Nimeangalia filamu ya Royal Tour. I was not impressed. Itawakera sana baadhi yenu

Mbuga Ya Burigi Chato, Rumanyika Hazipo Ama Hujaziona3
 
Mleta hoja sababu we unayajua maeneo hayo haina maana walengwa wanayajua.
Umetumwa na wakenya kuja
kuponda
 
Weka nafasi ili niweze kusoma ulichoandika Mkuu.
 
Ni filamu ya upigaji na ya kitoto. Rais ameingia kingi na kujidhalilisha. Hakuna cha maana. Ni kashfa nyingine ya kitaifa. Huyo Royal Tour, muhuni fulani, alishashindwa Rwanda.
 
Huu ni muda wa mama kuwafanya wanae kama mazombi baada ya baba yao kufanikiwa sana kabla hajatangulia kwa Sir God.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Hakuna anayekufanya wewe zombi, JPM alikuwa na hulka moja sio nzuri, kutawala vyombo vya habari na kutaka asikike yeye tena kwa mtazamo chanya tu. Hakupenda kusikia habari mbaya, hakuweza kuvumilia changamoto.

Kama na wewe ni mmoja wa walioingia katika mtego huo huu ni wakati wa kuanza kuitazama Tanzania katika uhalisia wake. Rais SSH anatupa picha ya ukweli ya nchi yetu na ni ile tusiyopenda kuisikia baada ya miaka mingi ya propaganda kuibuka mshindi.
 
Mwanzo ni mgumu kidogo, naona next time atafanya vizuri zaidi, hata alivyoulizwa changamoto gani kazipata hili swali limekua tofauti katika majibu yake labda kwasababu ya lugha, ila alisema changamoto ni kupitia kila kivutio maana vipo mbali, kweli tuna vivutio vingi sana hii ilitakiwa iwe shirikishi kwa wadau wa sekta ya utalii ingefana sana ingekua moja kazi nzuri
 
Mzungu amepiga pesa yake akalala mbele
 
Yule alikuwa mtu hatari sn
 
Umei download hile application [emoji16][emoji16][emoji16] tambua kwamba you are next to die [emoji1782]
 
Character lazima alipwe mama atalipwa, hata film zingine producer anatengeza then anamegea chake characters ndiyo yeye anapoiuza anajilipa
 
Nakubaliana na hicho unachosema mtalii haji kuangalia wanyama na kuoumzika tu madini pia ni sehemu ya kivutio kwa kweli tuna vivutio vingi sana hili taifa, mfano jiwe la ruby kule dubai limevunja rekodi kila mtu anataka kuliona, ni kweli wangeweka na madini ingeleta fursa nyingi zaidi
 
Acha masihara basi mkuu hahaha
 
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…