Kwa hiyo pesa kuangalia EPL mechi zote, Uefa mechi zote, baadhi ya mechi za france, germany,italy na spain naona kama ni sawaHii pesa unaiona ndogo kiongozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo pesa kuangalia EPL mechi zote, Uefa mechi zote, baadhi ya mechi za france, germany,italy na spain naona kama ni sawaHii pesa unaiona ndogo kiongozi
Uchambuzi wanatumia lugha gani ?Vinapatikana mkuu, kuna jamaa yuko kigoma, hata kulipia unamtumia jamaa pesa ndio analipa, nipo naangalia mechi ya arsenal nwView attachment 2953231
Hizi device ni cheap angalia specs zitazokufaa siwezi zungumzia sana Chinese flagship mana zipo Hadi za $6, na uziri wake haziko hyped kama itakavyokuwa siku zijazo mana c tunaogopa Bei ya bundleVipi zile za aliexpress za mpaka $20 zina la maana au ni makopo tu
Kwa wapenzi wa soka Weekend tukiwa hatuna mishe tunajifungia ndani tunaangalia mpira au tunasogea vibanda umiza kupata burudani,Mimi binafsi huwa naangalia mechi zote za jumamosi na jumapili,you may call me fanatic but football ndio ulevi wangu,
DStv vifurushi daily vinapanda kwa uchumi ulivyo mgumu mwaka huu sijaangalia mechi nyingi sana maana sikua nalipia subscription so nilikua naenda Bar naangalia mechi moja narudi kulala,
nikawa natafuta ufumbuzi nifanye Nini niweze kuangalia mechi online?jamaa yangu akanipa link ya Twitter,kila siku wanazifungia,katika kupita pita nikakutana na hii kitu kinaitwa MEDIA BOX,ukiwa na Smart tv,unachomeka kupitia HDMI,unaunganisha na internet tv yako ya Android,utaziona channels zote, movies, Mpira,Music, Documentaries,News,Mimi mpira huwa naangalia Kuna channel inaitwa fubotv,mechi zote ni 4K UHD,mind you, Internet Ina tumia data za kutosha kidogo.. ENJOY
View attachment 2950365Aseah
Kaka bundle Lina matumizi mengi Sana,wakati DSTV huwa naangalia mpira tu na CGTNSasa gharama za bundle si bora ulipie tu dstv mkuu?
KifaransaUchambuzi wanatumia lugha gani ?
Nilikuwa naitafuta commentSasa hapo umeokoa nini, bando la 5G si bora ungelipia kifurushi 60k
App gani hii mkuu?
Kutumia gb 1 kwa mechi moja bado ni gharama sanaMahangaiko yote hayo ya nini? na kulipia juu! kwanini usidownload Yacine app for free ule maisha, gb1 unaangalia mechi yote na mb kidogo zinabaki.
Unaweza share access mkuu? Tuishi nao, nawakubali HULU pia kinoma noma..Yes but Wana tv series na movies Nzuri sana
mkuu ninaweza kuunga Tv ya smart ila sio Android na hiko kifaa nikapata burudani?Kaka bundle Lina matumizi mengi Sana,wakati DSTV huwa naangalia mpira tu na CGTN
Hicho kidude ndio kinafanya tv yako iwe Smartmkuu ninaweza kuunga Tv ya smart ila sio Android na hiko kifaa nikapata burudani?
Mimi nina smart tayari ila sio android sasa nafanyeje au hii haitaji hicho kidude?Hicho kidude ndio kinafanya tv yako iwe Smart
Nimechapia,hiyo device utafanya tv iwe AndroidMimi nina smart tayari ila sio android sasa nafanyeje au hii haitaji hicho kidude?