Nimeamua Kukisanua: Mo Dewji hajaweka Tsh Bilioni 20 Simba SC, ila ameshapata Faida Robo ya hiyo Pesa tokea aichukue Timu

Nimeamua Kukisanua: Mo Dewji hajaweka Tsh Bilioni 20 Simba SC, ila ameshapata Faida Robo ya hiyo Pesa tokea aichukue Timu

Hakuna Tsh Bilioni 20 za Mwekezaji Mo Dewji alizoweka Simba SC na kama kuna mwana Simba SC anajua atuambie ameweka Benki ipi na Akaunti gani.

Ninachojua ni kwamba Mo Dewji ( Mwekezaji ) wa Simba SC anadhamini Products zake bure kwa Mgongo wa Simba SC na kaamua pia kumvuta Dada yake karibu na Simba SC ili aratibu vizuri Upigaji na Wamefanikiwa kwa 75% kwani hivi sasa Klabu ya Simba inamfaidisha zaidi Kibiashara Mo Dewji kuliko yenyewe inavyofaidika na Mo Dewji.

Watendaji wa FCC, Baraza la Michezo ( BMT ) na Mamlaka ya Kodi 'walihongwa' ili Kukamilisha ule Usanii wa ile 'Dummy Cheque' ya Tsh Bilioni 20 Ili tu Mashabiki wa Simba SC ( Mambumbumbu FC Original ) tuaminishwe, tutulie na Samjo Samjo ( Mo Dewji ) aendelee 'Kutupiga' na 'Anatupiga' kweli kweli Mhindi huyu.

Si mmejifanya Kutudanganya wana Simba SC juu ya Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kunifanya Nikeshe leo kama Popo? Mtanitambua naendelea tu 'Kuwaanikeni' Alfajiri hii.
Leo wenzio watakupopoa mpaka basi
 
Naona unaona Wivu sana MImi GENTAMYCINE kuwa na Wafuasi ( Followers ) wengi hapa Jamiiforums na kuwa Maarufu.

Vipi nikuachie hii ID yangu ili nawe uupate Upako wangu wa Umaarufu utokanao na 'Natural Charm' yangu ili nawe uwe Talk of the Forum kama nilivyo?

Na kwa Tunu ( Shani ) niliyonayo baada ya Kubarikiwa na Mwenyezi Mungu naweza kukupa Wewe hii ID yangu na nikaanzisha nyingine na ndani ya muda mfupi tu ikawa Maarufu kama hii hadi Ukashangaa.

Namalizia na Swali Kwako hivi unaweza Kumchukia na Kutonikubali GENTAMYCINE hapa JamiiForums lakini bado tu 24/7 ukawa Unamfuatilia ama kwa Mada zake au Michango yake?

Mimi ni sawa na Tomato Sauce katika Chips Kuku na Mayai yake sawa? Nilichobarikiwa na Mwenyezi Mungu kamwe nyie Wapumbavu na Mataahira kamwe hamjabarikiwa navyo ndiyo maana mnaona Najiamini halafu nina Jeuri vile vile huku Dharau kwa Watu wa Mfano wako hapa Kwangu yakiwa ndiyo Makao Makuu yake.
Huu ujinga unaujaza kwenye server ya JF.

Sina akili ndogo ya kumuonea wivu popoma wa JF na followers wake 115 alionao, hapa ni nguvu ya hoja tu, sio mihemko ya kutunga kama yako.
 
Ww huna faida wala hasara yoyote uwepo wako Simba au kutokuwepo
Hakuna Tsh Bilioni 20 za Mwekezaji Mo Dewji alizoweka Simba SC na kama kuna mwana Simba SC anajua atuambie ameweka Benki ipi na Akaunti gani.

Ninachojua ni kwamba Mo Dewji ( Mwekezaji ) wa Simba SC anadhamini Products zake bure kwa Mgongo wa Simba SC na kaamua pia kumvuta Dada yake karibu na Simba SC ili aratibu vizuri Upigaji na Wamefanikiwa kwa 75% kwani hivi sasa Klabu ya Simba inamfaidisha zaidi Kibiashara Mo Dewji kuliko yenyewe inavyofaidika na Mo Dewji.

