GreatV
Member
- Sep 18, 2014
- 25
- 17
Usivae barakoaJana baada ya waheshimiwa kupata chanjo yao, nami nikaingia chemba kuipata rasmi.
Nimechanjwa hii chanjo ya Jonson and Jonson kama hatua moja ya kinga ya ugonjwa wa corona...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usivae barakoaJana baada ya waheshimiwa kupata chanjo yao, nami nikaingia chemba kuipata rasmi.
Nimechanjwa hii chanjo ya Jonson and Jonson kama hatua moja ya kinga ya ugonjwa wa corona...
Akili zimeshafyatuka baada ya kudungwa michanjo ya ajabu ajabu!Kuamini au kuyoamini kuwa nimechanja , litabaki kuwa tatizo lako na sina haja ya kufanyia propaganda ukweli ninaoeleza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usivae barakoa
Jana baada ya waheshimiwa kupata chanjo yao, nami nikaingia chemba kuipata rasmi.
Nimechanjwa hii chanjo ya Jonson and Jonson kama hatua moja ya kinga ya ugonjwa wa corona...
Matatizo nakuachia wewe.Akili zimeshafyatuka baada ya kudungwa michanjo ya ajabu ajabu!
Baadae manispaa wanakuchimbua kwa ajili ya upanuzi wa barabara 😂Mkuu umesahau ukifa watu tena wanakaa juu ya kaburi..
Waliochanjwa jana ni ma pro CCM.
Ila huyu baba anazeeka na u'handsome wake. He's still appealing🤪View attachment 1873385
Pro CCM mbona wapo wengi mkuu!
Ana celebrate 60 yrs hivi karibuni.Ila huyu baba anazeeka na u'handsome wake. He's still appealing🤪
Jana baada ya waheshimiwa kupata chanjo yao, nami nikaingia chemba kuipata rasmi.
Ukijifungia ndani ili uwe salama...Mara paaap neema Huyu hapa na petroli yakeMaisha ya mwanadamu ni mahangaiko, ikikukosa covid 19, unapigwa na H.I.V, ukikoswa unavamiwa na majambazi, unagongwa na gari au boda boda, unapigwa risasi bar, unachomwa na moto ndani ya nyumba,yaani tafrani
Kwa ile hatari unayoiona chukua tahadhari.Maisha ya mwanadamu ni mahangaiko, ikikukosa covid 19, unapigwa na H.I.V, ukikoswa unavamiwa na majambazi, unagongwa na gari au boda boda, unapigwa risasi bar, unachomwa na moto ndani ya nyumba,yaani tafrani
Asante mkuu, nawe ukiwa n updates , wengine watapona kwa uzoefu unaoupata.Sisi pia kwenye kampuni moja ya kitalii nimechanja ni mwezi wa pili sasa huu na niko fresh kabisa.
Tena nimechanja Astra zeneca (uk) ambayo wengi wanasema inawalakini.
Watanzania tuchanje asee.
Maisha ya mwanadamu ni mahangaiko, ikikukosa covid 19, unapigwa na H.I.V, ukikoswa unavamiwa na majambazi, unagongwa na gari au boda boda, unapigwa risasi bar, unachomwa na moto ndani ya nyumba,yaani tafrani
Duh mara hii mshaanza kuhamisha magoli?subili miaka 15 ijayo mkuu ndo utpe update sio siku, wiki wala mwaka.
Hatuna uhakikaVip inaongeza nguvu za kiume?
Ha ha ha!Vip inaongeza nguvu za kiume?