technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Asikari wetu akipiga risasi tatu akakukosa huyo sio asikari wetuhuyu kijana kakosea sana yapaswa aombe msamaha kwa kutenda kosa lake
huyu Rais mamaSSH hana maneno machafu kabisa kumtamkia maneno machafu ni kutomtendea haki
Tumia muda mwingi kumuabudu Mungu na sio binadamu kama unavyofanyaWakuu
Naomba hii thread isiunganishwe na mods huu uzi ubaki hapahapa
Siasa ni ustahimilivu na kuvumiliana lakini kutumia maneno makali inategemeana na aina ya mtu
Niwatolee mfano tu mtu kama mwendazake mdude angemjibu hivi ingekua sawa kabisa maana bwana yule naye alikua na maneno ya kashfa na kejeli na lugha chafu haswa
Lakini kwa mama sidhani kama ilikua ni uungwana kumjibu namna hiyo kwasababu uhalisia wa SSH ni mstaarabu sana na ana busara na hekima pia ndani ya siku 100 tu katupa vitu vingi sana tulivyokosa wakati wa bwana yule
Uhuru wa vyombo vya habari, demokrasia na masuala ya kiuchumi kajitahidi si haba
Ila kauli ya ndugu yangu mdude imenifanya nitafakari sana, na kauli ya mbowe pia na hata lissu, waswahili wanasema "ukimkimbiza mjusi sana mwishowe hugeuka nyoka na kukuuma"
Mimi sitaki huyu mama abadilike, wakati mwingine utakayomfanyia mtu inaweza kumbadilisha akawa mtu wa tofauti sitaki huyu mama yetu abadilike awe dikteta naombeni sana tudai haki ila kuangalia ndimi zetu
Mwisho kabisa nimeamua kujitoa chadema kuanzia leo sio mwanachama wa CDM tena wala sio kwamba eti nitaenda CCM hilo kamwe halitotokea nitasimama kuendelea kutetea Haki,uhuru na demokrasia na maendeleo bila kuwa Chadema
Maneno ya mdude yamenifanya niichukie chadema kuanzia leo sitaki hata kuisikia masikioni mwangu
Sikutarajia kama cdm ingebariki kuwa na watu wa ajabu hivi na hili la mdude limewafanya watu wengi kuichukia Chadema na hili linaweza kupelekea kupoteza asilimia 80 ya wanachama wa chadema
Najuta kwanini nilitoa mchango wangu tu maana huyu angebaki tu jela hana adabu kabisa
tuambie, ni tusi gani alilotukana?kila mtu akiheshimiwa kwa hisia zake,kuna wajinga watakuja kukutongoza na ndevu zako wakikwambia unavutia sana kama mtoto wa kike.
duniani kila jambo tunalifanya kwa kitu tunaita self control,huwezi amua fanya jambo lolote tu kisa una uwezo huo,hata kama hakuna wa kukufanya kitu.
hakuna sehemu aliyotukana.tuambie, ni tusi gani alilotukana?
Akitukana magufuli au kheri james unakuwa uzarendo
Ni jambo gani unalohitaji liwepo kwemye katiba mpya?Uliingia chadema kumfata mdude? Unakoenda unamfata mwanaume gani mwingine? Are you a man? Pole unautoto ubongoni! Kimsingi kukatalia katiba ni dharau kubwa sana kwa watz,watu wameteswa,wamepotea,wameuma kwa katiba kushindwa kuweka misingi bora ya kistaarabu katika taifa! MTU yeyote anayezuia katiba hastahili heshima kabisa
Kumbe jamaa ni muongo...Kati ya Chadema na mama ,Push Gang wanamchagua mama hawawezi kuisifu CDM na ndio maana akasema anaachana na CDM wakati hajawahai kuwa CDM bali shabiki wa Mwendazake.
