Nimeangalia Match ya EPL Bure bila DSTV kwa kutumia kifaa hiki..

Nimeangalia Match ya EPL Bure bila DSTV kwa kutumia kifaa hiki..

Vipi zile za aliexpress za mpaka $20 zina la maana au ni makopo tu
Hizi device ni cheap angalia specs zitazokufaa siwezi zungumzia sana Chinese flagship mana zipo Hadi za $6, na uziri wake haziko hyped kama itakavyokuwa siku zijazo mana c tunaogopa Bei ya bundle
 
Kwa wapenzi wa soka Weekend tukiwa hatuna mishe tunajifungia ndani tunaangalia mpira au tunasogea vibanda umiza kupata burudani,Mimi binafsi huwa naangalia mechi zote za jumamosi na jumapili,you may call me fanatic but football ndio ulevi wangu,

DStv vifurushi daily vinapanda kwa uchumi ulivyo mgumu mwaka huu sijaangalia mechi nyingi sana maana sikua nalipia subscription so nilikua naenda Bar naangalia mechi moja narudi kulala,

nikawa natafuta ufumbuzi nifanye Nini niweze kuangalia mechi online?jamaa yangu akanipa link ya Twitter,kila siku wanazifungia,katika kupita pita nikakutana na hii kitu kinaitwa MEDIA BOX,ukiwa na Smart tv,unachomeka kupitia HDMI,unaunganisha na internet tv yako ya Android,utaziona channels zote, movies, Mpira,Music, Documentaries,News,Mimi mpira huwa naangalia Kuna channel inaitwa fubotv,mechi zote ni 4K UHD,mind you, Internet Ina tumia data za kutosha kidogo.. ENJOY
View attachment 2950365Aseah
 
Mahangaiko yote hayo ya nini? na kulipia juu! kwanini usidownload Yacine app for free ule maisha, gb1 unaangalia mechi yote na mb kidogo zinabaki.
 
Mahangaiko yote hayo ya nini? na kulipia juu! kwanini usidownload Yacine app for free ule maisha, gb1 unaangalia mechi yote na mb kidogo zinabaki.
Kutumia gb 1 kwa mechi moja bado ni gharama sana
Ina maana wiki ukiangalia mechi saba kwa mwezi inaweza kukugharimu zaidi ya elfu sitini
 
Back
Top Bottom