Nimeamua kuondoka kwa kaka na kujitegemea

Kama utajizuia kufanya zinaa, kunywa pombe , kamari na kujitahidi kujizuia na yale yasiompendeza Mtoa Ridhki...
.... Mimi nakuombea "inshallah" mwaka hauishi huu utaona mabadiliko chanya.
 
Kila la kheri kamanda Mungu akubariki
 
Nimesema labda wewe unapinga kabisa mkuu, kwani we unamjua jamaa!??
Jamaa simjui na hakuna nilipopinga nilichompa ni ushauri huwezi ukafanya Mambo kwa kukurupuka, nikampa mfano wa yule jamaa alienda muleba akaanza kutapatapa humu anaomba MSAADA wakati kwao aliondoka mwenyewe akaenda muleba eti kutafuta maisha hamjui mtu hana ramani akaanza kuomba kazi kwenye ofisi za utalii so what? Fanya Mambo kisomi sio unakurupuka ukipata shida unaanza kusumbua watu na kutiatia huruma
 
Pole ila wahenga walishasema mtegemea cha ndugu hufa masikini vile vile biblia imeandika Alaaniwe amtegemeaye mwanadamu hvyoo jitafute ujipange upya muda bado upo ni heri umeshtuka na 32 kuna wenzio walishtuka na 40 na kuendelea
 
Pole ila wahenga walishasema mtegemea cha ndugu hufa masikini vile vile biblia imeandika Alaaniwe amtegemeaye mwanadamu hvyoo jitafute ujipange upya muda bado upo ni heri umeshtuka na 32 kuna wenzio walishtuka na 40 na kuendelea
Nimecheka kama mazuri🤣🤣
 
Pole ila wahenga walishasema mtegemea cha ndugu hufa masikini vile vile biblia imeandika Alaaniwe amtegemeaye mwanadamu hvyoo jitafute ujipange upya muda bado upo ni heri umeshtuka na 32 kuna wenzio walishtuka na 40 na kuendelea
Nimecheka kama mazuri🤣
Kila la kheri kamanda Mungu akubariki
Amina mkuu
 
Kaka mimi nafsi yangu inanituma hivo yani naskia kabisa msukumo wa ndani ya moyo naamini mungu atanibariki japo changamoto azikwepeki
 
Ndio maana nikakwambia plan yako sio unakurupuka je umeandaa mazingira gan uko unakokwenda? Km umejiandaa go ahead champ one day yes no retreat no surrender,
Plani yangu ndio japo nitasota mwanzo lakini naamini baadae mambo yatakaa sawa
 
Kama utajizuia kufanya zinaa, kunywa pombe , kamari na kujitahidi kujizuia na yale yasiompendeza Mtoa Ridhki...
.... Mimi nakuombea "inshallah" mwaka hauishi huu utaona mabadiliko chanya.
Amina boss wangu naamini huu ujumbe sio bure
 
Kama nakufahamu vile[emoji28][emoji28]

Jikaze mkuu ugali wa shikamoo haufai
 
Mkuu kila la kheri huko itafahamika uko uko, wewe kapambane Ila hakuna kurudi home hata ufe
hicho ndicho naenda kukisimamia zaidi siwez rudi home maana hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwangu mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…