#COVID19 Nimechanja chanjo ya COVID-19 jana na niko salama

#COVID19 Nimechanja chanjo ya COVID-19 jana na niko salama

Brazaj hivi kichwa chako kimejaa makamasi?

Pole sana kwa kukereka mno kuwa watu wachanjwa, hayapo madhara na kuwa chanjo itawanusuru.

Roho za kishetani baki nazo mwenyewe hizo wala haituhusu tena.

Kwenye chanjo tumetoka tulipo twajiandaa sasa na mambo ya kisutu.

Habari ndiyo hiyo.
 
Vingi tu na ndiyo maana tutakuwa live kutokea Kisutu!
Sawa,najua CIA covert operatives wote mtakua hapo na Mocking Bird Media itakuwa live from Kisutu.Vipi, top CIA Commanders Lissu na Lema watafuatiliaje proceedings.
 
Sawa,najua CIA covert operatives wote mtakua hapo na Mocking Bird Media itakuwa live from Kisutu.Vipi, top CIA Commanders Lissu na Lema watafuatiliaje proceedings.

Lia machozi! Ya damu yangependeza zaidi.
 
Pole sana kwa kukereka mno kuwa watu wachanjwa, hayapo madhara na kuwa chanjo itawanusuru.

Roho za kishetani baki nazo mwenyewe hizo wala haituhusu tena.

Kwenye chanjo tumetoka tulipo twajiandaa sasa na mambo ya kisutu.

Habari ndiyo hiyo.
Hivi mwenye roho ya kishetani ni nani kati ya mimi na wewe,wewe ambaye unang'ang'ania watu wapewe sumu au mimi ninaye sema hapana ni uuaji.Brazaj hivi hawa Wazungu wamewapa nini?No wonder akina Lema na Lissu wanafugwa Ulaya kama broiler,aibu sana.
 
Hivi mwenye roho ya kishetani ni nani kati ya mimi na wewe,wewe ambaye unang'ang'ania watu wapewe sumu au mimi ninaye sema hapana ni uuaji.Brazaj hivi hawa Wazungu wamewapa nini?No wonder akina Lema na Lissu wanafugwa Ulaya kama broiler,aibu sana.
Siyo kufugwa tu, wanaliwa nyuma
 
Back
Top Bottom