Nimeamua Kukisanua: Mo Dewji hajaweka Tsh Bilioni 20 Simba SC, ila ameshapata Faida Robo ya hiyo Pesa tokea aichukue Timu

Nimeamua Kukisanua: Mo Dewji hajaweka Tsh Bilioni 20 Simba SC, ila ameshapata Faida Robo ya hiyo Pesa tokea aichukue Timu

Wewe ndio miongoni mwa wale wafuasi wa popoma, mnaolishwa pumba mnazifakamia wala hamna upeo wa kuchambua mambo kwa upana wake.
Naona unaona Wivu sana MImi GENTAMYCINE kuwa na Wafuasi ( Followers ) wengi hapa Jamiiforums na kuwa Maarufu.

Vipi nikuachie hii ID yangu ili nawe uupate Upako wangu wa Umaarufu utokanao na 'Natural Charm' yangu ili nawe uwe Talk of the Forum kama nilivyo?

Na kwa Tunu ( Shani ) niliyonayo baada ya Kubarikiwa na Mwenyezi Mungu naweza kukupa Wewe hii ID yangu na nikaanzisha nyingine na ndani ya muda mfupi tu ikawa Maarufu kama hii hadi Ukashangaa.

Namalizia na Swali Kwako hivi unaweza Kumchukia na Kutonikubali GENTAMYCINE hapa JamiiForums lakini bado tu 24/7 ukawa Unamfuatilia ama kwa Mada zake au Michango yake?

Mimi ni sawa na Tomato Sauce katika Chips Kuku na Mayai yake sawa? Nilichobarikiwa na Mwenyezi Mungu kamwe nyie Wapumbavu na Mataahira kamwe hamjabarikiwa navyo ndiyo maana mnaona Najiamini halafu nina Jeuri vile vile huku Dharau kwa Watu wa Mfano wako hapa Kwangu yakiwa ndiyo Makao Makuu yake.
 
Duuh ngoja tuje wana simba, ila tukiachiwa timu hatuwez kuiendesha najua
Tutampa Mzee Bakhressa ( siyo Mwanae Yusuf wa Azam FC ) ambayo alikuwa na yupo tayari hata sasa Kuwekeza Simba SC kwa zaidi ya Tsh Bilioni 50.
 
Hilo lipo wazi mkuu kuwa jamaa ananufaika mno na hiyo timu.
 
Kwenye Uzi wa mwanzo unamwambia kocha humtaki na mchezaji wake humtaki. Uzi watatu unalalamikia uongozi kuhusiana na kutomtangaza mchezaji unaempenda ambae Kwenye Uzi wa kwanza ulimkana.

Wanabodi wakusaidie unatatizo kubwa tu Kwenye kichwa. Mpaka jioni Kuna nuzi 20+ maana Kwa dk 20 nyuzi 4 mpaka sasa
Mimi nikionaga Uzi halafu nikaona mtunzi ni yeye hua naupotezea maana naona hamna cha maana anachoandika
 
Tuhuma za Rushwa zisizo na ushahidi. Unahitaji Reconcilliation ya akaunti kuthibitisha tuhuma.
 
Kama kweli Manzoki ata sign Simba Sc, basi sina deni na Mo hata akifanya kama anavyofanya GSM ya kuleta wafanyakazi wake poa tu. Ningekuwa na dada ningempa kama nyongeza
 
Taarifa ikufikie tu kuwa kama utakuwa Unajiuliza ni kwanini unaona Mambo hayaendi vyema Simba SC basi jibu ni kwamba Wasababishi Wakuu ni Mwenyekiti wa Wanachama Murtaza Mangungu na CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez.

Kwanza hawaaminiani tena baada ya Wote Wawili Kushutumiana kuwa Wameisaliti Timu Msimu uliopita kwa Watu wa Yanga SC ndiyo maana Timu ikafanya vibaya na Kutia Aibu ya kutopata hata Kikombe Kimoja tu cha Mashindano ya Kueleweka na siyo ya Bonanza na Ujirani Mwema ya Mapinduzi Cup.

Murtaza Mangungu alishauri Simba SC isiachane na Sport Pesa baada ya kugundua kuwa Mbet hawana Financial Muscles za Kuidhamini Simba SC, ila CEO Barbara Gonzalez akamjibu kuwa hana exposure ya Marketing and Business hivyo atulie after all hata Mikutano ya Bodi Yeye ( Murtaza Mangungu ) huwa ni Mjumbe tu kama Wajumbe wengine.

Ugomvi wao mwingine ni Kuchukia kwa CEO Barbara Gonzalez kuwacheleweshea Wachezaji Mishahara yao na kupunguza Posho zao hali ambayo ilisababisha Wachezaji wa Simba SC kujisikia vibaya na kucheza chini ya Kiwango na Kutukosesha Raha wana Simba SC wote.

Hivi sasa Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Mangungu ni kama kaamua 'Kususa' fulani hivi na kumuachia kila Kitu CEO Barbara Gonzalez ila akiwa mbele ya Camera ( Mwenyekiti Mangungu ) hulazimika kutoa Tabasamu la Kinafiki lililojaa Usununu ( Hasira ) Kali Moyoni Ili tu Kutuzuga akina GENTAMYCINE tujue Mambo ni Shwari katika Management wakati siyo Kweli.

Mmenikera sana leo kwa Kutudanganya wana Simba SC juu ya Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kutufanya ( kunifanya ) Nikeshe kama Popo hivyo nami nimeamua sasa Kukisanua ili mnyooke na bahati nzuri nayajua almost 85% ya yanayoendelea ndani ya Simba SC.
Kwa hiyo Manzoki hatokuwa sehemu ya kikosi cha Simba Sc msimu huu?
 
Kwa hizi ndonga zinazorushwa kwenye huu uzi kuna mtu anakula ban ni swala la muda tu, ngoja nikae niangalie huu mpambano
 
Back
Top Bottom