Mkuu huyo mpango wake ni kukuuzia tu, kwa sababu bei ya deki mpya ni 55k sasa utofauti hapo ni nin?? Shtuka mzee[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hapo ndo shida mi kuna mmoja anataka 30k aweke deki ya singsang imebidi nicheke tu hivi nani anatumia deki kama si kuniuzia kwa 30k
Nimestuka mzee mwenzanguMkuu huyo mpango wake ni kukuuzia tu, kwa sababu bei ya deki mpya ni 55k sasa utofauti hapo ni nin?? Shtuka mzee[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23]Duh!!!
yamekuwa hayo tena? mbona husemi jinsi wanavyonufaika na hela zangu wanazokopa?
mtu akope laki 1, akaununue samaki auze raundi 2 kwa wiki anapata faida elfu 50 nzima mpaka elfu 70.
akinipa 20 anapata hasara sana?
na mbona nikiwajibu sina hela wanalalamika sana na wanasema nawarudisha nyuma[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]
DUA YAKO MKUU HAITOFANYA KAZI.
Riba ndogo kama kiasi gani mkuuWakopeshe wa mama wa uswazi wenye biashara,riba ndogo
Walete tuwakopeshe kwa riba ya 10 percentWakopeshe wa mama wa uswazi wenye biashara,riba ndogo
Ntawauliza ila huwa nawaonea huruma mno maana wanapelekeshwa vibaya mno na riba sio rafiki kwao mpka natamani kuwakopesha, ila nao wajeurii mpka amsha amshaWalete tuwakopeshe kwa riba ya 10 percent
kama uaminifu upo mbona ten percent ni riba nzuri tuu kwa wiki. wewe watafute tufanye business mzeya huku tukiwakomboa wamama wapambanajiNtawauliza ila huwa nawaonea huruma mno maana wanapelekeshwa vibaya mno na riba sio rafiki kwao mpka natamani kuwakopesha, ila nao wajeurii mpka amsha amsha
mfano mama mmoja anafanya biashara ya samaki. Anachukua laki 1 kwangu kila wiki. Nishamzoea.
analeta 20,000 kila jumatatu.
Na huyo ni mama mchungaji.
Jana nimepitia kitabu changu cha madeni nimekuta kuna laki 5 nje.
nimejiuliza sana hivi nikizimwa hapa ntakuwa.mgeni wa nani[emoji28][emoji28][emoji28]
nakusanya Marejesho daily kama 8,000
kwa wiki nalaza elfu 50 mpaka 60
Huu mwaka lazima tununue kiwanja.
hizi bukubuku ni za mama muuza genge[emoji28][emoji28]
bado wa vitumbua
View attachment 2159389
[emoji23][emoji23][emoji23]Ntawauliza ila huwa nawaonea huruma mno maana wanapelekeshwa vibaya mno na riba sio rafiki kwao mpka natamani kuwakopesha, ila nao wajeurii mpka amsha amsha
Hongera! Ni biashara nzuri,ila naona riba yako ni kubwa mno ndg,punguza riba upate wateja wengi zaidiHabari za asubuhi JF people?
Mimi ni Dalali wa Viwanja Magari Nyumba & Co. Kuna pesa huwa naipata gjafla kutokana na shughuli zangu za u middle Nimeamua kuanza kukopesha.
Watu ninaoanza nao ni waaminifu sana nawafahamu. Kwa kuanza tu nimeamua kuwapa mkopo wa masharti haya:
Jana nimetoa elfu 40, after two weeks ilete Riba ya Tshs 28,000
- Kwa kila shilingi elfu 10, irejeshe Sh 500 kila siku.
- Mkopo utakaa siku 14.
Je, nipo sahihi au najiumiza kwa kiwango nilichoweka?
Je, nikipandisha kwa kila elfu 10 izae buku kila siku nitakosea?
Note: Mteja wangu ni mama ntilie
Hapana mkuu sitapunguza riba, labda unipe mbinu zaidi nisitapeliwe hela zangu.Hongera! Ni biashara nzuri,ila naona riba yako ni kubwa mno ndg,punguza riba upate wateja wengi zaidi
Njoo nikuongezee mtajiHapana mkuu sitapunguza riba, labda unipe mbinu zaidi nisitapeliwe hela zangu.
mpaka hapa nimezidiwa wateja. Wateja ni wengi sana mtaji mdogo (hela imekua mpaka laki 8)
Nashukuru Mungu naweza ingiza faida (riba) kwa wiki Tsh 100,000 mpaka 120,000
Simama sana Mungu lakini pia fanya featuring kidoogo[emoji23]
Hivi hapo mshana ulimaanisha nini?Simama sana Mungu lakini pia fanya featuring kidoogo[emoji23]
Huwa unachukua vitu Kama nni?Mkuu kwangu imefikia hatua sasa natafutwa, na wanajipangia riba wenyewe.
View attachment 2162801
huyu alichukua jana 90,000
akarudisha 98,000 leo tarehe 24.3.2022
Aliniomba laki 1 nikawa sina ndo nikampa 90.
kairudisha hio kisha ananitumia sms anataka 30k.
riba wamejiwekea 3,000 kesho saa tano naifuata.
mambo ya long term or short term tumuachie Mungu mkuu.
Nipo kwenye gem toka mwaka jana na mpaka sasa nalisongesha tu cha muhimu kwa watu nisiowaamini huwa nabeba vitu naweka bondi.
Alileta na risiti, au ikoje, asije akasema umemuibiaHuyu katelekeza Tv yake hadi leo kwa Deni la 50,000.
Wakati anakuja kuchukua mkopo aliniomba achukue bila kuweka kitu bondi, lakini ajabu roho yangu ikamkatalia kabisa.
ndipo akaleta Tv, ameleta rejesho Moja tu (10,000) kisha kakaa kimya.
wenzangu mnaokopesha muwe makini sana
OGOPENI SANA WANAWAKE WANAOKUJA KUWAKOPA NA MANENO MAZURI MAZURI. wengi wao ni matapeli, wagumu kulipa n.k
View attachment 2189361
Nimependa hii kaka Mshana Jr! Hujawa mnafiki, safi kabisa.Simama sana Mungu lakini pia fanya featuring kidoogo[emoji23]