#COVID19 Nimechanja chanjo ya COVID-19 jana na niko salama

#COVID19 Nimechanja chanjo ya COVID-19 jana na niko salama

yaani ukiwa unasumbuliwa na Kisukari au presha au ukimwi au tb corona inamalizia kazi kwa urahisi sana!
ndio maana ktk wimbi hili wagonjwa wa kisukari, presha ya kupanda, ulimwi na tb wana kufa zaidi kuliko kipindi kingine kile.
Unaweza ukawa sahihi au usiwe sahihi maana hapo issue ni chanzo cha kifo, kama tutakuwa tunachukulia kwamba ukiwa na hayo magonjwa halafu ukawa postive kwenye corona na ukafariki basi tunahitimisha tu kuwa chanzo cha kifo ni corona basi lazima tuone vifo vingi na sie huku ambao hata takwimu hatuna ndio kabisa sie kila kifo cha mtu mwenye hayo magonjwa tusema ni corona na kwa hali hiyo lazima vifo viwe vingi kwelikweli.
 
Jana baada ya waheshimiwa kupata chanjo yao, nami nikaingia chemba kuipata rasmi. Nimechanjwa hii chanjo ya Jonson and Jonson kama hatua moja ya kinga ya ugonjwa wa corona.

Nia ya bandiko hili ni kuwajulisha ninavyoendelea kadri siku zinavyokwenda.

Mpaka sasa na leo niko salama na nita update mara moja au mbili kwa wiki kadri siku zinavyokwenda.

Mwenye swali tafadhali.

DAY 3: MYTH QUASHED
Nimeweka shilingi nilipochoma sindano, Shillingi haigandi, inaanguka.

DAY 14: Wakuu bado nipo nipo tu, sija dedi!
Johnson and Johnson inafanya kazi yake
Umechanjwa jana na unasema uko salama!Ubaya wa hiyo chanjo is not immediate.Lete taarifa hapa baada ya angalau mwaka,kama bado utakuwepo. Aliyekuwa Vice-President wa Pfizer amesema maximum lifespan ya mtu aliyechanjwa ni 3yrs.Mkuu how stupid of you,badala ya kuamini watu kama hawa unaamini wanasiasa na the mainstream media,how stupid.
 
Wanasema pale ulipodungwa sindani ukiweka balb inawaka. [emoji1787][emoji1787]
 
Umechanjwa jana na unasema uko salama!Ubaya wa hiyo chanjo is not immediate.Lete taarifa hapa baada ya angalau mwaka,kama bado utakuwepo. Aliyekuwa Vice-President wa Pfizer amesema maximum lifespan ya mtu aliyechanjwa ni 3yrs.Mkuu how stupid of you,badala ya kuamini watu kama hawa unaamini wanasiasa na the mainstream media,how stupid.
Watanzania huwa wala hatujielewi katika masuala ya kisayansi na research.
Na mara nyingi watu wajinga wajinga huwa hawajui kuwa hawajui, kama mtoa hii post.

Fuatilia mada hii, unajibu leo wakati hii mada is 14days old!
NOW WHO IS STUPID!

Observation of a specimen is also a scientific approach at research.
Louis Pasteur’s , mwaka 1885, alivumbua chanjo ya mingi na nyingine kujichanja mwenyewe na kujifanyia daily observations na kutengeneza log ya observations.
Mi nimeiweka observation yangu wazi ili wale wenye akili ndogo, kama uliyetoa hii post ninayokujibu, uweze kufaidika.
 
Watanzania huwa wala hatujielewi katika masuala ya kisayansi na research.
Na mara nyingi watu wajinga wajinga huwa hawajui kuwa hawajui, kama mtoa hii post.

Fuatilia mada hii, unajibu leo wakati hii mada is 14days old!
NOW WHO IS STUPID!

