Nimeangalia Match ya EPL Bure bila DSTV kwa kutumia kifaa hiki..

Nimeangalia Match ya EPL Bure bila DSTV kwa kutumia kifaa hiki..

Kwa wapenzi wa soka Weekend tukiwa hatuna mishe tunajifungia ndani tunaangalia mpira au tunasogea vibanda umiza kupata burudani,Mimi binafsi huwa naangalia mechi zote za jumamosi na jumapili,you may call me fanatic but football ndio ulevi wangu,

DStv vifurushi daily vinapanda kwa uchumi ulivyo mgumu mwaka huu sijaangalia mechi nyingi sana maana sikua nalipia subscription so nilikua naenda Bar naangalia mechi moja narudi kulala,

nikawa natafuta ufumbuzi nifanye Nini niweze kuangalia mechi online?jamaa yangu akanipa link ya Twitter,kila siku wanazifungia,katika kupita pita nikakutana na hii kitu kinaitwa MEDIA BOX,ukiwa na Smart tv,unachomeka kupitia HDMI,unaunganisha na internet tv yako ya Android,utaziona channels zote, movies, Mpira,Music, Documentaries,News,Mimi mpira huwa naangalia Kuna channel inaitwa fubotv,mechi zote ni 4K UHD,mind you, Internet Ina tumia data za kutosha kidogo.. ENJOY
View attachment 2950365

Hujatazama bure bali umelipa kifurushi cha internet cha MB au GB kadhaa ili uweze kustream...

Android box zipo miaka na miaka, pia kuna TV ambazo tayari OS yake ni android (TCL, Haier, Skyworth, Panasonic, Sony n.k) hivyo huna haja ya kununua hiyo external box, all you have to do ni kuinstall app yenye streaming links tu...likes of Kodi, Livestream player, Yacine n.k
 
Naona mnajitafutia kesi za uhujumu uchumi hivi hivi. TCRA wakikukamateni mtajua hamjui. Risk yote ya nini ya misukosuko ya kisheria kisa mechi za epl. Go legal or just beat it, It's not worth it.

TCRA wanakukamata vipi sasa?
 
Kuna hii kitu unaangalia mechi yoyote

IMG_20240401_130444.jpg
 
Siku wakikuotea wanakamata, hawa na wale wanaotoa huduma ya simu za nje na internet kinyume cha sheria mbona hua wanakamatwa.

Wazuie kwanza uwepo wa smartphones, android tv/box kwanza kabla ya kukamata watu wanaofaidi matunda ya vifaa/mifumo hiyo...

Kutoa huduma nchini kinyume na vibali ni tofauti na kutumia huduma ya mtandao kwa contents ambazo zipo hosted nje huko...
 
Inaitwaje
Football Live HD

Niliipata kwenye hii thread alishare Chief-Mkwawa

 
Back
Top Bottom