Nimeamua Kumshtaki Mahakamani Mke Wangu Siku 5 Baada ya Harusi

Kuwa ujue maisha mdogo wangu!
 
Endelea kukichomeka mpk siku kinase bikra...
 
Ni
Nakumbuka sana Jf ya zamani. Kulikuwa na nyuzi nzuri sana za kuelimisha. Naomba Mello atukusanye wakongwe tuwe na Jf yetu. Ile Jf ilikuwa kisima cha maarifa unapata changamoto unakuja huku na unapewa ushauri aisee I really miss it.
YAANI WEWE ACHA TU SIKUHIZI KUMEJAA 👨‍🔧🧚‍♀️🧚‍♂️👼 VINGI MPAKA WAKONGWE TUNASHINDWA KUINGIA HUMU
 
KATAA NDOA kwa AFYA ya akili yako [emoji419]
 
[emoji2960] Ulikuwa wapi sikuzote laaziz wangu....nimejitahidi sana kuitunza mpaka age yangu hii ya 30s ...neno singlemom lisikutishe hilo ni jina kama majina mengine.TeAmo[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3531][emoji177]
Ata mama Maria mpka Leo ni bikra. [emoji848]
 

 
Hii situation hata kwa upande wangu nilishakutana nayo ila mm sikufunga ndoa baada ya kukuta binti sio bikra siku hio ndio ilikua mara ya mwisho mm na yeye kukutana,wakati tupo kwenye mahusiano daily nilikua namuuliza una uhakika wewe ni bikra, jibu lake lilikua ni ndio,,
 
We tafuta mwenye bikra, ila kumbuka wengine wanatunza bikra kwa gharama za tiGo..!!
 
Vipi, ulienda mahakamani kushitaki?
 
Hahaha... Pole sana mkuu
 
[emoji2960] Ulikuwa wapi sikuzote laaziz wangu....nimejitahidi sana kuitunza mpaka age yangu hii ya 30s ...neno singlemom lisikutishe hilo ni jina kama majina mengine.TeAmo[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3531][emoji177]
Bk ya pua au?
 
Ukishampa talaka nenda kaoe kijijini kwenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…