Muongo sana huyo dada.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Una utani wewe...!! Nitafutie Dr mmoja alieacha kazi huko na walikuwa wanalipwa hivyo nikupe Mil 1 hapa... acha masihara kijanaa..
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Yani anadhani anaongea na Darasa la saba sijui.. madoctor wamejaa mtaani wanazurura hata kujitolea walipwe chochote nafasi wamekosaa. Serikali ingekuwa haitumii Intern Doctors bhasi ajira zingekuwepo ila uwepo wa intern unawapa sana kiburi sio kwa kada ya Udaktari ni kada zote yanii..Muongo sana huyo dada.
Ila Una KiLetter si ndio...Nimesomea udaktari mwaka wa pili sasa sina kazi
Madaktari wa mifugo wakiona mbwa wanaona mteja watu huyuLabda kama daktari wa majipu na kutoa funza
Hao wote ni Clinical Officers sio DoctorsAsije akawa anawazungumzia madaktar wa certificate ...angalau wa diploma kidogo.
Mkuu huku kijijin Sojo Nzega hatulijui hilo kwenye vi zahanat vyetu tunawaita madokta hata kana wana level certificate tu.Natunawanyenyekea mnooHao wote ni Clinical Officers sio Doctors
Nimesomea udaktari mwaka wa pili sasa sina kazi
Mimi bado siamin,MD kabisa akose kabisa,labda kama kaamua.
Wapo wengi tena wengine wanajitoleaKuna mtu nilikuwa nabisha nae sana leo, mimi ni muhitimu wa level ya degree kwenye coz zetu hizi ambazo kila chuo ukienda zipo, ila MEDICAL DOCTOR Kiukweli kabisa kutoka moyoni siamini kama kweli kuna mtu amemaliza hiyo course hana ajira, labda mnisaidie wenzangu wa JF.
Anaweza kupata ila atakubali kulipwa 38000
Naikumbuka hii. Walikuwa wengi sana. Nafikiri usahili ulifanyika somewhere Pwani. 2018 ilikuwa.Kuna kipindi fulani nadhani mwaka juzi, sikumbuki vizuri serikalini nadhani ni jeshini walitanganza ajira ya udactali Kimbembe ilikuja kwenye interview wadau walimiminika wengii na sikutarajia. So brother, wadau wenye degree zao za kila aina wapo kitaa kibao.
Sent from my D5322 using JamiiForums mobile app
ULIKUWA MRADI GANI? NA MLIKUWA MNALUOA SH NGAPI?Yes,last year ofisi yetu tulitangaza kazi za MD zaidi ya 50plus hatukupata ikabidi tujazie na hao wenye Diploma .Hata hao MD tuliowapata almost nusu wameshaacha kazi.Ni kwenye project ya USAID yenye mshahara mzuri tu na mikataba wa 5years kufanya kazi kwenye vituo vya afya ikiwa ni pamoja ya kusimami uratibu wa mradi kwenye wilaya zaidi ya 45 nchini (Hatukuweza kupata MD)