Bora ata angekua na nyama basi, ni kibanziYaani mke wake ni tipwatipwa A.K.A kibonge nyanya sasa shida inaanzia hapo, huyo mwanamke atalia sana kuambiwa kiuno na mgongo vimeungana na shingo na mabega vimeungana atalia sana inabidi aanze gym mara moja na apunguze kula kula hovyo.
Dah..... Mungu auponye moyo wa huyu dadaHajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.
Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.
Hope atapata anaemkubali
Madhara ya kuolea Genye, Ona sasa ukaangukia kwenye POLYGON, nani unataka umuachie.. hope umemharibu wewe hata kama shape yake haikuwa hivyo at firstHajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.
Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.
Hope atapata anaemkubali
Nahisi ulianza uhusiano naye ukiwa huna pesa now umepata you can afford wale unaowataka.Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.
Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.
Hope atapata anaemkubali
usijitetee mkuu..wewe ni mbinafsi..kama unampend huyo mke wako mwambie ukweli kuwa shepu yake haikuvutii...na ili uendele nae mweke wazi kuwa anatakiwa kufanya mazoezi apungue.yawezekana penvine labda kazaa ndio mana kanenepa hivyo.mbona huwazi positive mshkaji wangu?Hujamuona ndo mana, sina rogo mbaya, hivi hujawahi ona watu nguo hata iweje haiwapendezi?
Mkuu kuna kitu kinaitwa Karma and it's real working. Utakuja kuniambia nilisema niko pale nimekaaWe unaweza kua na mtu ambae hifurahii hata kuongozana nae?
Package full stop.Wife ni package. Muonekano inachukua nafasi ndogo sana.
Kama ni kweli basi umri wako ni 20-30yrs. Ukiwa umekomaa kiakili huwezi kuwa na mawazo haya.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]siyo vizuri we mkakaHujamuona ndo mana, sina rogo mbaya, hivi hujawahi ona watu nguo hata iweje haiwapendezi?
Mleta mada kazingua kwa kweli...Nilitaka kuuliza hilo swali pia
Kabla hajamuoa alikua hajaona kama shepu haimvutii??
Keshasema ni kibanzi aka kimbaumbauusijitetee mkuu..wewe ni mbinafsi..kama unampend huyo mke wako mwambie ukweli kuwa shepu yake haikuvutii...na ili uendele nae mweke wazi kuwa anatakiwa kufanya mazoezi apungue.yawezekana penvine labda kazaa ndio mana kanenepa hivyo.mbona huwazi positive mshkaji wangu?
okeiKeshasema ni kibanzi aka kimbaumbau
Huu ni uuongo Tena Chai isiyokuwa na Olivia ndani yke! MxiiiuHajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.
Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.
Hope atapata anaemkubali
Sawa mkuu ni swala la muda tu,huyu utakayempata mwenye lishepu naye anakuvutia kasi,na wewe siku shepu yako ikivurugwa tu naye anakuacha,muda ndio utazungumza....Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.
Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.
Hope atapata anaemkubali
alikuwa na huyo mwanamke mwenye shepu isiyoeleweka kwa SABABU ya kitu fulani.very sadSawa mkuu ni swala la muda tu,huyu utakayempata mwenye lishepu naye anakuvutia kasi,na wewe siku shepu yako ikivurugwa tu naye anakuacha,muda ndio utazungumza....