Lamzettttt
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,218
- 3,481
Jamaa simjui na hakuna nilipopinga nilichompa ni ushauri huwezi ukafanya Mambo kwa kukurupuka, nikampa mfano wa yule jamaa alienda muleba akaanza kutapatapa humu anaomba MSAADA wakati kwao aliondoka mwenyewe akaenda muleba eti kutafuta maisha hamjui mtu hana ramani akaanza kuomba kazi kwenye ofisi za utalii so what? Fanya Mambo kisomi sio unakurupuka ukipata shida unaanza kusumbua watu na kutiatia hurumaNimesema labda wewe unapinga kabisa mkuu, kwani we unamjua jamaa!??
Ahsante sana ubarikiweMungu akutangulie, akupe nguvu na moyo wa kuendelea kujipambania.
Utatoboa kwa sabb ww ni mwerevu.
Pole ila wahenga walishasema mtegemea cha ndugu hufa masikini vile vile biblia imeandika Alaaniwe amtegemeaye mwanadamu hvyoo jitafute ujipange upya muda bado upo ni heri umeshtuka na 32 kuna wenzio walishtuka na 40 na kuendeleaHabari za muda wakuu jana niliomba ushauri kuhusu kuhama kwa kaka yangu.
Kiukweli najilaumu sana kuchelewa kuanza maisha kwa sababu ya kusubili ahadi za ndugu toka nikiwa na miaka 23 nimekuwa nikiahidiwa msaada na mbaya zaidi mimi ndio nilikuwa nipo nyumbani na mama huko mkoani, Nimekuwa pale kwa miaka mingi huku ndugu zangu wakiwa dar.
Kila wakija walikuwa ni watu wa kuniahidi kunisaidia jambo ambalo limenifanya kubweteka.
Nimeishi hapo mpaka pale kaka yangu alipokuja kunichukua mwishoni mwa 2019 yeye pia baada ya kunileta ajajitoa kwa dhati kwa ajili ya kunipa msingi bora japo uwezo wake kifedha c haba na kaajili watu wengi ila mimi amekuwa akiniunganisha kwenye kazi za kuangaika sana mpaka sasa sina maendeleo yoyote nafsi inaniuma sana maana nimechelewa sana kuanza kujitegemea now nina miaka 32 kiukweli naona aibu kuendelea kubaki hapa kwa bro.
Sina msingi wala mtaji ila niluchoamua from now nikuuza simu yangu na kwenda kupanga mengine yatajulikana mbele ya safari najua ni uamuzi mgumu lakini nimeamua kwa moyo wa dhati kwenda kujitegemea.
Nimechelewa sana nafsi inaniuma mno sina furaha kwakweli ila nilichoamua ndicho hicho. Na hakuna kurudisha mpira kwa kipa naenda kuhastle kiukweli.
Naombeni baraka zenu ndugu zangu.
Hakika bossLazima afurahie uamuzi huo maana nayeye umempunguzia mzigo kumbuka ulikua tegemezi now unaenda kujitegemea.
Dogo ndo anajipangaMh pole ila aibu pia mzee mzima unazeekea kwa dada yako
Nimecheka kama mazuriš¤£š¤£Pole ila wahenga walishasema mtegemea cha ndugu hufa masikini vile vile biblia imeandika Alaaniwe amtegemeaye mwanadamu hvyoo jitafute ujipange upya muda bado upo ni heri umeshtuka na 32 kuna wenzio walishtuka na 40 na kuendelea
AmenAhsante sana ubarikiwe
Nimecheka kama mazuriš¤£Pole ila wahenga walishasema mtegemea cha ndugu hufa masikini vile vile biblia imeandika Alaaniwe amtegemeaye mwanadamu hvyoo jitafute ujipange upya muda bado upo ni heri umeshtuka na 32 kuna wenzio walishtuka na 40 na kuendelea
Amina mkuuKila la kheri kamanda Mungu akubariki
Kaka mimi nafsi yangu inanituma hivo yani naskia kabisa msukumo wa ndani ya moyo naamini mungu atanibariki japo changamoto azikwepekiUamuzi mzuri, ila ungejipa kama mwezi hivi,.inawezekana spirit hiyo imechochewa zaidi na hisia kuliko uhalisia, baki Kwanza kwa broh, then fanya michakato ukiwa hapo, ukitoka atleast uwe na pakushika, mtaani kugumu sana sio km unavyofikiri wew, jipange usije poteza ubingwa au kujiingiza kwenye madawa ya kulevya.
Plani yangu ndio japo nitasota mwanzo lakini naamini baadae mambo yatakaa sawaNdio maana nikakwambia plan yako sio unakurupuka je umeandaa mazingira gan uko unakokwenda? Km umejiandaa go ahead champ one day yes no retreat no surrender,
Mkuu kila la kheri huko itafahamika uko uko, wewe kapambane Ila hakuna kurudi home hata ufePlani yangu ndio japo nitasota mwanzo lakini naamini baadae mambo yatakaa sawa
Amina boss wangu naamini huu ujumbe sio bureKama utajizuia kufanya zinaa, kunywa pombe , kamari na kujitahidi kujizuia na yale yasiompendeza Mtoa Ridhki...
.... Mimi nakuombea "inshallah" mwaka hauishi huu utaona mabadiliko chanya.
hicho ndicho naenda kukisimamia zaidi siwez rudi home maana hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwangu mwenyeweMkuu kila la kheri huko itafahamika uko uko, wewe kapambane Ila hakuna kurudi home hata ufe
Aufai kiukweli ni mazingira nisiyoyapenda hakikaKama nakufahamu vile[emoji28][emoji28]
Jikaze mkuu ugali wa shikamoo haufai
Amina mkuu ahsante sana1yr of hardship.. before road kujisafisha tegemea hilo brother.