Nimeangalia filamu ya Royal Tour. I was not impressed. Itawakera sana baadhi yenu

Nimeangalia filamu ya Royal Tour. I was not impressed. Itawakera sana baadhi yenu

Ina nini kipya cha maana kinachonheshwa ili kumvutia mtalii kuja hapa nchini?

Kuvua Samaki huko baharini Zanzibar? Wachimba Tanzanite wakizama kwenda kublast mwamba wavutia utalii?

Naona ilikuwa Fursa ya wasiompenda hayati kumchamba juu ya ukaidi wa Kovidi na alikufa kwa kovidi.
JPM alifanikiwa sana kutengeneza watu wa ajabu wachache wa aina yako!
 
Ina nini kipya cha maana kinachonheshwa ili kumvutia mtalii kuja hapa nchini?

Kuvua Samaki huko baharini Zanzibar? Wachimba Tanzanite wakizama kwenda kublast mwamba wavutia utalii?

Naona ilikuwa Fursa ya wasiompenda hayati kumchamba juu ya ukaidi wa Kovidi na alikufa kwa kovidi.
Duh, kazi ipo aisee!
 
Kwanza nimeshangaa hata walivyomuongelea humo heri wangemuandalia makala yake wamnange vizuri!.. Sasa mbovu mbaya inamuharibia hata rais mwenyewe maana Kama alisema alikufa kwa matatizo ya moyo leo kovid basi alitudanganya wananchi wake!.
Yote kadanganya yule tulimnywesha sumu ya panya.
 
Ina nini kipya cha maana kinachonheshwa ili kumvutia mtalii kuja hapa nchini?

Kuvua Samaki huko baharini Zanzibar? Wachimba Tanzanite wakizama kwenda kublast mwamba wavutia utalii?

Naona ilikuwa Fursa ya wasiompenda hayati kumchamba juu ya ukaidi wa Kovidi na alikufa kwa kovidi.
Haina uhusiano....
 
Ina nini kipya cha maana kinachonheshwa ili kumvutia mtalii kuja hapa nchini?

Kuvua Samaki huko baharini Zanzibar? Wachimba Tanzanite wakizama kwenda kublast mwamba wavutia utalii?

Naona ilikuwa Fursa ya wasiompenda hayati kumchamba juu ya ukaidi wa Kovidi na alikufa kwa kovidi.
Is the approach correct to build their legacy?
 
Wakati wao wapo busy kutafuna keki ya nchi, huku mtaani kwetu ‘panya road’ wamerudi upya.

Maisha yenye magumu tayari. Halafu tena tuanze kujihami na vikundi vya unyan’ganyi mchana kweupe tena kipigo juu kwenye kuporwa; dah.
 
..wamezungumzia Tanzanite na wamefika mpaka mgodini.

..bahati mbaya mbuga kama katavi, kitulo, burigi-chato, gombe,...hazikuonyeshwa.
Bora tuangalie zile filamu zetu za General Luhanga na Mwita Marwa wakiwa kule mstari wa mbele. Na kusikiliza hadithi za Gen Shimbo tujue moja
 
Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.

Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.

Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.

Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania. Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.

Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa. Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.

NB:
Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.


cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
Royal Tour Imechukua Muda Mchache Kutengenezwa ,Itakaua Na Mapungufu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Wanafanikiwa sana tunapopoteza muda kwa mitafaruku sisi watu wa chini. Hii ndio afrika.
Hakuna anaye reason kwa manufaa ya wengi.

Labda wale mmesikiliza na kuiona. Je kifo cha Jpm iwe kwa Covid 19 , moyo au kukabwa na walio kuwa.karibu. ni sehemu ya Utalii?

Kwamba kulikuwa na covid ikamuua . Je ni kivutio pia?
Au inaelezea kuwa sasa COvid haipo iliondoka na aliyehitajika? Au alipoondoka tukaweka mikakati na kuidhibiti?

Sijaiona Royal Tour. Nahisi mnamsingizia bi mdashi
 
Back
Top Bottom