Nimeamua kujilipua kwenye kilimo, nimeandaa shamba la heka tatu za tikiti na nimepanda

Nimeamua kujilipua kwenye kilimo, nimeandaa shamba la heka tatu za tikiti na nimepanda

Hatuhitaji kujua soko lipoje, tunahitaji kujua mavuno yapo kiasi gani kwanza, je kafikia lengo, kavuka lengo au hajafikia lengo..!!!?

Kuwepo au kutokuwepo soko ni jambo jingine, kwa sababu kama ana hela anaweza akasafirisha mzigo to point B, ila uwingi au uchache wa mavuno ndo concern yetu nadhani.

Kaka ugumu wa Kilimo ni soko pekee, Japo kuna vijichangamoto vichache ila kuu ndo hili, Unakuta tikiti mteja anakuja shambani anataka kununua kwa bei ya jumla ya 800-1,500. na wewe Target uuze kwa 2500-3500. Na hao wanaokuja wanachukua tikiti 150-300 na wewe una tikiti 7000-12000.

Sasa hapo ndo unakuja kuta ni Kwanini Jakaya Kikwete nae juzi kati aliiomba Serikali itusaidie wakulima katika kutafuta soko, Japo kaja kuliona baada ya yeye kuja kuwa mkulima wa nanasi.
 
Kaka ugumu wa Kilimo ni soko pekee, Japo kuna vijichangamoto vichache ila kuu ndo hili, Unakuta tikiti mteja anakuja shambani anataka kununua kwa bei ya jumla ya 800-1,500. na wewe Target uuze kwa 2500-3500. Na hao wanaokuja wanachukua tikiti 150-300 na wewe una tikiti 7000-12000.

Sasa hapo ndo unakuja kuta ni Kwanini Jakaya Kikwete nae juzi kati aliiomba Serikali itusaidie wakulima katika kutafuta soko, Japo kaja kuliona baada ya yeye kuja kuwa mkulima wa nanasi.
Ni kweli kabisa. Ila matamanio ya wengi ni kujua kama ataweza kufika kadirio la 28m au 16m. Na uwingi na ubora wa tikiti lake ndio kitu cha msingi kujifunza hasa kutokana na njia alizotumia ili mtu mwingine amtumie kma ROLE MODEL pale inapotakikana.
 
Ni kweli kabisa. Ila matamanio ya wengi ni kujua kama ataweza kufika kadirio la 28m au 16m. Na uwingi na ubora wa tikiti lake ndio kitu cha msingi kujifunza hasa kutokana na njia alizotumia ili mtu mwingine amtumie kma ROLE MODEL pale inapotakikana.

Nyie mwazania hiyo M 26 katika kilimo cha heka 3 ni rahisi kihivyo????

Mbaya zaidi hayo mazao ni ya Chakula (Perishable), Hayatoboi wiki mbili toka yavunwe.

KWA UJUMLA WEKE ilivyo madalali ndo wanufaika wakubwa sana na kilimo. Amini usiamin.
 
whatsapp://send?text=*Nafasi mpya za kazi zinapatikana. Ingia* Jikwamue! *kuangalia. Pia usisahau kujiunga kwa SMS ili upate ujumbe kila nafasi mpya inapotoka. Kujiunga ni bure!* *TAFADHARI SHARE IWAFIKIE NA WENGINE*
 
Nyie mwazania hiyo M 26 katika kilimo cha heka 3 ni rahisi kihivyo????

Mbaya zaidi hayo mazao ni ya Chakula (Perishable), Hayatoboi wiki mbili toka yavunwe.

KWA UJUMLA WEKE ilivyo madalali ndo wanufaika wakubwa sana na kilimo. Amini usiamin.
Ndo maana watu wanademand mrejesho
 
Kaka ugumu wa Kilimo ni soko pekee, Japo kuna vijichangamoto vichache ila kuu ndo hili, Unakuta tikiti mteja anakuja shambani anataka kununua kwa bei ya jumla ya 800-1,500. na wewe Target uuze kwa 2500-3500. Na hao wanaokuja wanachukua tikiti 150-300 na wewe una tikiti 7000-12000.

