa, Dini ni usnitch
 
Kama ni hivyo basi ; elimu ni utapeli , pesa , vyama vya siasa , mfumo wa kuzaana maana unaweza kuzaliwa ukajikuta kweny familia ya kimaskini automatically mpaka ukakua ukawa hivyo na bado unalazimishwa kupambana . Unapambana nn?

Biashara unazofundisha hazina uhalisia hata wewe hauna mafanikio ,kiufupi kila mtu anavutia kwake ..Short and clear dunia haina maana kama hamna uwepo wa dini.​

Umeleta ujanja ujanja wa ki mantiki - logical fallacy
 
Waafrika tukiendelea kuamka kama hivi basi tutegemee makubwa soon. Kwani huu ndio mwanzo wa kujithamini na kuacha kuona walioleta hizi dini ni bora kuliko sisi. Asians wengi hawaamini wala hawawaoni wazungu na waarabu kuwa ni bora zaidi yao, bali ni binadamu tu wanaovuja damu vilevile. Wanajua alichofanya mzungu na wao wanaweza wakiamua.

Dini ni kifungo cha akili ili wapate kutawala bila kipingamizi.
Hivi Asia wanaabudu imani gani. Wahindi, Korea humo mpaka Japan
 
Basi kama hauna ni heri. Sasa kwa ushauri rudi shule kidogo kujifunza imla ndio uje kuchambua masuala ya imani
Imla inasaidia nini, mbona ume launch personal attack, kwanini usije na hoja za msingi za kupinga alichokisema, jamaa ana logic, unazaliwa na watu wakristo why does that makes you a Christian automatically vip kama ukristo haufai na Islam ndio din ya ukweli au unazaliwa na na Islam unakuwa Muislam automatic vipi kama Islam haufai din ya ukweli ukristo ? Kwanini anaekuzaa wewe akuingize kwenye din ya uwongo kama kweli hizi dini moja wapo ya uwongo? Kwanini dini tu iwe daraja la kumfikia MUNGU, ? Usilete reference ya kwenye Bible wala Qur'an hivi vitabu wazungu wakikaa wakavisuka vizuri tu ili kumanipulate watu weusi.
 
Back
Top Bottom