Nimeanza Biashara ya Kukopesha, naomba ushauri

Nimeanza Biashara ya Kukopesha, naomba ushauri

Hapo ndo shida mi kuna mmoja anataka 30k aweke deki ya singsang imebidi nicheke tu hivi nani anatumia deki kama si kuniuzia kwa 30k
Mkuu huyo mpango wake ni kukuuzia tu, kwa sababu bei ya deki mpya ni 55k sasa utofauti hapo ni nin?? Shtuka mzee[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mkuu huyo mpango wake ni kukuuzia tu, kwa sababu bei ya deki mpya ni 55k sasa utofauti hapo ni nin?? Shtuka mzee[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nimestuka mzee mwenzangu
 
Duh!!!
yamekuwa hayo tena? mbona husemi jinsi wanavyonufaika na hela zangu wanazokopa?

mtu akope laki 1, akaununue samaki auze raundi 2 kwa wiki anapata faida elfu 50 nzima mpaka elfu 70.

akinipa 20 anapata hasara sana?

na mbona nikiwajibu sina hela wanalalamika sana na wanasema nawarudisha nyuma[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]

DUA YAKO MKUU HAITOFANYA KAZI.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Walete tuwakopeshe kwa riba ya 10 percent
Ntawauliza ila huwa nawaonea huruma mno maana wanapelekeshwa vibaya mno na riba sio rafiki kwao mpka natamani kuwakopesha, ila nao wajeurii mpka amsha amsha
 
Ntawauliza ila huwa nawaonea huruma mno maana wanapelekeshwa vibaya mno na riba sio rafiki kwao mpka natamani kuwakopesha, ila nao wajeurii mpka amsha amsha
kama uaminifu upo mbona ten percent ni riba nzuri tuu kwa wiki. wewe watafute tufanye business mzeya huku tukiwakomboa wamama wapambanaji
 
mfano mama mmoja anafanya biashara ya samaki. Anachukua laki 1 kwangu kila wiki. Nishamzoea.

analeta 20,000 kila jumatatu.

Na huyo ni mama mchungaji.

Jana nimepitia kitabu changu cha madeni nimekuta kuna laki 5 nje.

nimejiuliza sana hivi nikizimwa hapa ntakuwa.mgeni wa nani[emoji28][emoji28][emoji28]

Utakuwa mgeni wa ibilisi [emoji851]ahera
 
Habari za asubuhi JF people?

Mimi ni Dalali wa Viwanja Magari Nyumba & Co. Kuna pesa huwa naipata gjafla kutokana na shughuli zangu za u middle Nimeamua kuanza kukopesha.

Watu ninaoanza nao ni waaminifu sana nawafahamu. Kwa kuanza tu nimeamua kuwapa mkopo wa masharti haya:
  • Kwa kila shilingi elfu 10, irejeshe Sh 500 kila siku.
  • Mkopo utakaa siku 14.
Jana nimetoa elfu 40, after two weeks ilete Riba ya Tshs 28,000

Je, nipo sahihi au najiumiza kwa kiwango nilichoweka?

Je, nikipandisha kwa kila elfu 10 izae buku kila siku nitakosea?

Note:
Mteja wangu ni mama ntilie
Hongera! Ni biashara nzuri,ila naona riba yako ni kubwa mno ndg,punguza riba upate wateja wengi zaidi
 
Hongera! Ni biashara nzuri,ila naona riba yako ni kubwa mno ndg,punguza riba upate wateja wengi zaidi
Hapana mkuu sitapunguza riba, labda unipe mbinu zaidi nisitapeliwe hela zangu.

mpaka hapa nimezidiwa wateja. Wateja ni wengi sana mtaji mdogo (hela imekua mpaka laki 8)

Nashukuru Mungu naweza ingiza faida (riba) kwa wiki Tsh 100,000 mpaka 120,000
 
Hapana mkuu sitapunguza riba, labda unipe mbinu zaidi nisitapeliwe hela zangu.

mpaka hapa nimezidiwa wateja. Wateja ni wengi sana mtaji mdogo (hela imekua mpaka laki 8)

Nashukuru Mungu naweza ingiza faida (riba) kwa wiki Tsh 100,000 mpaka 120,000
Njoo nikuongezee mtaji
 
Mkuu kwangu imefikia hatua sasa natafutwa, na wanajipangia riba wenyewe.

View attachment 2162801

huyu alichukua jana 90,000
akarudisha 98,000 leo tarehe 24.3.2022

Aliniomba laki 1 nikawa sina ndo nikampa 90.

kairudisha hio kisha ananitumia sms anataka 30k.

riba wamejiwekea 3,000 kesho saa tano naifuata.

mambo ya long term or short term tumuachie Mungu mkuu.

Nipo kwenye gem toka mwaka jana na mpaka sasa nalisongesha tu cha muhimu kwa watu nisiowaamini huwa nabeba vitu naweka bondi.
Huwa unachukua vitu Kama nni?
Mnaandikishiana?
Unafanya vipi kukwepa mambo ya TRA

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Huyu katelekeza Tv yake hadi leo kwa Deni la 50,000.


Wakati anakuja kuchukua mkopo aliniomba achukue bila kuweka kitu bondi, lakini ajabu roho yangu ikamkatalia kabisa.

ndipo akaleta Tv, ameleta rejesho Moja tu (10,000) kisha kakaa kimya.

wenzangu mnaokopesha muwe makini sana

OGOPENI SANA WANAWAKE WANAOKUJA KUWAKOPA NA MANENO MAZURI MAZURI. wengi wao ni matapeli, wagumu kulipa n.k



View attachment 2189361
Alileta na risiti, au ikoje, asije akasema umemuibia

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom