masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ndio yupi pale, waziri mkuu,au shemeji yake kibwetere?
maana jana tuliambiwa ile kombolela wanabutua viongozi tu.
Si mmoja kati ya hao wote.Wewe ndio yupi pale,waziri mkuu,au shemeji yake kibwetere? maana jana tuliambiwa ile kombolela wanabutua viongozi tu.
Mkuu umesahau ukifa watu tena wanakaa juu ya kaburi..Maisha ya mwanadamu ni mahangaiko, ikikukosa covid 19, unapigwa na H.I.V, ukikoswa unavamiwa na majambazi, unagongwa na gari au boda boda, unapigwa risasi bar, unachomwa na moto ndani ya nyumba,yaani tafrani
umesha jaribu na kutafuta mtoto baada ya kuchanjwa mkuu? maana ndio wasiwasi mkubwa AfricaSisi pia kwenye kampuni moja ya kitalii nimechanja ni mwezi wa pili sasa huu na niko fresh kabisa.
Tena nimechanja Astra zeneca (uk)ambayo wengi wanasema inawalakini
Watanzania tuchanje asee
Miaka 15?subili miaka 15 ijayo mkuu ndo utpe update sio siku,,wiki wala mwaka.
Mkuu hongera ila mimi Kama ni hiari sizani kama ntakubali hio kitu wazungu sio wenzetu broJana baada ya waheshimiwa kupata chanjo yao, nami nikaingia chemba kuipata rasmi.
Nimechanjwa hii chanjo ya Jonson and Jonson kama hatua moja ya kinga ya ugonjwa wa corona.
Nia ya bandiko hili ni kuwajulisha ninavyoendelea kadri siku zinavyokwenda.
Mpaka sasa na leo niko salama na nita update mara moja au mbili kwa wiki kadri siku zinavyokwenda.
Mwenye swali tafadhali.
Wewe dalali wa chanjo, acha vitisho uchwara.Miaka 15?
Chukua tahadhari mkuu, watu wameupata ugonjwa wa covid Delta variant, siku mbili tu hawapo.Dont take chances!
Anafanya maigizo huyu! Yeye amedungwa juice ya embe, hapa anataka kuwaingiza watu mkenge wakapewe ile yenyewe.Bila picha tutaaminije?[emoji1732][emoji1787][emoji205]
Siwatetei wazungu lakini wangetaka kukumaliza hata pandol tu ambazo hatutengenezi zingetosha kutumaliza.Mkuu hongera ila mimi Kama ni hiari sizani kama ntakubali hio kitu wazungu sio wenzetu bro
Tena nimechanja Astra zeneca (uk)ambayo wengi wanasema inawalakini
Watanzania tuchanje asee.
Anafanya maigizo huyu! Yeye amedungwa juice ya embe, hapa anataka kuwaingiza watu mkenge wakapewe ile yenyewe.
Wewe dalali wa chanjo, acha vitisho uchwara.
Hakuna cha delta variant wala bibi yake na delta variant. Mtaani watu wako salama na wanaendelea na maisha yao ya kila siku.
Haya ni maigizo tu kama futuhi zingine.
Nitawapa mrejesho siku kwa siku.Ni mapema sana kutoa ushuhuda kuhusu chanjo hiyo. Hebu rudi tena hapa utupe mrejesho baada ya miezi mitatu hivi.