Kwa miaka mingapi?Wakuu mimi kuna mtu amenikopesha 1m namlipa 70k kila mwisho wa mwezi, Hiyo riba ni kubwa au ndogo? Isije ikawa napigwa[emoji85][emoji3]
Fair sana, ila hujasema ni kwa muda gani hilo rejesho la mkopo.Wakuu mimi kuna mtu amenikopesha 1m namlipa 70k kila mwisho wa mwezi, Hiyo riba ni kubwa au ndogo? Isije ikawa napigwa[emoji85][emoji3]
Kuna wamama wa vikundi huwa wananifuata sana.kuwa makini.... watanzania wengi hawakopesheki
nadhani neno biashara kichaa lilitokea huku. Watz wengi hatuna culture ya kukopa na kulipa
Umafia ndiyo utakaribisha kufirisika.HakyaMungu mi ntatumia ukurya wangu kumkarabati mtu/watu wa hivyo
umafia utatumika kudili na watu kama hao sitakubali kufilisika kizembe[emoji28][emoji28]
mama mchungaj anajibu kisela et poaNdio maana Yesu akasema ya kaisari mpeni kaisari. Na ya Mungu mpeni Mungu.
mimi nakopesha hadi hadi mama Mchungaji.
View attachment 2154833
Kungelikuwa na utaratibu wa kukata % kwa noti chafu chafu, waTz tungejifunza kuhifadhi pesa.nakusanya Marejesho daily kama 8,000
kwa wiki nalaza elfu 50 mpaka 60
Huu mwaka lazima tununue kiwanja.
hizi bukubuku ni za mama muuza genge[emoji28][emoji28]
bado wa vitumbua
View attachment 2159389
Toka nimeomba unipe abc umegoma mkuu😆Kuna wamama wa vikundi huwa wananifuata sana.
mfano mchana huu huu, kaja mmoja anataka laki aende aka top up achukue mkopo mara 2 huko kwenye kikundi chao.
Aisee nimempa 50,000
utaratibu wake ni kwamba akichukua anarejesha kesho yake Tsh 60,000😃😃😃
hapo ndo mtaniua sasa kwa maneno. Wengine wanakuja kesho kama wawili hivi na mimi nimeishiwa Cash ndani.
Sijagoma mkuu nabaishwa na maneno ya wachangiaji.Toka nimeomba unipe abc umegoma mkuu😆
Umafia sio wa kiwango hicho mkuuUmafia ndiyo utakaribisha kufirisika.
Mara zote "umakame nguvu" humfanya mtu ajute baada ya kutenda.
Ukishamfanyia umafia mtu, tayari milango mingine ya kihalifu(Polisi na mahakama) inafunguka na kubakia wazi.
Je haujatapanya pesa zako za mtaji kujiokoa ili kuifunga milango ya gereza kwa pesa isikumeze mzima mzima?
Kwanini unakopesha kwa riba ?Habari za asubuhi JF people?
Mimi ni Dalali wa Viwanja Magari Nyumba & Co. Kuna pesa huwa naipata gjafla kutokana na shughuli zangu za u middle Nimeamua kuanza kukopesha.
Watu ninaoanza nao ni waaminifu sana nawafahamu. Kwa kuanza tu nimeamua kuwapa mkopo wa masharti haya:
Jana nimetoa elfu 40, after two weeks ilete Riba ya Tshs 28,000
- Kwa kila shilingi elfu 10, irejeshe Sh 500 kila siku.
- Mkopo utakaa siku 14.
Je, nipo sahihi au najiumiza kwa kiwango nilichoweka?
Je, nikipandisha kwa kila elfu 10 izae buku kila siku nitakosea?
Note: Mteja wangu ni mama ntilie
Duh maswali magumuKwanini unakopesha kwa riba ?
Lengo lako kuwasaidia au kupata pesa kupitia wao ?
Amini unachokifanya hii biashara naikubali sana japo niliingia cha kike kukopesha wahuni wakanizima laki mbili yangu hadi leo hii ukiwatafuta hawapatiakani ukipiga simu hawapokeii aisee ila sijakata tamaa bado naendelea nayoView attachment 2159740
hapo kuna faida ya 32,000 kwa wiki moja kutoka kwa wateja wawili tu.
bado wengine watano this week
Nafanya biashara ya pesa mkuu. Kama zilivyo benki zote za biasharaKwanini unakopesha kwa riba ?
Lengo lako kuwasaidia au kupata pesa kupitia wao ?
😋Asante mkuu naendelea kujifunzaNafanya biashara ya pesa mkuu. Kama zilivyo benki zote za biashara
riba zangu ni kwa siku 7 unaleta elfu 2 kwa kila elfu 10 unayochukua.
kuna wengine wanachukua kwa siku 3, 4 mpaka 5 lakini interest iko palepale.
View attachment 2160027
nakusanya hio hela kutoka kwa wakopaji wadogo wale wa teni teni every day.
Nashukuru Mungu mtaji umekua kwa kasi sana kutoka 100,000 mpaka sasa inagonga laki 6.
nakopesha wale ninaowajua kiundani.
nisiowajua wanaweka vitu bondi.
CHANGAMOTO
mpaka sasa changamoto yangu ni mtaji umepungua wakopaji wamekuwa wengi, tena wale LEGIT wanaoletwa na wateja WAKONGWE.
imagine kama jana kuna mmama kaletwa anataka laki 1, arudishe 120k leo.
nilishangaa sana lakn nilipouliza kiundani waliniambia wanaenda ku top up mkopo wao kwenye kikundi na huwa wanafanya hivyo ili WAPATE MIKOPO MARA 2.
Hii biashara inalipa ila inahitaji uwe mtu makini sana.
SIO KILA MTU NI WA KUKOPESHA
CHUNGUZA KABLA HUJAKOPESHA.
ULIZA ULIZA KWA WANAOMJUA
kokudo note something