Watendaji wa FCC, Baraza la Michezo ( BMT ) na Mamlaka ya Kodi 'walihongwa' ili Kukamilisha ule Usanii wa ile 'Dummy Cheque' ya Tsh Bilioni 20 Ili tu Mashabiki wa Simba SC ( Mambumbumbu FC Original ) tuaminishwe, tutulie na Samjo Samjo ( Mo Dewji ) aendelee 'Kutupiga' na 'Anatupiga' kweli kweli Mhindi huyu.

Si mmejifanya Kutudanganya wana Simba SC juu ya Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kunifanya Nikeshe leo kama Popo? Mtanitambua naendelea tu 'Kuwaanikeni' Alfajiri hii.
 
Huu ujinga unaujaza kwenye server ya JF.

Sina akili ndogo ya kumuonea wivu popoma wa JF na followers wake 115 alionao, hapa ni nguvu ya hoja tu, sio mihemko ya kutunga kama yako.
Tokea ujiunge JF una hata Follower Mmoja tu? Great Thinkers wa JamiiForums hawana muda wa Kukufolo 'damn Fool' Wewe ila Wananifolo Mimi GENTAMYCINE because I'm 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' sawa?

Sasa kama mpaka Rais Mstaafu Kikwete, Rais Samia, Wabunge, wana Habari, Wanazuoni ( Wanataaluma ), Mabalozi kama Dk. Wilbroad Slaa, Mawaziri kama Dk. Nchemba na Wakuu wa Mikoa na Wilaya Kutwa Wananisoma' na Wananifolo GENTAMYCINE hapa JamiiForums kwanini nisiwe this ( that ) Popular?

Huna Akili.
 
Ww huna faida wala hasara yoyote uwepo wako Simba au kutokuwepo
Nisingekuwa na Faida Simba SC yako nisingetumika na Uongozi wako kufanya Umafia dhidi ya Wachezaji wa Yanga SC akina Tshishimbi, Yondan na Juma Abdul ili wachukue Hela Walegeze na tuwafunge zile Goli 4 kwa 1.

Niendelee au niishie hapa tu kwa sasa?
 
Hakuna Tsh Bilioni 20 za Mwekezaji Mo Dewji alizoweka Simba SC na kama kuna mwana Simba SC anajua atuambie ameweka Benki ipi na Akaunti gani.

Ninachojua ni kwamba Mo Dewji ( Mwekezaji ) wa Simba SC anadhamini Products zake bure kwa Mgongo wa Simba SC na kaamua pia kumvuta Dada yake karibu na Simba SC ili aratibu vizuri Upigaji na Wamefanikiwa kwa 75% kwani hivi sasa Klabu ya Simba inamfaidisha zaidi Kibiashara Mo Dewji kuliko yenyewe inavyofaidika na Mo Dewji.

Watendaji wa FCC, Baraza la Michezo ( BMT ) na Mamlaka ya Kodi 'walihongwa' ili Kukamilisha ule Usanii wa ile 'Dummy Cheque' ya Tsh Bilioni 20 Ili tu Mashabiki wa Simba SC ( Mambumbumbu FC Original ) tuaminishwe, tutulie na Samjo Samjo ( Mo Dewji ) aendelee 'Kutupiga' na 'Anatupiga' kweli kweli Mhindi huyu.

Si mmejifanya Kutudanganya wana Simba SC juu ya Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kunifanya Nikeshe leo kama Popo? Mtanitambua naendelea tu 'Kuwaanikeni' Alfajiri hii.
Kadi ya uanachama mara ya mwisho kulipia ilikuwa lini?

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
 
Chama ulimsajili ww
Miquosoni ulimsajili ww
Bila mo simba isingekuwa na thamani kama ya sasa ww na kigangwala hamna hela hata za kumlipa muhilu mishahara ya miezi miwili ila maneno mengi nyie ni mamluki tu kama mamluki wengine.
 
Kwenye Uzi wa mwanzo unamwambia kocha humtaki na mchezaji wake humtaki. Uzi watatu unalalamikia uongozi kuhusiana na kutomtangaza mchezaji unaempenda ambae Kwenye Uzi wa kwanza ulimkana.

Wanabodi wakusaidie unatatizo kubwa tu Kwenye kichwa. Mpaka jioni Kuna nuzi 20+ maana Kwa dk 20 nyuzi 4 mpaka sasa
Inabidi moderater waweke kiwango cha uzi kwa siku maana huu ni utoto.
 