Pumbavu! mbona hukujitoa ccm akina Kheri James walipokuwa Wana harisha utumboWakuu
Naomba hii thread isiunganishwe na mods huu uzi ubaki hapahapa
Siasa ni ustahimilivu na kuvumiliana lakini kutumia maneno makali inategemeana na aina ya mtu
Niwatolee mfano tu mtu kama mwendazake mdude angemjibu hivi ingekua sawa kabisa maana bwana yule naye alikua na maneno ya kashfa na kejeli na lugha chafu haswa
Lakini kwa mama sidhani kama ilikua ni uungwana kumjibu namna hiyo kwasababu uhalisia wa SSH ni mstaarabu sana na ana busara na hekima pia ndani ya siku 100 tu katupa vitu vingi sana tulivyokosa wakati wa bwana yule
Uhuru wa vyombo vya habari, demokrasia na masuala ya kiuchumi kajitahidi si haba
Ila kauli ya ndugu yangu mdude imenifanya nitafakari sana, na kauli ya mbowe pia na hata lissu, waswahili wanasema "ukimkimbiza mjusi sana mwishowe hugeuka nyoka na kukuuma"
Mimi sitaki huyu mama abadilike, wakati mwingine utakayomfanyia mtu inaweza kumbadilisha akawa mtu wa tofauti sitaki huyu mama yetu abadilike awe dikteta naombeni sana tudai haki ila kuangalia ndimi zetu
Mwisho kabisa nimeamua kujitoa chadema kuanzia leo sio mwanachama wa CDM tena wala sio kwamba eti nitaenda CCM hilo kamwe halitotokea nitasimama kuendelea kutetea Haki,uhuru na demokrasia na maendeleo bila kuwa Chadema
Maneno ya mdude yamenifanya niichukie chadema kuanzia leo sitaki hata kuisikia masikioni mwangu
Sikutarajia kama cdm ingebariki kuwa na watu wa ajabu hivi na hili la mdude limewafanya watu wengi kuichukia Chadema na hili linaweza kupelekea kupoteza asilimia 80 ya wanachama wa chadema
Najuta kwanini nilitoa mchango wangu tu maana huyu angebaki tu jela hana adabu kabisa
Basi kamfufueni magufuli mmfunde na kheri James kwanza ndiyo mje kuongeaHapo ndo unajua mwenye busara na kichwa nazi nani! Haina maana mtu akikutukana na wewe umtukane!
Ukikutana na kichaa anatukana kwa sababu anatukana na wewe unaanza kutukana. Wenye busara wanamwacha kichaa aende zake au wampeleke mirembe au watumie njia mbadala kumnyamazisha na siyo kuendelea kutukanana mnakuwa Taifa la machizi!!
Kwa hiyo wenye busara ndani ya chadema wamfunde Mdude namna ya kuongea siyo kuongea upambavu!! Atoa hoja ili zionekane hoja zina uzito gani wa kukubaliwa au kukataliwa!
However, tunahitaji katiba mpya kwa Taifa letu!! Katiba tuliyo nayo imechoka sana kwa kizazi tulichopo!!
Mbona hamkumkemea JIWE na genge lake la UV-CCM?Kauli ya Mdude ni ya kipumbavu hakuna mwenye akili anaweza kukubaliana nayo. Watanzania tunahitaji katiba mpya tena sana! Ila tunaweza kutoa kauli za busara na tukaridhiana kupata hiyo katiba kwa amani tu!!
Sioni kama mama Samia ni mtu katili kwamba asitupatie tunachohitaji! Mama ni mwelewa na pengine hata yeye mwenyewe anaona umuhimu wake!
Tudai katiba mpya siyo kwa matusi ila kwa hekima! Hata watanzania watatuelewa! Ila tukianza kutukana na kejele wenye busara watawaona kama wehu,
Busara ni kitu kidogo, CDM kama wanamtaka sana mdude wamkalishe chini wamfunze namna ya kuongea!
Mataga mmepata heekima baada ya magufuli kufa?Kauli ya Mdude ni ya kipumbavu hakuna mwenye akili anaweza kukubaliana nayo. Watanzania tunahitaji katiba mpya tena sana! Ila tunaweza kutoa kauli za busara na tukaridhiana kupata hiyo katiba kwa amani tu!!
Sioni kama mama Samia ni mtu katili kwamba asitupatie tunachohitaji! Mama ni mwelewa na pengine hata yeye mwenyewe anaona umuhimu wake!
Tudai katiba mpya siyo kwa matusi ila kwa hekima! Hata watanzania watatuelewa! Ila tukianza kutukana na kejele wenye busara watawaona kama wehu,
Busara ni kitu kidogo, CDM kama wanamtaka sana mdude wamkalishe chini wamfunze namna ya kuongea!
Sasa chuki zote hizo za nini?hakuna sehemu aliyotukana.
Kunyoa sio tusi mkuu.Huwezi mtukana mama kijinga vile. Shwaini kabisa mdude
chuki kwa nani!!!Sasa chuki zote hizo za nini?