Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi


Kuhusu dawa ya magugu inakuwaje? haina madhara shambani?
 

Yuko mzee mmoja hapo Njombe mjini karibu na kituo cha Polisi Stand, yuko vizuri kwa hii kitu, sasa hivi ndio amefanikiwa kupata nembo ya unga wake na kibali cha TFDA, je uko tayari nikuunganishe naye akupe za uvunguni?
 
Kuhusu dawa ya magugu inakuwaje? haina madhara shambani?

Hizi dawa zina madhara kama zilivyo mbolea za chumvichumvi na madawa mengine ya kilimo lakini zinasaidia sana kwa maeneo ambayo vibarua wanasumbua na pia si ghali sana mkuu!
 

Umemwambia kweli kabisa. Awe tayari Kwa lolote. Mwisho tunakutia moyo Bwana mkubwa kwa mawazo mazuri.
 


naomba contacts zako.email au simu
 
all tha best kiongozi mungu akusaidie na kumbuka maamuzi ya maisha yako mikononi mwako ni suala tu la kuamua kwamba u can face any challenge all da best kiongozi
 


Mkuu! Hebu tuambie, mradi wako huu umefikia wapi? Ninge au tungependa sana kufanya hivyo. Muda umepita sana sasa na nataraji utakuwa billionaire. Hebu mwagika hapa
 
in the beginning lazima kuwe na changamoto, wewe unataka mteremkoooo tuuu, usikate tamaa
 
Nategemea kutumia Atrazine na 2-4-D, kwa majaribio vuli, naomba uzoefu wenu kwenye matumizi ya dawa hizo au jamii yake kudhibiti magugu kwenye mahindi. Salaam
Hizi dawa zina madhara kama zilivyo mbolea za chumvichumvi na madawa mengine ya kilimo lakini zinasaidia sana kwa maeneo ambayo vibarua wanasumbua na pia si ghali sana mkuu!
 

Vipi hii project yako inaendeleaje mkuu?
 
 
mkuu mi nina miaka 19 tu. nimetishwa na kasi ya mabepari kama nyie. mwezi wa kwanza mwakani mungu akipenda nakamata hekari 100, moro.mkoa wa pwani wamekamata mafisadi wenyewe, nikisubiri miaka yetu sita pata kitu
 
Mkuu sana ELnino, vipi maendeleo ya shughuli za kilimo Turiani?

Ama jamaa kishakua fisadi na hataki kuongea nasi,au deal ili bounce na anaona soo kurudi kutupa feedback.

ELNINO,

Unajua nilivyosoma uzi wkao kwa mara ya kwanza ulinihamasisha sana nikaenda kukurupusha pori kubwa nikaanza kupunguza visiki. Kumbe baadae mzee ulichemsha sasa dah energy yote ikapungua aisee.

updates to follow!!
3rd Jan 2013

They say patience is a virtue
 
mkuu mi nina miaka 19 tu. nimetishwa na kasi ya mabepari kama nyie. mwezi wa kwanza mwakani mungu akipenda nakamata hekari 100, moro.mkoa wa pwani wamekamata mafisadi wenyewe, nikisubiri miaka yetu sita pata kitu

Hata sasa umechelewa dogo, utapata nje ya mabonde kusiko na maji na nyani/nguruwe lundo, wewe utakuwa ndio kinga ya mashamba yetu yasishambuliwe na wanyama waharibifu !!!!!!!!!! Utani dogo.

Wazo zuri.
 

Mkuu hapo kwenye red ndio kila kitu. Whatever happens you are ready to face....
 
Ardhi ni njia sahihi ya kufikia maendeleo kamili.

kutokua na maendeleo ni karibu na umasikini vyote ni kama nguvu za asili mfano wa labda kama gravity, unaitaji kiasi fulani cha mwendo kasi (mtaji na mawazo), kuishinda nguvu hii 'umasikini' kwa mmoja~ujasiri/maono na jamii~sera.
 
kutokua na maendeleo ni karibu na umasikini vyote ni kama nguvu za asili mfano wa labda kama gravity, unaitaji kiasi fulani cha mwendo kasi (mtaji na mawazo), kuishinda nguvu hii 'umasikini' kwa mmoja~ujasiri/maono na jamii~sera.

Uko sahihi kabisa
 

Mkuu me ninashamba maeneo ya Vigwaza kati ya ruvu na Chalinze, ni kama km 15 toka Morogoro road. Hakuna mto karibu. Ila nataka kulima ufuta only kwa kuzitaimu mvua za za mwanzoni. Kwa ujuzi wako hapo inaweza ikatoboa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…