Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
- Thread starter
- #21
Hadi 100mbsSpeed yake ni ngapi kwa Mbps?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi 100mbsSpeed yake ni ngapi kwa Mbps?
Ni Nini hiki mkuu
Dikoda zinazoruhusu kuangalia tv za bure mfano digisat,starsat,n.k kuna channels kama za Paksat 38e, Ethiopia entertainment (57e), huwa zinaonyesha ligi ya Uingereza ingawa sio mechi zote.Kama ipi kiongozi?
Inapatikana wapi, vifurushi unalipajeDikoda zinazoruhusu kuangalia tv za bure mfano digisat,starsat,n.k kuna channels kama za Paksat 38e, Ethiopia entertainment (57e), huwa zinaonyesha ligi ya Uingereza ingawa sio mechi zote.
Kinauzwa 120K mpaka 600K na hapo bado huja weka bando,😁😁😁 nacheka kama mazuri oky kila la kheri mkuuKwa wapenzi wa soka Weekend tukiwa hatuna mishe tunajifungia ndani tunaangalia mpira au tunasogea vibanda umiza kupata burudani,Mimi binafsi huwa naangalia mechi zote za jumamosi na jumapili,you may call me fanatic but football ndio ulevi wangu,
DStv vifurushi daily vinapanda kwa uchumi ulivyo mgumu mwaka huu sijaangalia mechi nyingi sana maana sikua nalipia subscription so nilikua naenda Bar naangalia mechi moja narudi kulala,
nikawa natafuta ufumbuzi nifanye Nini niweze kuangalia mechi online?jamaa yangu akanipa link ya Twitter,kila siku wanazifungia,katika kupita pita nikakutana na hii kitu kinaitwa MEDIA BOX,ukiwa na Smart tv,unachomeka kupitia HDMI,unaunganisha na internet tv yako ya Android,utaziona channels zote, movies, Mpira,Music, Documentaries,News,Mimi mpira huwa naangalia Kuna channel inaitwa fubotv,mechi zote ni 4K UHD,mind you, Internet Ina tumia data za kutosha kidogo.. ENJOY
View attachment 2950365
Hujaelewa point, bundle unlimited nanunua kila mwezi kwa matumizi mengine hata kabla ya hiyo media box..Kinauzwa 120K mpaka 600K na hapo bado huja weka bando,😁😁😁 nacheka kama mazuri oky kila la kheri mkuu
Mbona huja ambatanisha katika maelezo yako awali,ukitaka kutoa Mada toa maelezo yaliyo nyooka ili kupunguza watu kukupima uwezo wa akiliHujaelewa point, bundle unlimited nanunua kila mwezi kwa matumizi mengine hata kabla ya hiyo media box..
Maelezo yanajitosheleza mkuu usiwe slow..Mbona huja ambatanisha katika maelezo yako awali,ukitaka kutoa Mada toa maelezo yaliyo nyooka ili kupunguza watu kukupima uwezo wa akili
Basi wenye 30Mbps tuendelee tu kuangalia kwenye banda umizaHadi 100mbs
Hata hiyo mkuu mbona unacheki vizuri,Banda umiza kulianza kunishinda kila mtu mchambuzi, " Kocha toa fredi ingiza jobe" huyu babakari Bora mzamiru"Basi wenye 30Mbps tuendelee tu kuangalia kwenye banda umiza
Tatizo la mbongo ni kutohitaji kuambiwa ukweli,wewe Kuna sehemu umeandika humu kama Bundle likikata unaenda kibanda umiza kwa 500 na kama huna basi mdau anakulipia,now unaongea vyengine 😁😁😁Maelezo yanajitosheleza mkuu usiwe slow..
Bado ni gharama! Tafuta dikoda pori za Starsat ule maisha!! Chaneli zote za diesitivii utazipata kitonga!! Ongea na watu uvae viatu!! Na watu wenyewe ndio sasa…Kwa wapenzi wa soka Weekend tukiwa hatuna mishe tunajifungia ndani tunaangalia mpira au tunasogea vibanda umiza kupata burudani,Mimi binafsi huwa naangalia mechi zote za jumamosi na jumapili,you may call me fanatic but football ndio ulevi wangu,
DStv vifurushi daily vinapanda kwa uchumi ulivyo mgumu mwaka huu sijaangalia mechi nyingi sana maana sikua nalipia subscription so nilikua naenda Bar naangalia mechi moja narudi kulala,
nikawa natafuta ufumbuzi nifanye Nini niweze kuangalia mechi online?jamaa yangu akanipa link ya Twitter,kila siku wanazifungia,katika kupita pita nikakutana na hii kitu kinaitwa MEDIA BOX,ukiwa na Smart tv,unachomeka kupitia HDMI,unaunganisha na internet tv yako ya Android,utaziona channels zote, movies, Mpira,Music, Documentaries,News,Mimi mpira huwa naangalia Kuna channel inaitwa fubotv,mechi zote ni 4K UHD,mind you, Internet Ina tumia data za kutosha kidogo.. ENJOY
View attachment 2950365
Umeanza kuchanganya Mambo,mdau juu kasema nimewakimbia DStv,nikamjibu sio siku zote utakua sawa kiuchumi,Kama sielewi naenda kibanda umiza na jero,Tatizo la mbongo ni kutohitaji kuambiwa ukweli,wewe Kuna sehemu umeandika humu kama Bundle likikata unaenda kibanda umiza kwa 500 na kama huna basi mdau anakulipia,now unaongea vyengine 😁😁😁
Zinapatikana wapiBado ni gharama! Tafuta dikoda pori za Starsat ule maisha!! Chaneli zote za diesitivii utazipata kitonga!! Ongea na watu uvae viatu!! Na watu wenyewe ndio sasa…
Niweke hadharani ili nimchome jamaa? InboxZinapatikana wapi
Gharama tsh ngapiNiweke hadharani ili nimchome jamaa? Inbox
angalia asikutapeli maana unaelekea kingZinapatikana wapi
110k kwa HDGharama tsh ngapi
We jamaa kale dakuangalia asikutapeli maana unaelekea king