Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
Hua hamkosekani, ila soon usije shangaa ukachekwa wewe, wabongo vifua hamna wiki iliopita nadhani uliona kilichotokeaNiweke hadharani ili nimchome jamaa? Inbox
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hua hamkosekani, ila soon usije shangaa ukachekwa wewe, wabongo vifua hamna wiki iliopita nadhani uliona kilichotokeaNiweke hadharani ili nimchome jamaa? Inbox
Naomba kwanza tuambie chaneli ipi inayopatikana kwa format ya 4k ilioko kwenye dekoda ya dstv, au ndio unataka kuwal kwa udalali uchuro haya kaka110k kwa HD
230 kwa 4k
Asante Mayor Quimby sija quote nime kutag kukupa maua yako
Pumzika kakaView attachment 2950402
Enjoy it hapo ni wewe tu unataka kuangalia sports gani, muda wowote mradi mchezo upo live.
As for me ngoja nitafute usingizi nikiwatazama Washington v Miami
Kaka kuna huyo Teko Modise i wish adakwe awasaidie dstv kuwatajia wanaoihujumu manake naona anapayuka kama chizi flaniNaona mnajitafutia kesi za uhujumu uchumi hivi hivi. TCRA wakikukamateni mtajua hamjui. Risk yote ya nini ya misukosuko ya kisheria kisa mechi za epl. Go legal or just beat it, It's not worth it.
Hatari sana, mbaya zaidi wanajua kuna chombo cha udhibiti na sheria zinazosimamia sekta hiyo. Ujuaji wa kijinga wakidakwa waanze kusumbua familia zao bure kuchangishana hela za kesi.Kaka kuna huyo Teko Modise i wish adakwe awasaidie dstv kuwatajia wanaoihujumu manake naona anapayuka kama chizi flani
Hulu Wana movies Nzuri kuzidi Netflix,bahati mbaya website yao Tanzania haipatikani,huyu mdau mtu wa movies binti kiziwiView attachment 2950411
Tumia hiki 140,000 Tsh YouTube, Netflix, Apple TV, Hulu na hizo channel za mpira
0714036595 Free Delivery.
Unateseka ukiwa wapi mkuuHatari sana, mbaya zaidi wanajua kuna chombo cha udhibiti na sheria zinazosimamia sekta hiyo. Ujuaji wa kijinga wakidakwa waanze kusumbua familia zao bure kuchangishana hela za kesi.
amtapeli kivip wakati ni kumuomba iwe mali kwa mali hakuna kupelekana vichochoroni wala kutumiana helaangalia asikutapeli maana unaelekea king
tupe madini mtu kazi,tushanyonywa sanaYaani nikiona mtu analipia hela ya king’amuzi cha mzulu natamani hata nimpige makofi
KinaitwajeUkiagiza ali express ni nafuu. Mimi ninacho nyumbani
Hiyo ndio kitu napenda sasaHata hiyo mkuu mbona unacheki vizuri,Banda umiza kulianza kunishinda kila mtu mchambuzi, " Kocha toa fredi ingiza jobe" huyu babakari Bora mzamiru"
Wee nawe unatuletea utapeli hapaHua hamkosekani, ila soon usije shangaa ukachekwa wewe, wabongo vifua hamna wiki iliopita nadhani uliona kilichotokea
Kwahyo hela bora atafute mi boxView attachment 2950411
Tumia hiki 140,000 Tsh YouTube, Netflix, Apple TV, Hulu na hizo channel za mpira
0714036595 Free Delivery.
Mtafute mwana wa kuitwa Masabo wa Dodoma yupo Instagram atakupa kila kitu kuhusu muongozo na upatikanajitupe madini mtu kazi,tushanyonywa sana
Kwaio utafurahi nikiwa nyuma ya nondoKaka kuna huyo Teko Modise i wish adakwe awasaidie dstv kuwatajia wanaoihujumu manake naona anapayuka kama chizi flani
Kama una swali uliza