Nimeamua kujitoa CHADEMA rasmi kutokana na Mdude, najuta kumchangia

Leteni risiti zenu nyte mliochanga hivyo vijisenti mrudishiwe na hata mkihama impact yenu ni kiduchu sana
 
Weka namba yako, wakutumie Na pesa yako aisee.

Samia kabadilika lini?.. Wakati kina Heri na Musiba wanatukana watu Mmama alikuwa wap?,, mbona kampa Heri uteuzi?

Kauli yake kuhusu Mbowe kuvunjika na Lissu kupigwa risasi ulisikia?

Halafu uache kumfananisha Shujaa na vitu vyenu hivyo tafadhali sana
 
CDM Bado Wana msifia tu kwahyo tabia, kumbe ndio maana wenye akili huwaona CDM kuwa wavuta bangi.
 
Kusema kweli kutokana na hawa wanachadema wanaosapoti maneno ya mwanachadema mwenzao mdude,nimeanza kuamini Magu alikuwa sahihi jinsi alivyo dili nao.

Kudili na mtu mshenzi inabidi uwe mshenzi zaidi.

Wengine hapa tuliwaunga mkono kwa namna mbali mbali ikiwa ni pamoja na michango,ila kwa hili na kauli za Mbowe na Tundu Lissu, nimeichukia Chadema.

Tungezisikia hizi kauli wakati wa Magu ilikuwa ni sahihi kabisa kutokana na ubabe wake pia.Ila kwa mama Hapana kwa kweli
 


Hii kauli hii kauli naona kondoo anaaunguluma kama simba akiwa anapewa amri na wafalme Simba kuwa aseme hivyo kwani ndio walikuwa wameshikamana na
mfumo mbovu uliopo!!llll
 
Wewe mccm lialia nani asiyejua?
 
Binafsi Magu nitamkumbuka sana kwa hili,wapuuzi kama hawa alikua hacheki nao,wali deserve kabisa kupasuliwa yai..mbaya zaidi walishamuharibu jela lakini ile michango ya ma zamwamwa wenzake imemtia kiburi.
 
Toa ujinga wako wewe, huna unachojua wewe mamluki. Ulitaka tuwalambe miguu?
 
Mdude ni mbwa
 
Kwani mdude anatofauti gani na akina lusinde, lijualikali, msukuma na yule bwana aliyekua mbunge wa ulanga nadhani
 
mama ni mama,akianza kuongea lugha za mwendazake kwa vitendo msijetafuta mchawi.

ndio maana sisi huwa tunawaita nyinyi ni wanafiki,maana ukweli ni kwamba hamjui kipi mnataka.

sasa hivi nina uhakika mama anajutia maamuzi ya kumwachia huyo pangahewa.
Tizama walotumia busara wanazeeka vizuri Mwinyi, Kikwete etc walotumia migasira na jazba sijui wakowapi?! Uongozi sio lelemama ni uvumilivu,uchapakazi na busara
 
Tizama walotumia busara wanazeeka vizuri mwinyi,kikwete etc walotumia migasira na jazba sijui wakowapi?! Uongozi sio lelemama ni uvumilivu,uchapakazi na busara
haipaswi kuutumia vibaya huo sio wajibu,ni hulka ya mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…