Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #81
Hiyo stage inaitwa
Tired of being tired
Bored of being boring
Naona unavua mpk dagaa sasa
Basi hakuna tatizo hapo, at some point kila mtu ataitwa bibi,babu,mzee e.t.c Issue ni kuwa wakati hayo yanafika uwe na furaha na amani, na fedha za kujimudu basi.
Mshangazi ni jambo zuri tu kwa wanawake, inaonyesha kuwa madogo wanaona maturity kwao.
Kama yule wa Guinea?Wanaume wengi anakosaje hata mmoja wa kumng'ang'ania
Mleta uzi hana shida🤣🤣🤣
Mapenzi yanawatesa sana akiwemo huyu mleta uzi
Tulia mwakani inatoka movieJames Bond wa kike ? Aisee Dunia inaenda kasi ....wamuite James Delicious tujue moja
Sasa post zooote za jamii forum zitakuwa zinanihusu basi kama kila post inanihusuAlafu hii post yako unawasingizia wengine nina taarifa za kiinterejensia
Chance ni nyingi sana ila ni jobless....sasa kulea umaskini wangu na wa mwingine ni kibarua kigumu sana.Ni kheri upweke usio na stress
Kipi?Ale chuma hicho
Just like you……nut
Hapo ndo Upo serious au?Sasa post zooote za jamii forum zitakuwa zinanihusu basi kama kila post inanihusu
Tumia na akili ya kuzaliwa kidogo bro
Haya ni maisha halisi ya watu
Sema tu hawakuambii wewe una kichwa maji
Jamaa alichokikuta Honeymoon hana furaha kabisa...
Tumeozesha majuzi tu Sasa leo tunamwuliza bwana Harusi vipi honeymoon umeserereka mpaka mwisho? Ila jamaa hana furaha kabisa Ametutumia picha hii TikTok - Make Your Daywww.jamiiforums.com
Nimekutumia namba yangu pm niunganishe naye!Ndio
Wa miaka 48 sasa
Nakuuliza wewe kichwa majiHapo ndo Upo serious au?
Sijaona namba yeyoteNimekutumia namba yangu pm niunganishe naye!
Kwahiyo hapa ndo Upo serious au?Nakuuliza wewe kichwa maji
Jamaa alichokikuta Honeymoon hana furaha kabisa...
Tumeozesha majuzi tu Sasa leo tunamwuliza bwana Harusi vipi honeymoon umeserereka mpaka mwisho? Ila jamaa hana furaha kabisa Ametutumia picha hii TikTok - Make Your Daywww.jamiiforums.com
Kesho nisindikize kwenye hiyo ofisi tafadhaliEh,
Nyie watoto acheni kumsumbua Mungu jamaan
Leo nimekaa kwenye lounge ya ofisi moja mjini, naskia wadada wawili wanaongea kwa kutiana moyo
Maongezi ya mmoja yalikuwa hivi,
"Nimechoka kuitwa Mshangazi, Mungu nipe mume please 🙏 "
Nilitaka kumjibu lakini user yangu ikawa imefika
Wewe ungekuwa Mungu, ungemsaidiaje Mshangazi aliechoka kuitwa Mshangazi?