Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Una mapepo.Si bure.Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.
Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.
Hope atapata anaemkubali
Kiasili mwanaume hua anakua na hisia na mwanamke siku 90 za mwanzo kwenye mahusiano hapo ndio mkiwa kitandani hata kuandaana kunakuepo, baada ya siku 90 kitandani lolote ni sawa tu hapo ndio mwanaume huanza kumtoa kasoro mwanamke na kuanza kutafuta mbadala kwa siri kubwa, sasa hapo ndio kinaingia kipengele cha tabia ndio itambeba mwanamke na hekma na busara za mwanaume ndio zitaongoza mahusiano maana wakati huo ile hamu na tamaa ishakwisha kabisa kwani unamjua mwanamke kila kona na yeye ashaanza kukuzoea na hadi kujamba anajamba mbele yako, sasa utaacha wangapi? Wewe tafuta mchepuko huku ukivumilia mwenzako maisha yaendelee
Karma is a bitch ........wait for your turn bro , utaomba siku zije kurudi nyuma uwe na huyo mkeo nakuambia....Huyo mwanamke akuviziee akumwagie maji ya motoo usoo uchakaee huooo[emoji706][emoji706] Alokwambia mwanamke anakuwa mzuri kadiri unavyoishi nae nani??? Huyo mbaya leo unamuachia nanii...?? Wanaume wote tukisema tuache wanawake zetu kisa wamekuwa wabaya baada ya kufunga nao ndoa na kuishi nao hakuna ndoa ingebaki nakwambia.. alafu mbaya zaidi ukute umemzalisha na watoto yani[emoji35][emoji35][emoji35]
Huyo mwanamke akuviziee akumwagie maji ya motoo usoo uchakaee huooo[emoji706][emoji706] Alokwambia mwanamke anakuwa mzuri kadiri unavyoishi nae nani??? Huyo mbaya leo unamuachia nanii...?? Wanaume wote tukisema tuache wanawake zetu kisa wamekuwa wabaya baada ya kufunga nao ndoa na kuishi nao hakuna ndoa ingebaki nakwambia.. alafu mbaya zaidi ukute umemzalisha na watoto yani[emoji35][emoji35][emoji35]
usijaribu kufanya hivyo Mungu atakuadhibu vibayaHajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.
Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.
Hope atapata anaemkubali
Tena haya maamuzi yafanyike haraka iwezekanavyo.Huyo mwanamke akuviziee akumwagie maji ya motoo usoo uchakaee huooo[emoji706][emoji706] Alokwambia mwanamke anakuwa mzuri kadiri unavyoishi nae nani??? Huyo mbaya leo unamuachia nanii...?? Wanaume wote tukisema tuache wanawake zetu kisa wamekuwa wabaya baada ya kufunga nao ndoa na kuishi nao hakuna ndoa ingebaki nakwambia.. alafu mbaya zaidi ukute umemzalisha na watoto yani[emoji35][emoji35][emoji35]
Rubbish.Hajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.
Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.
Hope atapata anaemkubali
Mkuu una maana gani? Hii karm ni nini hasa? How it works?Mkuu kuna kitu kinaitwa Karma and it's real working. Utakuja kuniambia nilisema niko pale nimekaa
Whats the logic behind ur question?Ana 27 wewe una ngapi Mzee utateseka Sana maisha ya ndoa, ikiwa una zaid ya 30 huelewi unachoongea.
Nina 21 kwenye ndoa naelewa mambo kibao.
Niliingia kwenye ndoa na 26 na Sasa Nina 52 years.
Mbususu zote ni nyama. Utakuja ihitaji kw ajili ya kuvhomeka tu Mzee. Sura hutakuja kuhitaji machoni mwako.
Kikubwa Angalia unataka nini black or white, chocolate or brown product.
Sasa Mzee ukijichanganya utaumia
Niliiona na sikuitoa kichwani. Ina cha kuchukua ndani yake mkuu. Ujue kwa upande wangu nipo neutral, nahisi kuna mengi sana kichwani mwa jamaa labda tu anashindwa kuaddress vizuri, wanaume tuna ile ""kaba"Hii comment si ya kuipuuza.
Hicho ndo kinasababisha (ga) yafuatayo:-Bora umekuwa mkweli na kumpa nafasi ya kwenda kupendwa huko na wanaojua thamani yake.
Napitishwa kwenye situation kama ya mkeo so naelewa maumivu, natumai siku moja niweze kusimama na kusema imetosha[emoji26][emoji26], nikatafute furaha yangu kwingine ila sasa sijui naanzia wapi mana ni mimi tu ndo naona action zake ila nje ni perfect couple [emoji26][emoji26][emoji26]
Mbaya unamtunza ipasavyoHajanikosea, hana tabia mbaya ila moyo wangu unakua mgumu juu yake kila siku zinayovyozidi kwenda, sijui nimeingiaje kwenye huu uhusiano.
Nimeamua sasa nitafute nitakaevutiwa nae, huyu wa sasa ana irregular shape, nguo nyingi hazimpendezi, am ashamed to walk with her by my side for sure.
Hope atapata anaemkubali
Sure,hii case iangaliwe pande mbili za shilingi tusimkandamize Sana jamaa dunia Ina mengiNiliiona na sikuitoa kichwani. Ina cha kuchukua ndani yake mkuu. Ujue kwa upande wangu nipo neutral, nahisi kuna mengi sana kichwani mwa jamaa labda tu anashindwa kuaddress vizuri, wanaume tuna ile ""kaba"
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app