Nimeamua kuachana na masuala ya dini, sihitaji kero za ajabu

Nimeamua kuachana na masuala ya dini, sihitaji kero za ajabu

Safi.

Watu mnaamka sasa.

A lie must surely perish.

On the throne of time religion must perish.

Religion must go!

Once you are born you are given a name, a nationality and a religion, You spend the rest of your life defining and defending fictional identities.

Religion is a fictional identity.

Congratulations for emancipating yourself from mental slavery.
Pamoja Sana mkuu
 
Nimepiga hesabu nikaona dini ni urithi mmoja wa ajabu sana, ninaamini Mungu yupo ila nita mwabudu nje ya hilo box.

Yaani unazaliwa na kukabidhiwa kitu usichokielewa au kupewa nafasi ya kuchagua.

Na hizi dini ndio zimetengeneza viumbe wenye hulka ya mazombie au vampire, ambao wao kazi yao ni kufata wasemayo viongozi au maandishi wasiyoelewa asili yake.

Mara mtu ampige au amtukane mwenzie kisa dini, yaani unajiona bora kisa dini tena utasikia wewe huendi mbinguni!.

Kuanzia Leo nina Imani na sio dini nisizozielewa.
Hapo itakuwa umepunguza kiwango cha upumbavu kwa asilimia kubwa sana
 
Wengine sisi tunafungua codes kupitia vitabu vya dini tunazijua siri za dunia tunayaona maisha kwenye mwanga bora
 
Kuna wanao sema yesu ni Mungu, vipi alipo kufa msalabani dunia ili baki na nani?.

kwanini aseme baba iki kupendeza niokoe na kikombe hiki?, ko ali kuwa ana jikejeli?
Kwani mchawi anapoondoka kwenda kuwanga anaondoka na mwili wake si anauacha kitandani umelala ukipumua na kukoroma huku yeye kitambo yupo USA anashiriki vikao
 
Bible na Quran tunaziita ni coded books za kufungua mlango wa sita wa fahamu na kufungua siri zilizojifichwa duniani.
Ukivisoma kama gazzet utaishia level ya kufukuza mapepo tu usijue kuitumia hazina iliyomo ndani ya vitabu hivyo matatizo yakukimbie ule kuku kwa mrija.
 
Biblia ndio kitabu kinachotumika kila sehemu kwa sababu kimebeba funguo za maisha thus utumika makanisani, msikitini, kwenye loji za freemason,kwa waganguzi kwenye Sheria za nchi nk.
 
Back
Top Bottom