Nimeamua kupaki gari nitumie usafiri wa umma

Kila mtu anatumia ambacho anakimudu. Daladala zinatesa asikuambie mtu. Mnabanana kama mahindi halafu kupatikana shida sana asubuhi.
Nilijaribu mara mojamoja kutumia daladala nikaona loh kwanini nijitese na maisha yenyewe haya.
 
wanao kaa mbagala, gongo la mboto na chanika wanafanya kazi posta na masaki japo wanalipa nauli lakini garama ya hiyo nauli kwa siku ni sawa na wanao miliki magari tu....nauli kwa mwezi laki4 mshahara laki7
Mkuu [emoji16] hata kama unakuchukia Chanika au mbagala hii too much ...nauli laki nne kweli??
Cc RRONDO
 

Bora mpungue barabarani, ili foleni nazo zipungue...
 
Mi mwenyewe niliwahi kupiga hesabu nikagundua Kuhudumia gari ni kama unahudumia familia ya mke na watoto 3 , pikipiki mafuta ya 10k unapata lita 3 na kidogo unazunguka nayo kichizi, hata gharama ya kumlipa bodaboda ni kubwa sana nikilinganisha na mizunguko yangu
 
unaongea kirahisi sana,

utaganda kituoni hadi asubuhi kwa hizo nauli zako....


nauli ni kuanzia elfu2..
huwezi rudi na chenchi kwenye elf10
hapo hujala wala kuacha kitu home
Km unamke anaweza fungasha bites za kula vinavyoweka nutrients nyingi km mayai and nyama but they are in form of bites ,panda bajaji yako utasave vitu vjngi sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…