Eti umafia !!!!!!we endelea kula ugali wa shemejio na bando unalomuba dada yako kima ww
Nisingekuwa na Faida Simba SC yako nisingetumika na Uongozi wako kufanya Umafia dhidi ya Wachezaji wa Yanga SC akina Tshishimbi, Yondan na Juma Abdul ili wachukue Hela Walegeze na tuwafunge zile Goli 4 kwa 1.

Niendelee au niishie hapa tu kwa sasa?
 
Una tatizo la akili naanza kuhisi utakuwa chizi, ila kwa upeo wako mdogo na wajinga wenzio unajiona "genious"

Thread zako nyingi unatafuta umaarufu kwa kuwadanganya wajinga, unaandika mambo mengi ambayo huna uhakika nayo, unajaza assumptions, umbea kuwasema watu personally, huna lolote la maana.

Unapodai kwa sababu Simba SC imeshindwa kumsajili Manzoki ndio unaropoka hovyo bila hapo ndipo nathibitisha una tatizo la akili, wewe ni pure mental, anaejielewa hatakiwi kuhangaishwa nawe.

Halafu unaposema hao wajumbe wa FCC walihongwa na Mo, una ushahidi? kama unao tuwekee hapa tuone, au nenda mahakamani.

Unadai Mo anajifaidisha binafsi kuliko Simba SC inavyofaidi, tuambie how? Simba SC imewahi kukosa nini chini ya umiliki wa Mo mpaka usema inanyonywa?

- Imewahi kushindwa kusajili mchezaji yeyote kwa kuzidiwa pesa na timu yoyote hapa ndani?

- Imewahi kukosa mishahara ya wachezaji hata mara moja?

- Imewahi kushindwa kusafiri kwenda popote kucheza mechi zake?

Wewe popoma unaiona bil. 20 nyingi hujiulizi mpaka leo Simba SC imefanikiwa kimataifa imeshatumia kiasi gani?
una mihemko ya kitoto ila unajiona mjanja!

Kuhusu Bilioni 20 wewe na wajinga wenzio mwanzo mlikuja na cheki feki, mkaona hiyo single hailipi, sasa mnapiga kelele hazipo, kama mnaamini hazipo nendeni mahakamani mkamshtaki Mo kwa udanganyifu mtapatia majibu huko, msiwachoshe akili werevu.
Naunga mkono huyu lazima dishi limeyumba au ana tatizo la saikolojia
 
Kwenye Uzi wa mwanzo unamwambia kocha humtaki na mchezaji wake humtaki. Uzi watatu unalalamikia uongozi kuhusiana na kutomtangaza mchezaji unaempenda ambae Kwenye Uzi wa kwanza ulimkana.

Wanabodi wakusaidie unatatizo kubwa tu Kwenye kichwa. Mpaka jioni Kuna nuzi 20+ maana Kwa dk 20 nyuzi 4 mpaka sasa
Kwastailye ya anayoleta... bado kidogo ataanza kuokota makopo! tumwombee bange mbaya sana
 
Una tatizo la akili naanza kuhisi utakuwa chizi, ila kwa upeo wako mdogo na wajinga wenzio unajiona "genious"

Thread zako nyingi unatafuta umaarufu kwa kuwadanganya wajinga, unaandika mambo mengi ambayo huna uhakika nayo, unajaza assumptions, umbea kuwasema watu personally, huna lolote la maana.

Unapodai kwa sababu Simba SC imeshindwa kumsajili Manzoki ndio unaropoka hovyo bila hapo ndipo nathibitisha una tatizo la akili, wewe ni pure mental, anaejielewa hatakiwi kuhangaishwa nawe.

Halafu unaposema hao wajumbe wa FCC walihongwa na Mo, una ushahidi? kama unao tuwekee hapa tuone, au nenda mahakamani.

Unadai Mo anajifaidisha binafsi kuliko Simba SC inavyofaidi, tuambie how? Simba SC imewahi kukosa nini chini ya umiliki wa Mo mpaka usema inanyonywa?

- Imewahi kushindwa kusajili mchezaji yeyote kwa kuzidiwa pesa na timu yoyote hapa ndani?