Sasa hapo ndo unakuja kuta ni Kwanini Jakaya Kikwete nae juzi kati aliiomba Serikali itusaidie wakulima katika kutafuta soko, Japo kaja kuliona baada ya yeye kuja kuwa mkulima wa nanasi.
Mpaka JK? Duuh kweli viongozi wa Afrika akili huwarudia wakishaondoka madarakani
 
Ruvu nalima mpunga
W/Kilindi nalima maharage,mahindi,alizet na viazi mviringo
Vipi miundombinu ya umwagiliaji ipo au ya kutengeneza huko mashamban? wanakodisha kwa kiasi gani huko ? Naomba niku PM
 
we wa matiki peleka temeke kauze...utapata pesa nyingi kulko kuuzia shambani....FANYA VILE NAKWAMBIA...maana nmefanya biashara hyo sana
 
Marafiki zangu wana jf, ndugu zangu watanzania nitatoa update zote kwa hatua ntakayo ifikia ila pale unapofikiria ningeanza na hekar moja Mimi nafikiri kuongeza hekar ya 4. Narudia tena kusema mtaji ninao na soko kwa maeneo niliyopo linaenda kuwa zuri zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna soko zuri Sirari. Umesema kiwanda gani huchukua tikiti?
 
we wa matiki peleka temeke kauze...utapata pesa nyingi kulko kuuzia shambani....FANYA VILE NAKWAMBIA...maana nmefanya biashara hyo sana
ok, Sasa utaratibu wa kupeleka mzigo temeke inakuaje? Je unaemtu unamjua hapo Temeke??
 
Habari wana jamvi Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 24.

Sasa nimeamua kuanza kilimo baada ya changamoto nilizikumbana nazo baada ya kutoka chuoni.

Nimeandaa shamba la hekar tatu ambalo lina mashimo zaidi ya elf nne 4000, Nimepanda mbegu mbili kila shimo ambapo ntakuwa na miche elf nane 8000, Kila mche uwe na matunda mawili inamaana ntakuwa na matunda elf 16.
kama nikiyatunza vizur ntapata 1500tsh kila tunda kwa hiyo matunda 16000 mara elf moja mia tano ntapata more than 28m.
Hata kama ntauza kwa 1000tsh ntakuwa na 16m ,

Ntaleta mrejesho mwezi wa tisa,

tutakianeni Khmer.

Sent from my HUAWEI P7-L10 using JamiiForums mobile app
Mkuu elnyas twaweza kupata Mrejesho wa hii Project??
 
Nice start charii..unachokifanya hutojutia aidha upate hasara au faida, yote itakuwa ni faida kwako. Kama utapata hasara utakuwa umejifunza so its an even case kama hasara iyo haitakupoteza

Ninachokusifu ni kwmb umeanza mradi ndio ukatangaza, nice move kwa entrepreneur..imagine kama ndio ungekuwa unajipanga halafu ukaomba ushauri..all this nonsense za humu zingekukatisha tamaa, iyo ni mbinu nzuri sana nakumbuka kuna kipindi nilitaka kufanya biashara fulani na utafiti wangu ulionyesha soko la kwetu apa limedorora ila Kenya kulikuwa na market nzuri sana, alichoniambia mentor wangu ni kwamb nisimshirikishe mtu yeyote kabla ya kwenda.

So nilichokifanya nilienda nikauza,nikarudi ndio nikawajulisha baadhi ya watu wng wa karib na wote walinipinga wazo la kenya na mifano ya watu kibao waliopigwa huko nikapewa but niliwanyamazisha wote niliposema hii ni round ya pili naenda.

Kwaio usirudishwe nyuma na maneno ya watu walioshindwa, umethubutu na iyo ni hatua kubwa. Ujasiriamali/biashara sio kitu cha kubeep ts either yo in or out for good..Mentor wangu hupenda kusema 'put all eggs in one basket and carry it with both hands' tena heka hizo nichache ungejilipua hata kumi kama mfuko ungekuruhus.

Hizi maneno za heka ya majaribio ni za watu ambao wameshindwa mbona kuoa hawatoi mahari nusu kwmb anaenda kujaribu.

Good luck in yo project!!..'Pray as if its up to God and work as if its up to you'

well said mkuu
 
Back
Top Bottom