Nimeangalia filamu ya Royal Tour. I was not impressed. Itawakera sana baadhi yenu

Nimeangalia filamu ya Royal Tour. I was not impressed. Itawakera sana baadhi yenu

Umei download hile application [emoji16][emoji16][emoji16] tambua kwamba you are next to die [emoji1782]

Ahahahahahaa sirudii tena kuangalia muvi za aina hii nikiwa pekeyangu usiku tena nimebwia mvinyo ....

Nililala kwa shida sana usiku ule....

Niliumia sana yule black alivyokufa kwa kugongwa na gari....

The way he dies, process shows the path between life and death....

Ile app ni konyooo, fundisho kuto ku accept vitu ambavyo havieleweki...
 
Ahahahahahaa sirudii tena kuangalia muvi za aina hii nikiwa pekeyangu usiku tena nimebwia mvinyo ....

Nililala kwa shida sana usiku ule....

Niliumia sana yule black alivyokufa kwa kugongwa na gari....

The way he dies, process shows the path between life and death....

Ile app ni konyooo, fundisho kuto ku accept vitu ambavyo havieleweki...
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Huwezi amini mtu wangu hii movie imenifanya niwe muoga na vi applications nisivyovijua si download kabisa imenitoa kwenye fiction na kuniletea kwenye real life[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]wanavyokufa utafikiri kweli mzungu ni balaa sio kwa ufundi huo mpaka mtu unaogopa
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Huwezi amini mtu wangu hii movie imenifanya niwe muoga na vi applications nisivyovijua si download kabisa imenitoa kwenye fiction na kuniletea kwenye real life[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]wanavyokufa utafikiri kweli mzungu ni balaa sio kwa ufundi huo mpaka mtu unaogopa

Saanaaa yaaniii, inatisha simu yako mwenyewe ila mauza uza kama yoteee...

Uchawi upo sio lazima uwe wa tunguli...😅

Na sio tuu application, link zozote ambazo sizielewi zinatumwa kwenye emails na whatsapp sizifungui hataaa 😅😅
 
Tuache tuiangalie kwanza, si kila kitu kibaya kwako basi na kwa mwingine kitakuwa kibaya, kwa upande wako umeona hakifai ngoja nasi tuone.
 
Nimetoka kuangalia filamu ya COUNTDOWN.....[emoji33][emoji33][emoji3063][emoji3063][emoji27][emoji27][emoji27]

Naogopa kwenda chumbani

Naogopa kubaki hapa sebleni mwenyewe

Naogopa kwenda maliwato na nimekunywa mvinyo mtamu kachupa kameisha....

Na kesho saa 12 alfajiri natakiwa niwe kwenye usafiri nna safari....

Eeh Mola nani alinituma kuiangalia hiyo movie....

Hata usingizi wenyewe umekata.....

Sorry sijasoma hata uzi unasemaje zaidi ya kichwa cha uzi...

Granny is scared [emoji47]!!

Vipi safari ulienda, download hiyo app ya countdown
 
Samia anakiri kwamba Magufuli alipata korona.

Ila alituambia tarehe 17/03/2021 kuwa Magufuli alifariki kwa matatizo ya moyo aliyokuwa nayo muda mrefu.

Je . Magufuli aliugua Korona lini??

Na je kwanini iwe sehemu ya Royal Tour??

Bila shaka madalali wa Chanjo ya Kovid ndio wamelipia fedha za kuitengeneza hiyo documentary.
Dhambi ya unafki haimwachi mtu salama
 
Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.

Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.

Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.

Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania. Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.

Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa. Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.

NB:
Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.


cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman


Mimi naona iko poa tu cha maana ni kutangaza nchi mfano niliona clip watu wengi LA California walikuwa hata hawafahamu Tanzania
 
Saanaaa yaaniii, inatisha simu yako mwenyewe ila mauza uza kama yoteee...

Uchawi upo sio lazima uwe wa tunguli...😅

Na sio tuu application, link zozote ambazo sizielewi zinatumwa kwenye emails na whatsapp sizifungui hataaa 😅😅
Mambo ya movie acha tu.
Enzi hizo 3D unaenda unapewa miwani unazama bio tukajibeba family nzima ndani movie PIRANHA.
Hilo samaki linakula hadi binadamu.
Basi watoto wakishua wako beach wanakula bata na private boats wachumba kibao aisee waliibuka hao samaki ilikua mtafaruku ndni ya bio acha movie .
Aliyekimbia miwani ile ndo kabisa unakua km uko humo ndani.
Siku hiyo ndio nimeona samaki anatafuna mbupu au ziwa la mtu km apple..
Tafuta hiyo movie.
Hao samaki wapo Amazon huko na ni kweli ni dangerous species.
Nilibahatika kumuona live na kumtafuna ni watamu tu.
Pole kwa gazeti.
 
Mwenzio kapewa tapishi hili na mabwanyenye ya nchi jirani, ambayo yalitaka dunia iendelee kuamini kuwa mlima Kilimanjaro upo Kenya na ziwa Nyasa ni la Malawi.

Hii film inakwenda kuwaumbua na kuwalaza njaa mabwanyenye wote. Maana dunia itaelewa ukweli kuhusu mmiliki halisi wa mlima Kilimanjaro, ziwa Nyasa nk. Hongera raisi wetu Samia.
Miaka yote hii mmeshindwa kuuelimisha ulimwengu kuwa Kilimanjaro iko Tanzania halafu mnategemea hii movie ndio itawaelimisha!

Amandla...
 
Samia anakiri kwamba Magufuli alipata korona.

Ila alituambia tarehe 17/03/2021 kuwa Magufuli alifariki kwa matatizo ya moyo aliyokuwa nayo muda mrefu.

Je . Magufuli aliugua Korona lini??

Na je kwanini iwe sehemu ya Royal Tour??

Bila shaka madalali wa Chanjo ya Kovid ndio wamelipia fedha za kuitengeneza hiyo documentary.
😲
 
Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.

Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.

Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.

Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania. Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.

Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa. Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.

NB:
Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.


cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
Na sio kila filamu lazima ipendwe na watu wote
 
Nzuri ila Mpiga Mwingi kampaka sana Jiwe hii kitaalam inaitwa ondoka wakuseme.

Halafu pale mwanzoni wakati wanatoka Ikulu aliposema "Peter first take off your tie and Jacket" ilikua na ukakasi fulani.
 
Back
Top Bottom