Nimeangalia filamu ya Royal Tour. I was not impressed. Itawakera sana baadhi yenu

Nimeangalia filamu ya Royal Tour. I was not impressed. Itawakera sana baadhi yenu

Mleta mada na wakenya wako waliokutuma kuja kuandika ujinga huu mmebanwa pabaya, tena katikati ya makalio. Mlikuwa mshazoea kwenda kuihadaa dunia kuwa mlima Kilimanjaro upo Kenya, na kwamba ziwa Nyasa linamilikiwa na Malawi. Dunia ya sasa sio ya kudanganyana tena.

Andikeni hata thread 10000 na IDs tofauti tofauti, kikubwa dunia imeshafahamu vivutio vyetu halisi ni vipi na mwenye kutaka kuthibitisha anakaribishwa. Wenye akili tulijua tu kwamba film hii itawaumiza wengi, hasa wale chawa wasiokuwa na moyo wa utaifa, na mabwanyenye wao.
Mkuu huyu mtu wa makamo aliyeleta mada ndio unamtusi namna hii? Nadhani kuna haja ya kulumbana kwa hoja na sio kwa mihemko.
 
Jibu mujarabu kabisaa!!!

Wameishiwa, wanahangaika hadi wanatia huruma.........mara wameshika kakipande hiki mara kile; hawaeleweki tu kwa sasa wanapinga nn wala wanaweza nn. Mama, in a very relaxed way, anawanyima usingizi kweli kweli. Mijamaa inatokwa na mimacho na mapovu huku wakati yeye akijifanyia mambo yake kwa utuuuvu mkubwa huku akitabasamu tu.

Wivu! Wivu! Wivu! Wanatamani hili lingefanywa na 'ntu' wao!
Mbona hii comment ina rafudhi na man'dhari ya Mama?!
 
Haiwezi kuwa filamu nzuri kwa jinsi ilivyoandaliwa kisiasa.Umewahi kuona wapi Rais wa nchi maskini akaandaa filamu tena kwa kuongozwa na mzungu?
Tumepigwa kama kawaida yetu:Shamba la Bibi hili.
Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.

Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.

Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.

Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania. Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.

Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa. Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.

NB:
Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.


cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
 
mkuu, kwani watalii wanaoitembelea kenya hawaruhusiwi kuja Tanzania? hao watalii kutoka kenya wakifika tz, watalipia kuangalia vivutio vyetu, by the way... wametafutwa na wakenya kwa juhudi zao, na bado na sisi tumefaidika nao...hata kenya nao wana vivutio vya utalii kama mbuga ya tsavo e.t.c.. sasa kama mtalii kashamaliza kutalii kenya..anataka kupanda mlima kilimanjaro kuna kosa? ( na akipanda atalipia) tunawalaumu tu wakenya bure, hata wakisema mlima kilimanjaro uko kenya...bado huyo mtalii hawezi kupandia kenya hakuna njia...atakuja tu tanzania na kulipia $ na nchi itafaidika.
Kama wewe unaliona hili kwa mlengo huo, huo ni uamzi wako.
Unapolenga kutupiwa hicho kidogo na kuridhika, huku ukiwa wewe ndiye mwenye mali, na haikuumizi kabisa!

Tabia hii imeota mizizi sana hapa nchini, 'low expectation' imekuwa ndio utamaduni wetu.

Kwa nini umtegemee mtu mwingine akutafutie watalii awalete kwenye kivutio chako ambacho yeye hana? Yeye anapata mara dufu kwa kupandia kwako, na bado unaona raha tu?
 
Haiwezi kuwa filamu nzuri kwa jinsi ilivyoandaliwa kisiasa.Umewahi kuona wapi Rais wa nchi maskini akaandaa filamu tena kwa kuongozwa na mzungu?
Tumepigwa kama kawaida yetu:Shamba la Bibi hili.

..documentary sio ya kisiasa ukiacha sehemu ambayo wanam-introduce Raisi.

..tatizo langu ni vivutio walivyovitangaza.

..Kwa mtizamo wangu ni vivutio ambavyo kwa kiasi kikubwa tayari vinajulikana.

..Nilitegemea wataonyesha na baadhi ya vivutio ambavyo havijulikani vya kutosha kwa mfano mbuga za Gombe, Ruaha, Ziwa Victoria, etc.
 
Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.

Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.

Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.

Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania. Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.

Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa. Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.

NB:
Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.


cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
UTALII UPO MIAKA 60 YA UHURU HAKUNA JIPYA
 
Sijaiona hiyo filamu, lakini ukosoaji wako sio sahihi, ungekosoa namna ya content labda ningekusikiliza lakini kwa uchaguzi wa attractions, no way, you are very wrong.
Mbona kafanya hivyo, au wewe ulitaka afanyeje?
Kasema wazi, huyo 'narrator' wa movie yenyewe anaonekana hana ujuzi wa kazi hiyo.

Na utasema vipi kwamba "...ukosoaji wake siyo sahihi" kama wewe mwenyewe hata hujaiona movie?
 
Mbona kafanya hivyo, au wewe ulitaka afanyeje?
Kasema wazi, huyo 'narrator' wa movie yenyewe anaonekana hana ujuzi wa kazi hiyo.

Na utasema vipi kwamba "...ukosoaji wake siyo sahihi" kama wewe mwenyewe hata hujaiona movie?

Kabla hujaelewa kitu mtu kaandika usikimbilie ku comment is
 
Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.

Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.

Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.

Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania. Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.

Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa. Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.

NB:
Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.


cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
Lahaula .....!
Mleta mada unataka tuwape nafasi watuandalie nyingine Duh...
 
Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.

Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.

Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.

Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania. Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.

Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa. Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.

NB:
Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.


cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
Hii hapa.
 
Kuna kituo kinaitwa safari. Kinaonyesha vizuri. Tungekitumia tu.
 
Fulani ina andaliwa kama watu wanakimbizwa yaani ndani ya miwili kurekodi na kuzindua hii lazima iwe mbaya tu
 
Nimebahatika kuangalia filamu ya Royal Tour.

Mimi binafsi haijanivutia, na hata watoto wangu wamesema hawajaona jambo jipya.

Filamu imeonyesha mlima Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro, Serengeti, na hifadhi ya pembe za ndovu / nyara za taifa.

Sasa maeneo hayo yameshaonyeshwa katika filamu nyingi zinazotangaza utalii wa Tanzania. Nilitegemea filamu pamoja na kuonyesha vivutio vinavyojulikana, ingetambulisha maeneo mapya ya vivutio vyetu vya utalii.

Pia usimuliaji wa Rais Samia haukuwa wa viwango vya kuridhisha. Inawezekana filamu imeharakishwa kutolewa. Kuna baadhi yenu mtakereka sana na filamu hiyo. Naomba nisisema jambo hilo kwa sasa hivi.

NB:
Nadhani tunaweza kuandaa filamu nzuri zaidi ya kutangaza utalii wetu. Wadau wa utalii wakae pamoja na kujifunza kutokana na mapungufu ya Royal Tour Tanzania.


cc Nguruvi3, Pascal Mayalla, Chige, Kichuguu, Kilatha, Phillipo Bukililo, Statesman
Naiangalia Royal Tour katika mtazamo tofauti kidogo. Kwamba SSH alitaka kurudisha mtazamo chanya kwa Tanzania huko duniani.

Unajua kuna kujulikana kwa njia mbili, mbaya na nzuri. Unaweza ukawa ni maarufu lakini ni ule umaarufu wa kukata chanjo, ni ule umaarufu wa kifo cha Akwilina, ni ule umaarufu wa kugombana na NGOs kila kukicha.

SSH ametaka kusafisha taswira hiyo na kuja na taswira nyingine chanya ya kimataifa. Kwamba yupo tayari kufuta makosa ya mtangulizi wake ingawa kwa watu wa karibu wa hayati JPM hawaoni na hawatakuja kuona kama yalikuwa ni kielelezo cha udhaifu wa awamu yake.

Hivyo Royal Tour inatumia tu kivuli cha utalii lakini lengo haswa ni katika kuleta taswira nyingine mpya kabisa kimataifa. Na imekuwa ni sinema yenye gharama zake kwa maana ya pesa nyingi na kwa maana ya SSH kujikuta akilazimika ingawa kwa shingo upande kukubaliana na hoja kwamba mtangulizi wake alikufa kwa Covid19.

Kwa ujumla nadhani lengo la muda mfupi ni hilo na la muda mrefu ni la kujitangaza upya kwa kutumia taasisi yenye jina na maarufu ndio maana wametutoza pesa nyingi kuweza kuikamilisha.
 
Back
Top Bottom