masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Jana baada ya waheshimiwa kupata chanjo yao, nami nikaingia chemba kuipata rasmi. Nimechanjwa hii chanjo ya Jonson and Jonson kama hatua moja ya kinga ya ugonjwa wa corona.
Nia ya bandiko hili ni kuwajulisha ninavyoendelea kadri siku zinavyokwenda.
Mpaka sasa na leo niko salama na nita update mara moja au mbili kwa wiki kadri siku zinavyokwenda.
Mwenye swali tafadhali.
DAY 3: MYTH QUASHED
Nimeweka shilingi nilipochoma sindano, Shillingi haigandi, inaanguka.
DAY 14: Wakuu bado nipo nipo tu, sija dedi!
Johnson and Johnson inafanya kazi yake
Nia ya bandiko hili ni kuwajulisha ninavyoendelea kadri siku zinavyokwenda.
Mpaka sasa na leo niko salama na nita update mara moja au mbili kwa wiki kadri siku zinavyokwenda.
Mwenye swali tafadhali.
DAY 3: MYTH QUASHED
Nimeweka shilingi nilipochoma sindano, Shillingi haigandi, inaanguka.
DAY 14: Wakuu bado nipo nipo tu, sija dedi!
Johnson and Johnson inafanya kazi yake