Observation of a specimen is also a scientific approach at research.
Louis Pasteur’s , mwaka 1885, alivumbua chanjo ya mingi na nyingine kujichanja mwenyewe na kujifanyia daily observations na kutengeneza log ya observations.
Mi nimeiweka observation yangu wazi ili wale wenye akili ndogo, kama uliyetoa hii post ninayokujibu, uweze kufaidika.
[/
So you admit that you are research material or Guinea Pig.Hivi unajua kwamba hii C-19 jab haijaidhinishwa lakini?Na hivi unajua kilichomo ndani ya hiyo chanjo?
Hii sio chanjo kama ya Pasteur mkuu.Ungejua a bit of science ungejua kwamba chanjo haiwezi kuwa ready in18 months.Mkuu hii ni Microsoft Windows 666 mRNA Operating System,which means that now they can operate you as a computer and so make you
a GMO.So badala ya kuwa a new creation in Christ,you become a new creation in Satan!Ndani ya hiyo chanjo kuna sumu mbaya inayoitwa Graphene Oxide.Ipo pia Hydrogel!The actual ingredients of C-19 hizi hapa!

 
So you admit that you are research material or Guinea Pig.Hivi unajua kwamba hii C-19 jab haijaidhinishwa lakini?Na hivi unajua kilichomo ndani ya hiyo chanjo?
Hii sio chanjo kama ya Pasteur mkuu.Ungejua a bit of science ungejua kwamba chanjo haiwezi kuwa ready in18 months.Mkuu hii ni Microsoft Windows 666 mRNA Operating System,which means that now they can operate you as a computer.The actual ingredients of C-19 hizi hapa!

Inashangaza unalikuta li-afrika fukara mpaka makalioni linakumbia chanjo haiwezi kuwa tayari kwa miezi 18. Ukiliuliza umeambiwa na nani litakuambia nimesoma vyuoni! (elimu ya wazungu). Hao hao wazungu wakisema technolojia imebadika na tumeweza kufupisha muda wa kutengeneza chanjo linakumbia haiwezekani. Ukiliuliza ulishatengeneza chanjo za aina ngapi tangu umalize chuo linabaki kutoa macho kama panya buku. Unabaki kulishangaa tu.
 
Inashangaza unalikuta li-afrika fukara mpaka makalioni linakumbia chanjo haiwezi kuwa tayari kwa miezi 18. Ukiliuliza umeambiwa na nani litakuambia nimesoma vyuoni! (elimu ya wazungu). Hao hao wazungu wakisema technolojia imebadika na tumeweza kufupisha muda wa kutengeneza chanjo linakumbia haiwezekani. Ukiliuliza ulishatengeneza chanjo za aina ngapi tangu umalize chuo linabaki kutoa macho kama panya buku. Unabaki kulishangaa tu.
Nenda kachanjwe tunagombana nini?
 
Nenda kachanjwe tunagombana nini?
Inashangaza unalikuta li-afrika fukara mpaka makalioni linakumbia chanjo haiwezi kuwa tayari kwa miezi 18. Ukiliuliza umeambiwa na nani litakuambia nimesoma vyuoni! (elimu ya wazungu). Hao hao wazungu wakisema technolojia imebadika na tumeweza kufupisha muda wa kutengeneza chanjo linakumbia haiwezekani. Ukiliuliza ulishatengeneza chanjo za aina ngapi tangu umalize chuo linabaki kutoa macho kama panya buku. Unabaki kulishangaa tu.
Acha umbumbumbu wewe.Nani aliyewaambia Wazungu tunawahitaji Africa.Nani aliwaambia tunahitaji dawa yeyote kutoka kwao,achilia mbali chanjo?Nani aliwaambia tunahitaji anything from them.Hatukuwahitaji na hatukuhitaji chochote kutoka kwao.We were self sufficient.Dawa zetu za asili tulizokuwa nazo were safe and maintained our healths optimaly.Their deadly poisons including vaccines have disrupted our body systems and now we are dying like locusts,hivi huoni?Comeon hatuhitaji chanjo yao wakae kwao.Kwa nini wanatulazimisha?
 
Jana baada ya waheshimiwa kupata chanjo yao, nami nikaingia chemba kuipata rasmi. Nimechanjwa hii chanjo ya Jonson and Jonson kama hatua moja ya kinga ya ugonjwa wa corona.

Nia ya bandiko hili ni kuwajulisha ninavyoendelea kadri siku zinavyokwenda.

Mpaka sasa na leo niko salama na nita update mara moja au mbili kwa wiki kadri siku zinavyokwenda.

Mwenye swali tafadhali.

