JPM alifanikiwa sana kutengeneza watu wa ajabu wachache wa aina yako!Ina nini kipya cha maana kinachonheshwa ili kumvutia mtalii kuja hapa nchini?
Kuvua Samaki huko baharini Zanzibar? Wachimba Tanzanite wakizama kwenda kublast mwamba wavutia utalii?
Naona ilikuwa Fursa ya wasiompenda hayati kumchamba juu ya ukaidi wa Kovidi na alikufa kwa kovidi.
Duh, kazi ipo aisee!Ina nini kipya cha maana kinachonheshwa ili kumvutia mtalii kuja hapa nchini?
Kuvua Samaki huko baharini Zanzibar? Wachimba Tanzanite wakizama kwenda kublast mwamba wavutia utalii?
Naona ilikuwa Fursa ya wasiompenda hayati kumchamba juu ya ukaidi wa Kovidi na alikufa kwa kovidi.
DuuhWhy did you kill the President?
Yote kadanganya yule tulimnywesha sumu ya panya.Kwanza nimeshangaa hata walivyomuongelea humo heri wangemuandalia makala yake wamnange vizuri!.. Sasa mbovu mbaya inamuharibia hata rais mwenyewe maana Kama alisema alikufa kwa matatizo ya moyo leo kovid basi alitudanganya wananchi wake!.
Haina uhusiano....Ina nini kipya cha maana kinachonheshwa ili kumvutia mtalii kuja hapa nchini?
Kuvua Samaki huko baharini Zanzibar? Wachimba Tanzanite wakizama kwenda kublast mwamba wavutia utalii?
Naona ilikuwa Fursa ya wasiompenda hayati kumchamba juu ya ukaidi wa Kovidi na alikufa kwa kovidi.
Halafu bilioni 7zimeenda. ivi hii bilioni ya siku hizi na yenyewe ina shida ganiBaada ya kuvua alikula urojo.?
AiseeYote kadanganya yule tulimnywesha sumu ya panya.
Is the approach correct to build their legacy?Ina nini kipya cha maana kinachonheshwa ili kumvutia mtalii kuja hapa nchini?
Kuvua Samaki huko baharini Zanzibar? Wachimba Tanzanite wakizama kwenda kublast mwamba wavutia utalii?
Naona ilikuwa Fursa ya wasiompenda hayati kumchamba juu ya ukaidi wa Kovidi na alikufa kwa kovidi.
Bora tuangalie zile filamu zetu za General Luhanga na Mwita Marwa wakiwa kule mstari wa mbele. Na kusikiliza hadithi za Gen Shimbo tujue moja..wamezungumzia Tanzanite na wamefika mpaka mgodini.
..bahati mbaya mbuga kama katavi, kitulo, burigi-chato, gombe,...hazikuonyeshwa.
Wewe na wanao, wote ni wachawi tuMimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.
Royal Tour Imechukua Muda Mchache Kutengenezwa ,Itakaua Na MapungufuNimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.
Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.
Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.
Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania. Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.
Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa. Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.
NB:
Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.
cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
You are very intelligent!!Wewe umezoea filamu za van Damme, utapendaje filamu za wanyama!?..hawajatengeneza kukulenga wewe
HujakoseaWewe na wanao, wote ni wachawi tu
Bora tuangalie zile filamu zetu za General Luhanga na Mwita Marwa wakiwa kule mstari wa mbele. Na kusikiliza hadithi za Gen Shimbo tujue moja