Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mue mnaandika kwa kirefu mengine majina ya watu mkuuWambie waende GH
[emoji12] [emoji12] ile mikiki mikiki babaa utakubali tu, kuna jamaa tuliwai kushare room alivyokuwa anatutenda Mungu anajua.kwani ukikaa mumo humo utadhurika?
Chukulia kama unaangalia X live!Bora nishuhudie show
Boom halina budget ya guestKumbe hadi wanawake mnafanyiana hivi? pole sana kwanini usimshauri rafiki yako amwambie mwanaume wake wawe wana kwenda guest...?
Hahahaha acha upigwee tuu. .ata mimi ningekupigaHaya maisha ya kukaa hostel yamenishinda kwa kweli ,haiwezekani haipiti siku tatu bila kupigwa exile
Kila siku mimi nimekuwa mtu wa kulala nje na kuliwa na mbu tu nimechoka kwa kweli enough is enough
Sijui lini na mimi nitamfanyia exile aaaargh nimechukia sana
Ha ha ha
Haya maisha ya kukaa hostel yamenishinda kwa kweli ,haiwezekani haipiti siku tatu bila kupigwa exile
Kila siku mimi nimekuwa mtu wa kulala nje na kuliwa na mbu tu nimechoka kwa kweli enough is enough
Sijui lini na mimi nitamfanyia exile aaaargh nimechukia sana