DAY 3: MYTH QUASHED
Nimeweka shilingi nilipochoma sindano, Shillingi haigandi, inaanguka.

DAY 14: Wakuu bado nipo nipo tu, sija dedi!
Johnson and Johnson inafanya kazi yake
ok vzr ,hongera sanaa ....pita ukurasa wa BBC uone wanavyosema DNA na ugumba vinavyoweza kuwaathiri wachachanji apo badae ....
 
Acha umbumbumbu wewe.Nani aliyewaambia Wazungu tunawahitaji Africa.Nani aliwaambia tunahitaji dawa yeyote kutoka kwao,achilia mbali chanjo?Nani aliwaambia tunahitaji anything from them.Hatukuwahitaji na hatukuhitaji chochote kutoka kwao.We were self sufficient.Dawa zetu za asili tulizokuwa nazo were safe and maintained our healths optimaly.Their deadly poisons including vaccines have disrupted our body systems and now we are dying like locusts,hivi huoni?Comeon hatuhitaji chanjo yao wakae kwao.Kwa nini wanatulazimisha?
🤣 🤣 🤣 🤣Kweli nimekuwa mbumbumbu. Kwa ujinga wangu nilidhani hata device unayotumia kuingia JF, na Internet kwa ujumla ni wao walitufundisha. Kumbe ni sisi tulivumbua. Halafu ungekuwa umetumia lugha yao kwenye baadhi ya maneno kwenye mchango wako ningekuona mbumbumbu zaidi ya mimi. Samahani.
 
Kwa hiyo Gwajima na Polepole ni waongo? Wewe ni Zombie la kinyakyusa! Kkkkk
 
Jana baada ya waheshimiwa kupata chanjo yao, nami nikaingia chemba kuipata rasmi. Nimechanjwa hii chanjo ya Jonson and Jonson kama hatua moja ya kinga ya ugonjwa wa corona.

Nia ya bandiko hili ni kuwajulisha ninavyoendelea kadri siku zinavyokwenda.

Mpaka sasa na leo niko salama na nita update mara moja au mbili kwa wiki kadri siku zinavyokwenda.

Mwenye swali tafadhali.

DAY 3: MYTH QUASHED
Nimeweka shilingi nilipochoma sindano, Shillingi haigandi, inaanguka.

DAY 14: Wakuu bado nipo nipo tu, sija dedi!
Johnson and Johnson inafanya kazi yake

Habari mbaya mno hii kwa ile misukule mipiga nyungu
 
Acha umbumbumbu wewe.Nani aliyewaambia Wazungu tunawahitaji Africa.Nani aliwaambia tunahitaji dawa yeyote kutoka kwao,achilia mbali chanjo?Nani aliwaambia tunahitaji anything from them.Hatukuwahitaji na hatukuhitaji chochote kutoka kwao.We were self sufficient.Dawa zetu za asili tulizokuwa nazo were safe and maintained our healths optimaly.Their deadly poisons including vaccines have disrupted our body systems and now we are dying like locusts,hivi huoni?Comeon hatuhitaji chanjo yao wakae kwao.Kwa nini wanatulazimisha?

Hahaahaaa - "disrupted your body systems?!"

Who forces you to take any of their poison?

😂😂😂!
 
🤣 🤣 🤣 🤣Kweli nimekuwa mbumbumbu. Kwa ujinga wangu nilidhani hata device unayotumia kuingia JF, na Internet kwa ujumla ni wao walitufundisha. Kumbe ni sisi tulivumbua. Halafu ungekuwa umetumia lugha yao kwenye baadhi ya maneno kwenye mchango wako ningekuona mbumbumbu zaidi ya mimi. Samahani.
Hatukuwaomba smartphone ni njaa zao.Na hivi hujui,tungekuwa safer without any of their gadgets.Walivyo tufanya Wazungu is hard to imagine.What they call development is a actually under development.Chochote kile kinacho haribu your well being in any way is under development.
 
Hatukuwaomba smartphone ni njaa zao.Na hivi hujui,tungekuwa safer without any of their gadgets.Walivyo tufanya Wawezungu is hard to imagine.What they call development is a actually under development.Chochote kile kinacho haribu your well being in any way is under development.

And what you call nyungu, is actually rocket science!
 
Back
Top Bottom