- Imewahi kukosa mishahara ya wachezaji hata mara moja?

- Imewahi kushindwa kusafiri kwenda popote kucheza mechi zake?

Wewe popoma unaiona bil. 20 nyingi hujiulizi mpaka leo Simba SC imefanikiwa kimataifa imeshatumia kiasi gani?
una mihemko ya kitoto ila unajiona mjanja!

Kuhusu Bilioni 20 wewe na wajinga wenzio mwanzo mlikuja na cheki feki, mkaona hiyo single hailipi, sasa mnapiga kelele hazipo, kama mnaamini hazipo nendeni mahakamani mkamshtaki Mo kwa udanganyifu mtapatia majibu huko, msiwachoshe akili werevu.
Ulivyoona M-bet kawekeza 26b.... so now unaona Mo hafai et!
 
Kwenye Uzi wa mwanzo unamwambia kocha humtaki na mchezaji wake humtaki. Uzi watatu unalalamikia uongozi kuhusiana na kutomtangaza mchezaji unaempenda ambae Kwenye Uzi wa kwanza ulimkana.

Wanabodi wakusaidie unatatizo kubwa tu Kwenye kichwa. Mpaka jioni Kuna nuzi 20+ maana Kwa dk 20 nyuzi 4 mpaka sasa
Ni ishara ya kukosa kazi jobles
 
Hakuna Tsh Bilioni 20 za Mwekezaji Mo Dewji alizoweka Simba SC na kama kuna mwana Simba SC anajua atuambie ameweka Benki ipi na Akaunti gani.

Ninachojua ni kwamba Mo Dewji ( Mwekezaji ) wa Simba SC anadhamini Products zake bure kwa Mgongo wa Simba SC na kaamua pia kumvuta Dada yake karibu na Simba SC ili aratibu vizuri Upigaji na Wamefanikiwa kwa 75% kwani hivi sasa Klabu ya Simba inamfaidisha zaidi Kibiashara Mo Dewji kuliko yenyewe inavyofaidika na Mo Dewji.

Watendaji wa FCC, Baraza la Michezo ( BMT ) na Mamlaka ya Kodi 'walihongwa' ili Kukamilisha ule Usanii wa ile 'Dummy Cheque' ya Tsh Bilioni 20 Ili tu Mashabiki wa Simba SC ( Mambumbumbu FC Original ) tuaminishwe, tutulie na Samjo Samjo ( Mo Dewji ) aendelee 'Kutupiga' na 'Anatupiga' kweli kweli Mhindi huyu.

Si mmejifanya Kutudanganya wana Simba SC juu ya Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kunifanya Nikeshe leo kama Popo? Mtanitambua naendelea tu 'Kuwaanikeni' Alfajiri hii.
Sema baba, wape vidonge vyao!

Na ole atokee mtu akutukune! Nipo Kwa msisi muda huu. Nitamgeuza mara moja kuwa kuku.
 
Gentamycine huna nguvu za dhakari kaa kimya,hamia Yanga ndumilakuwili wewe, Ameropoka manara na simba ipo seuze wewe popoma.
 
Itasikitisha sana endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...
 
Huwa siyumbishwi na wala sipotezewi muda na Wapumbavu na Mataahira wa Mfano wako hapa JamiiForums sawa?

Nakuuliza Swali Kuntu sasa kama unajua GENTAMYCINE nakukera na hunipendi wala Huniamini hizo Nyege zako Mshindo za kila Siku ( 24/7 ) kupenda Kunifuatilia hapa JamiiForums huwa unazitoa / unatoa wapi?

Hivi GENTAMYCINE kama mpaka sasa nina 'Followers' takriban 115 na wanazidi tu Kuongezeka ( wala siwaombi Wanifolo ) nina haja ya kutafuta Umaarufu hapa JamiiForums?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' sawa?

Huna / Hamna Akili.
Nimegundua gents wewe ni jinsia ya kike sikuzote nilikua n kidume [emoji3]

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Leo nataka wazione Hasira za Mzanaki, Mtutsi na Mmakuwa MImi. Nachukia sana KUDANGANYWA na kufanywa Popoma ( Mpumbavu ) kama walivyo hawa ( wao ) na Watanitambua leo Kudadadeki zao.
Kama unahasira kweli tuonyeshe tako
 
Back
Top Bottom